Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,032
- 12,274
Hali ya maambukizi ya ukimwi inatisha, ni ya kasi ya 4G.
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.
Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.
Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
Ukimwi upo Unaua mbaya sana.
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.
Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.
Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
Ukimwi upo Unaua mbaya sana.