Hakuna Mwizi wa Gari anaendesha gari kistaarabu

miles45

JF-Expert Member
Jan 4, 2019
3,481
8,329
Ni hivi ndugu zangu nipo kuwakumbusha kuwa hakuna mwizi wa gari akaiba gari na kuliendesha kistaarabu kiasi kwamba hata ukija kulikuta utakuta kama ulivyo liacha.

Ni hi atakanyaga mafuta hadi pedo iguse bodi la gari, atalikimbiza na kubadirisha gia bila fomula, atalikwangua pande zote na kugongesha kwenye kingo za barabara,atapiga drift za kutosha pale njia panda ya kwenda tigo au voda, mara nyingi atatumia barabara ya vumbi na sio lami ili alizamishe kwenye tope huko uswazi hata heshimu sheria za barabara wala mikono ya trafki kikubwa afike anako enda.

Baada ya kuibiwa atalitelekeza, ataliuza kwa wengine asipo kuonea huruma sana atalichinjachinja.

NB
Hii story haihusiani na magari
 
Na magari nayo wakati mwingine hayana huruma kwa wezi, unakuta gari lishajichokea miball joint imekata imelegea no spring halafu ukiwa na mispeed yako sterling inakazia upande mmoja kwenye mautelezi, ukipona unabaki na jeraha la kumbukumbu unajuta kwanini ulihangaika na gari used na mapya yamejaa yard.
 
Ni hivi ndugu zangu nipo kuwakumbusha kuwa hakuna mwizi wa gari akaiba gari na kuliendesha kistaarabu kiasi kwamba hata ukija kulikuta utakuta kama ulivyo liacha.

Ni hi atakanyaga mafuta hadi pedo iguse bodi la gari, atalikimbiza na kubadirisha gia bila fomula, atalikwangua pande zote na kugongesha kwenye kingo za barabara, hata heshimu sheria za barabara wala mikono ya trafki kikubwa afike anako enda.

Baada ya kuibiwa atalitelekeza, ataliuza kwa wengine asipo kuonea huruma sana atalichinjachinja.

NB
Hii story haihusiani na magari
kwakweli tunyaona hawa wazenji wanasimamia kabisa pedeli!
 
kijana mwenzangu acha kulala fanya kazi kwa bidii hakikisha sungusungu wanakujua polisi unafahamika ofisi ya mtaa unajulikana piga kazi na hakikisha unaoa mke zaidi ya mmoja na fyatua watoto wakutosha.
ujinga ujinga tu.
 
Hiii uterezi neno jingne 😂😂
Wezi waonee huruma mkuu, wanapitia mengi, na magari yenyewe haya km za kutosha?, mengine mmiliki alishawaza aligongeshe alipwe insurance halafu mwizi unajaa nalo, unategemea nini?
 
Back
Top Bottom