Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,844
- 45,729
Tunaishi nao tuAaaaah ko saaa hv ni swadaktaa
Tunaishi nao tuAaaaah ko saaa hv ni swadaktaa
Tawile 🤣🤣🤣ukimwi ni tishio, usifanye ngono gizani eti kwasabb umeme hakuna tutakuona wakati wa kuaga
Unaelewa unacho kinena kweli? Hebu fafanua. Usituletee hekaya za Tabo Mbeki hapa.MLETA MADA TULIA UTUELEZE VIZURI. UKIMWI ULIWAHI KUMUUA NANI? UKINIJIBU NITJUA HUJATUMWA NA WAZUNGU. Ukimwi sio ugonjwa wala Ukimwi hauambukizwi
Hao wanapotosha watu sana ukimwi unaua wengi sana huko mtaani sema tu inakuwa siri unaweza kusikia alikufa kwa malaria kumbe kiuhalisia alikufa kwa ukimwi watu wanafichaUnaelewa unacho kinena kweli? Hebu fafanua. Usituletee hekaya za Tabo Mbeki hapa.
Apumzike panapostahili .inauma sana na inatafakarisha sana, natoka mazikoni muda huu, jirani yangu alikua bonge kweli kweli tumempumzisha na kilo2! kweli?
Hili Jambo ni la kufumbia macho kweli au kunyamaza?
Na jamaa alikua jasiri kama wewe alikua anasema kwamba hii kitu si ya kuogopa tuishi nayo kama ndugu
Mi huwa nina desturi ya kuwapima ninaoshiriki nao aloo juzi nimekutana na mwenye zaga zake alafu nusu nitelezeukimwi ni tishio, usifanye ngono gizani eti kwasabb umeme hakuna tutakuona wakati wa kuaga
🤣🤣🤣🤣🤣♥️ukimwi ni tishio, usifanye ngono gizani eti kwasabb umeme hakuna tutakuona wakati wa kuaga
Mi huwa nina desturi ya kuwapima ninaoshiriki nao aloo juzi nimekutana na mwenye zaga zake alafu nusu niteleze
Marehemu alikuwa mzembe,hakuzingatia dawa😭 inauma sana na inatafakarisha sana, natoka mazikoni muda huu, jirani yangu alikua bonge kweli kweli tumempumzisha na kilo2! kweli?
😭Hili Jambo ni la kufumbia macho kweli au kunyamaza? 😭😭
Na jamaa alikua jasiri kama wewe alikua anasema kwamba hii kitu si ya kuogopa tuishi nayo kama ndugu 😭
Unamaanisha Nini mkuuUkimwi sio ugonjwa wala Ukimwi hauambukizwi
Uje upigwe bure utie huruma😅Vipi Maharage yamekuunganisha kwenye gridi ya taifa kabla hayajakuacha na mgawo wa kudumu?
Ww ndio huelewi unachonena maana hata huo UKIMWI hujui ni kitu gani. Hadi Sasa unajua UKIMWI ni ugonjwa sasa huoni ww bado una akili mgando? Funguka ubongo wako utaelewa kinachua watu acha kusingizia UPUNGUFU WA KINGA MWILINI.Unaelewa unacho kinena kweli? Hebu fafanua. Usituletee hekaya za Tabo Mbeki hapa.
Ukimwi ungekuwa serious kwa jinsi Lifestyle ya watu nayoiona huko mtaani hii nchi tungebaki watu wawili tu.
Nothing serious.
Hayo MAGONO na ndugu zake wakina KASWENDE ndio balaa.. wengine wanasingizia UTI.
Mpaka .. anapima alikuwa hajui au ...Mi huwa nina desturi ya kuwapima ninaoshiriki nao aloo juzi nimekutana na mwenye zaga zake alafu nusu niteleze
Nikipigwa si utanisaidia jirani 🤣🤣Uje upigwe bure utie huruma😅
Kinga ni bora kuliko tiba
Aisee 🤣🤣🤣🤣 na wewe unaitwa great thinker.Mimi naogopa AIDs, Ila UKIMWI siwezi nikaogopa hata iweje