Hali tete! Jambo Garden Mabibo yafilisika

Aisee naifahamau hiyo bar ilikuwa hot sana wakati inaanza, naishi jirani kabisa na hiyo bar ila kwa sasa nipo mji wa Gesi kusini mwa TZ.Mwaka huu mwanzoni nilikuja likizo nilikuta pamepoa sana nikauliza wadau kulikoni wakaniambia imeuzwa, kama imefungwa its very sad kilikuwa kiwanja chetu cha kujidai vijana wa mabibo! Basi tutahamia Gonga Zote Pub pale karibu na stend ya mabibo mwisho.
Wabongo wa uswazi hamuwezi kula bata mpaka mtoke kwenye pagala zenu za kupangisha....
 
Wabongo wa uswazi hamuwezi kula bata mpaka mtoke kwenye pagala zenu za kupangisha....
Acha dharau ww....Bora sisi tunaoishi kwenye vibanda kuliko nyie maghorofani yenye fensi km wafungwa
 
Wakuu,

Mida mida wakati natoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua nipitie Jambo Garden ili nipate moja moto moja baridi.. Sasa kifika pale nikakuta kweupeee ndo kunajengwa fremu sehemu ya pembeni.. Hapa tulizoea kuburudika pamoja na kutazama mpira.

Ikumbukwe Jambo Garden ilikuwa ni sehemu ya kujidai vijana wa Mabibo km kulivyo na Muleba bar, Chabruma/MCA, Mamnana Bar n.k

Shikamoo Sizonje
Namba zinasomeka.
Jambo ilikuwaga enzi za Hamis tu lakini alipoletewa figisu figisu akenda kufungua gonga zote ndio biashara ya Jambo ilipoishia. Acha Mwakalanga apige hela tu maana hakuna namna tena. Nakumbuka enzi hizo around 2008 Jambo ilikuwaga kama night club enzi hizo nabadilishana nyimbo na DJ Matey kwenye chogo langu la ghetto. Daaah. R.I.P jambo
 
Ni jambo la kheri sana bar kufungwa na wakulima kuongezeka Baba Unarikiwe sana
 
Wakuu,

Mida mida wakati natoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua nipitie Jambo Garden ili nipate moja moto moja baridi.. Sasa kifika pale nikakuta kweupeee ndo kunajengwa fremu sehemu ya pembeni.. Hapa tulizoea kuburudika pamoja na kutazama mpira.

Ikumbukwe Jambo Garden ilikuwa ni sehemu ya kujidai vijana wa Mabibo km kulivyo na Muleba bar, Chabruma/MCA, Mamnana Bar n.k

Shikamoo Sizonje
Namba zinasomeka.


Mikorosho bado ipo Mabibo?
 
Zile bustani zote za mboga huwa huzioni?

Ooh kumbe tatizo lako ni huo ubitozi
Kumbe ww unapajua Mabibo kuliko mimi........kumbe vibustani vya kule bondeni/relini ndo mashamba
 
Kumbe ww unapajua Mabibo kuliko mimi........kumbe vibustani vya kule bondeni/relini ndo mashamba

Kumbe tafsiri ya mashamba ni nini?
Na kwa mawazo yako aliyepo hapa mjini lazima alimie hapa hapa? Kumbe mkuranga huko na kigamboni kuna mbuga za wanyama?
 
Sisi tunaleta habari kulingana na tunachokutana nacho mitaani/makazini ...ukiona mada nyingi zinaonyesha kuyumba kwa Biashara/uchumi ujue ndo hali halisi kitaani

Mfano
Nyumba za kupanga siku hizi mtu akihama kumpata mwingine inaweza kuchukua ht mwezi wkt zamani haifiki week tena watu walikuwa wanashindana dau
Na za mafanikio pia mtuwekee hapa ili kuonesha kuwa hamfungamani na upande wowote
 
Hahahahahaha eti wenyewe wanadai kuchomelea welding ni kiwanda anaekoboa sembe mtaani nae wanahesabu ni kiwanda.. wamesema ndani ya mwaka mmoja wamezalisha viwanda 3000
Ndo tunataka pia taarifa kama hizo za viwanda 3000. Ikumbukwe Mtukufu Raisi ktk kampeni hakulimit maana ya neno viwanda...vyote hivyo ni viwanda pia si watu wanapata ajira?
 
Ndo tunataka pia taarifa kama hizo za viwanda 3000. Ikumbukwe Mtukufu Raisi ktk kampeni hakulimit maana ya neno viwanda...vyote hivyo ni viwanda pia si watu wanapata ajira?
Mwisho mtasema mtengeza koroboi pia kiwanda
 
Mabibo ilikuw zamani bana. Siku hz imekuwaje sijui..!!! Enzi za Chabruma bar tunazamia kwny show za Muungano Cultural Troup ilikuw hot sn. Sikukuu safari za kwenda beach kibao. Muleba bar ilikuw hot, na movie tunaangalia kibanda umiza kwa mzee mmari. Ila ss hv wenyeji kila tukienda tumekuw wageni.
 
JF mbona tunapata taarifa hasi tu kila kukicha...Inakuwa kama reporters wanaegemea upande fulani tu. Utasikia mara kampuni fulani imefirisika, hoteli imekuwa hostel, nyumba ya gharama inauzwa bei chee, hujakaa sawa Forex Bureaus kadhaa za kariakoo zimekuwa maduka ya spea za pikipiki au nguo n.k. Jamani tuwe tunaweka pia taarifa chanya mf. viwanda vilivyokamilika, idadi ya watu waliopata na wanaoendelea kupata ajira, kiwango cha gesi ya Mtwara tunayosafirisha na kuuza nje ya nchi, elimu bure ya msingi mpaka sekondari, thamani na heshima ya Tsh kwa sasa n.k.
mkuu nyavu zetu za kuvulia ni kubwa tofauti na zile kokoro kwa hiyo unaweza pata picha ya samaki tunaowavua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom