#COVID19 Hakujawahi kuwepo kitu kinachoitwa COVID duniani. Ni uongo wa mabeberu

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,699
15,650
Wakuu wakati wa Corona sikuamini uwepo wa hiyo kitu wala habari zake nilikuwa sisikilizi na Barakoa nilikuwa sivai.

Naamini hata Hayati JPM alikuwa na msimamo kama wangu.

Ulikuwa ni ugonjwa unaosambazwa kwa njia ya taarifa ya habari na sio vimelea.

Ushahidi: Habari za kimataifa na kidunia zilipohamia kwenye SMO ya Russia vijidudu hivyo vya kufikirika vilipotelea angani. Na kila juhudi ya kuvirudisha imekwama maana wakubwa wako bize kidogo na Ukraine.


Ushauri:
Jifunze kuwa na msimamo, Jifunze kufuatilia mambo kwa kina usiwe mshabiki wa habari ambazo huna hujui zimepikiwa chungu kipi.


Ni hayo tu.
 
Wakuu wakati wa Corona sikuamini uwepo wa hiyo kitu wala habari zake nilikuwa sisikilizi na Barakoa nilikuwa sivai.

Naamini hata Hayati JPM alikuwa na msimamo kama wangu.

Ulikuwa ni ugonjwa unaosambazwa kwa njia ya taarifa ya habari na sio vimelea.

Ushahidi: Habari za kimataifa na kidunia zilipohamia kwenye SMO ya Russia vijidudu hivyo vya kufikirika vilipotelea angani. Na kila juhudi ya kuvirudisha imekwama maana wakubwa wako bize kidogo na Ukraine.


Ushauri:
Jifunze kuwa na msimamo, Jifunze kufuatilia mambo kwa kina usiwe mshabiki wa habari ambazo huna hujui zimepikiwa chungu kipi.


Ni hayo tu.

Kuna mwingine umezuka kagera. Nao tunasubiri mwongozo. Mabingwa wa matango pori, nyungu na yale mengine wote wamefichama. Haieleweki wana mpango gani na hii vita nyingine ya uchumi.
 
IMG_7220.jpg
 
Wakuu wakati wa Corona sikuamini uwepo wa hiyo kitu wala habari zake nilikuwa sisikilizi na Barakoa nilikuwa sivai.

Naamini hata Hayati JPM alikuwa na msimamo kama wangu.

Ulikuwa ni ugonjwa unaosambazwa kwa njia ya taarifa ya habari na sio vimelea.

Ushahidi: Habari za kimataifa na kidunia zilipohamia kwenye SMO ya Russia vijidudu hivyo vya kufikirika vilipotelea angani. Na kila juhudi ya kuvirudisha imekwama maana wakubwa wako bize kidogo na Ukraine.


Ushauri:
Jifunze kuwa na msimamo, Jifunze kufuatilia mambo kwa kina usiwe mshabiki wa habari ambazo huna hujui zimepikiwa chungu kipi.


Ni hayo tu.
Napinga hoja , Mambo ya afya na akili zako za mtaani usiyachanganye !! Mimi nipo kada ya afya Tumesoma na tumeyaona na watu walifariki !!nashauri usiongeee usichokijua
 
Napinga hoja , Mambo ya afya na akili zako za mtaani usiyachanganye !! Mimi nipo kada ya afya Tumesoma na tumeyaona na watu walifariki !!nashauri usiongeee usichokijua
Mkuu mbona ulipoachwa kutangazwa na ugonjwa ukafa.
Mbona watu walirudi mitaani kutoka karantini na hadi leo maambukizi hayakuongezeka badala yake yakaisha kabisa bila hata watu kujikinga.


Kiafya imekaaje hapo mkuu.
 
Wakuu wakati wa Corona sikuamini uwepo wa hiyo kitu wala habari zake nilikuwa sisikilizi na Barakoa nilikuwa sivai.

Naamini hata Hayati JPM alikuwa na msimamo kama wangu.

Ulikuwa ni ugonjwa unaosambazwa kwa njia ya taarifa ya habari na sio vimelea.

Ushahidi: Habari za kimataifa na kidunia zilipohamia kwenye SMO ya Russia vijidudu hivyo vya kufikirika vilipotelea angani. Na kila juhudi ya kuvirudisha imekwama maana wakubwa wako bize kidogo na Ukraine.


Ushauri:
Jifunze kuwa na msimamo, Jifunze kufuatilia mambo kwa kina usiwe mshabiki wa habari ambazo huna hujui zimepikiwa chungu kipi.


Ni hayo tu.
Ulaya, Ameika Kusini na Kaskazini, Asia, Afrika, Australia watu walipoteza maisha kwa maelfu na wengine kuugua kwa sana halafu wewe unasema corona haikuwepo?

Uko seriazi au unachangamsha jamvi katika masuala nyeti ya uhai wa binadamu?

Huku kwa Biden watu kibao walikufa na wengine tuliumwa almanusra.

Mkuu, tafadhaki sana uwahi Milembe haraka kabla mambo hayajaharika zaidi na kushindwa kutibika tena.
 
Nafikiria kuandika Uzi kuwaunga mkono kwenye hili. This time in your support.

Hudhani niaanye hivyo ndugu yangu?
Hayati Magufuli alifariki kwa matatizo ya moyo, na hii shida amekuwa nayo kwa zaidi ya miaka 20. Kila nafsi itaonja umauti. Hakuna hila zozote hapo.
 
Hayati Magufuli alifariki kwa matatizo ya moyo, na hii shida amekuwa nayo kwa zaidi ya miaka 20. Kila nafsi itaonja umauti. Hakuna hila zozote hapo.
Mkuu watu wana majumba ughaibuni. Hawa wanaweza kuwa uraia pacha. Wanafanyia birthday parties New York. Mwamba alisema yeye alikuwa rais wa wanyonge. Akasema palikuwa vita ya kiuchumi. Kuwa yeye alikuwa rais kwamba alijua mengi.

Akasema alikuwa kajitoa kupigana na mafisadi haya bila kujali litakalo mtokea.

Hawa wanaolamba asali hivi wasingemwacha kuwatishia usalama wao na mali zao.

Mwamba asingeweza kitoboa. Ninaona Pana hoja hapa. Tuwaombe mods subira tupandishe uzi kuomba kistaraabu kufukua kaburi.

Hatukuwemo, ila kwenye hili tutawaunga mkono. Kuna harufu kali ya panya mahali.
 
Hata maralia, U. T. I hakuna ni uongo tu wa mabeberu. Inafika wakati unaona jf waondoe slogan ya home of great thinkers kwa hizi mada za kijinga zinazoanzishwa humu. Yaani uwezo wa watu kufikiri ndio uumefikia kiwango hiki
 
Back
Top Bottom