Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Wakuu,
Mida mida wakati natoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua nipitie Jambo Garden ili nipate moja moto moja baridi.. Sasa kufika pale nikakuta kweupeee ndo kunajengwa fremu sehemu ya pembeni.. Hapa tulizoea kuburudika pamoja na kutazama mpira.
Ikumbukwe Jambo Garden ilikuwa ni sehemu ya kujidai vijana wa Mabibo km kulivyo na Muleba bar, Chabruma/MCA, Mamnana Bar n.k
Shikamoo Sizonje
Namba zinasomeka.
Mida mida wakati natoka kwenye mihangaiko yangu nikaamua nipitie Jambo Garden ili nipate moja moto moja baridi.. Sasa kufika pale nikakuta kweupeee ndo kunajengwa fremu sehemu ya pembeni.. Hapa tulizoea kuburudika pamoja na kutazama mpira.
Ikumbukwe Jambo Garden ilikuwa ni sehemu ya kujidai vijana wa Mabibo km kulivyo na Muleba bar, Chabruma/MCA, Mamnana Bar n.k
Shikamoo Sizonje
Namba zinasomeka.