Hakuna anayeitwa bundi katua CHADEMA Kigoma: Ukweli kuhusu Ally Kisala

Status
Not open for further replies.
Huwa mnakataa lakini mwisho wa siku mnaumbuka.
Ukweli ni kwamba huyu Diwani hawezi kukaa Mwandiga akafanya Kazi ya Mbowe akaacha ya Zitto wakati Historia yake imetengenezwa na Zitto mwenyewe.
Muda utasema, endeleeni kujifariji. Chadema ni zilipendwa Kigoma yote.

Kazi ya Mbowe ni kuwaletea ukombozi watanzania.
Kazi ya Zitto ni kusaliti jitihada za ukombozi Tanzania
Mbowe na Zitto wanafanya kazi mbili tofauti
 
je vipi hii habari ya musoma nimeskia leo rdio uhuru kuwa uongozi cdm mkoani humo unapinga cuf kujumuishwa na kwenye ukawa je ni kweli?

Mkuu ungekuwa makini ungejiuliza kwanza radio Uhuru inamilikiwa na chama gani? Kisha Jiulize kama chama hicho kwa namna yoyote kinapenda afya ya UKAWA.

Makubaliano ya UKAWA yaliyo sainiwa na makatibu Wakuu wa vyama vinavyounda ukawa yanatekelezwa moja kwa moja na viongozi walio chini ya taasisi husika.
 
Nimefundishwa kuutafuta ukweli na kuusema, nimetimiza wajibu wangu kabla sijaandika, kama kuna mtu kachangia au kaandika bila kuujua ukweli na mimi nikasaidia ukweli huo kujulikana kiugwana ana wajibu kujirudi kwa namna alivyo changia.

Wa kulaumiwa hapa ni moods wa kuacha taarifa ya uongo iendelee kusambaa wakati walikuwa na uwezo wa kuutafuta ukweli! Ahsante mkuu Mohamedi Mtoi kwa ku-balance hii taarifa...
 
Last edited by a moderator:
Kazi ya Mbowe ni kuwaletea ukombozi watanzania.
Kazi ya Zitto ni kusaliti jitihada za ukombozi Tanzania
Mbowe na Zitto wanafanya kazi mbili tofauti

Na kwa kuwa toka mfumo wa vyama vingi unaanza kata ya Mwandiga haijawahi kuwa chini ya ccm, ni sahihi kusema wanaoishi au walio wahi kuishi kwenye kata hiyo na kufanya kazi ya ccm wanasaliti au wamesaliti Fikra na mitazamo ya watu walio kataa maovu ya ccm kwenye eneo hilo na kwa watanzania kwa ujumla.
 
Nyie cdm jana mpaka leo mmemtukana sana huhu Ally, halafu kumbe hamwelewi ukweli! wengine wanacoment kua anafanya kazi za act kwann afifukuzwe! sasa nawauliza hizo kazi za act alizozifanya vipi mlikua mnamsingizia? Nakama anazifanya kazi hizo mnaendelea kumuacha wa nn! mwomben msamaha humu na kukiri kwamba vichwa vyenu ni maji, na siku mkisikia ameondoka mnabadilika tena, kweli mnafuata upepo. kwenye thread mtamwaga sifa hamuachi akiba ya kesho, ikiwa kesho hamjui itakuje.
 
Tatizo la vijakazi wa Yuda vinataka kupata umaarufu kupiti CHADEMA wakati bos wao anajisifu mwenyewe kwenye jukwaa sasa vibaraka wake afiskiki kabisa. Ahsante Mh Mtoi kwa taarifa nimependa nukuu ya Mh Diwa.
 
Last edited by a moderator:
Nyie cdm jana mpaka leo mmemtukana sana huhu Ally, halafu kumbe hamwelewi ukweli! wengine wanacoment kua anafanya kazi za act kwann afifukuzwe! sasa nawauliza hizo kazi za act alizozifanya vipi mlikua mnamsingizia? Nakama anazifanya kazi hizo mnaendelea kumuacha wa nn! mwomben msamaha humu na kukiri kwamba vichwa vyenu ni maji, na siku mkisikia ameondoka mnabadilika tena, kweli mnafuata upepo. kwenye thread mtamwaga sifa hamuachi akiba ya kesho, ikiwa kesho hamjui itakuje.

Wewe msalit mbona unatoa sana povu nyie sindio mnafanya kaz ya kuzusha ujinga wenu hum jf sasa mbona ueleweki uko upandegani ndumi la kuwili mkubwa wewe
 
Atatangazwa na kuuhutubia mkutano wa ACT jumapili, kaa usubiri ukweli utaujua
 
sasa wale waliomtusi ile Jana watamuomba msamaha?


Jana usiku nimewatahadharisha wanachama wetu wa Cdm Kuweka akiba ya maneno hasa kujiepusha kukimbilia kutukana bila ukweli wowote kwenye habari za uchonganishi.Kiukweli huyo Ally Kisala namfahamu ni Kamanda Mpambanaji na anawaumiza kichwa hawa vibaraka wa Ccm
 
Wewe msalit mbona unatoa sana povu nyie sindio mnafanya kaz ya kuzusha ujinga wenu hum jf sasa mbona ueleweki uko upandegani ndumi la kuwili mkubwa wewe
Mmemtukana sana mcdm halali na hukua na ukweli na kumwita msaliti jana hiyo leo unamsifu sasa tuelewe lipi? inaonekana nyumban kwako ukisikia kaneno ka mtaan tu unaanza kumtus wife bila kupata ukweli, baadae unaanza oh nisamehe fikiria kwanza tatizo lako ukitaja msalit na matus unalipwa, kwahiyo ndio maana unapukuruka tu.
 
Huwa mnakataa lakini mwisho wa siku mnaumbuka.
Ukweli ni kwamba huyu Diwani hawezi kukaa Mwandiga akafanya Kazi ya Mbowe akaacha ya Zitto wakati Historia yake imetengenezwa na Zitto mwenyewe.
Muda utasema, endeleeni kujifariji. Chadema ni zilipendwa Kigoma yote.
Huna unachojua, Ally Kisala kamfadhili sana Zitto wakati anagombea mara ya kwanza, nusura afilisike.
Bwana Kisala alimsaidia huyo alatola ili achaguliwe mara ya pili kwa kuzunguka jimbo lote kumuombea msamaha bwana mdogo kwa kutelekeza jimbo.
Bwana kisala pamoja na team ilifanikisha ziara ya Dr Slaa Kigoma kipindi kile huyo msaliti alipoandaa kikundi cha kupinga ujio wa Slaa kigoma.
Ni mtu makini mstaarabu na mwanamageuzi wa ukwelii.
 
Last edited by a moderator:
Huwa mnakataa lakini mwisho wa siku mnaumbuka.
Ukweli ni kwamba huyu Diwani hawezi kukaa Mwandiga akafanya Kazi ya Mbowe akaacha ya Zitto wakati Historia yake imetengenezwa na Zitto mwenyewe.
Muda utasema, endeleeni kujifariji. Chadema ni zilipendwa Kigoma yote.

Zito historia yake imetengenezwa na chadema na aliwahi kusema atakuwa wa mwisho kuiacha chadema mbona ameiacha?
 
Ni kawaida ikishafika kipindi cha uchaguzi ccm huanzisha Chama ambacho kazi yake huwa ni kubomoa upinzani mmesahau Chama cha jamii?

Sio hilo tu, na magazeti mengi uchwara ya kupotosha umma, nadhani umeyasikia magazeti ya Tazama na Mkakati!!
 
Huwa mnakataa lakini mwisho wa siku mnaumbuka.
Ukweli ni kwamba huyu Diwani hawezi kukaa Mwandiga akafanya Kazi ya Mbowe akaacha ya Zitto wakati Historia yake imetengenezwa na Zitto mwenyewe.
Muda utasema, endeleeni kujifariji. Chadema ni zilipendwa Kigoma yote.

Wasaliti na wafuasi wao pamoja na wafadhili wenu mnajijua
Mnahangaika na kurukaruka sana kama mwanamke aliyeolewa but mwishoni mtakuja kulala bila nguo ya ndani oct 25
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom