Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,430
- 2,282
Wamechanganyika na wa mechi ya kwanza; - RSA vs TUNUwanja mbona umejaa sana leo au Mama Kizimkazi kafanya yake?
Wamechanganyika na wa mechi ya kwanza; - RSA vs TUNUwanja mbona umejaa sana leo au Mama Kizimkazi kafanya yake?
Bora ishambulie tufungwe kuliko kulinda. Huwezi kulinda kitu ambacho huna.Timu inacheza defensive ndio utapata goli?
Damu nzito kuliko maji mlongo wanguYaan CCM starz ikupe presha?
Mbona mabwakuu.
Wanataka kufunga hesabu mapemaHawa jamaa wamekuja na kasi
ni uwezo wao na mafunzo Duni ya kisoka kucheza foward pass kunahitaji wacheza wenye pass accurancy kubwaHii tabia wamefundishwa au ni uwezo mdogo wa kusonga mbele?
Naunga mkono hojaTunaubora mkubwa sana wa kumiliki mpira ndani ya 18 yetu. Tukivuka hapo ni kubutua. Naamini watabadilika muda unavyozidi kusonga.
Kwamba washinde kiujanja ujanja sioHawa jamaa inatakiwa tuwavizie, tukiwafunga goli la mapema tutawaamsha watufumue magoli ya kutosha. Twende halftime bilabila. Dakika ya sabini hivi tunawagonga moja alafu tunawashambulia kwa nguvu kuwatisha ili wasitafute kurudisha.
Yaani hapa kutoboa inahitaji kuwa mjanjamjanja flani.
Ndio uwezo wa kocha ulipoishia nilimsikia hata Mkwasa akihimiza hilo na yeye eti wakishinda waanzame kupiga backpass walinde Goli ndio mpira gani?Hii tabia wamefundishwa au ni uwezo mdogo wa kusonga mbele?
Halafu hii njemba kila ikipewa pasi inageukia mabeki wake.Himidi mao anafanya Madhambi hapa dakika ya 9 😂 kasababisha fouls
Hakuna team hpoHivi ni Watz Huwa hawafundishiki au hatujui mpira? Kwa nini tunaendelea kucheza nyuma na kupiga mipira kirefu ya Juu ambayo tunaipoteza mda wote?
Hakuna kitakachobadirika niamini Mimi tena wakitupiga 1 ndio wameshatuvuruga kabisa yaan kifuatacho Ivory Coast wakasomeTunaubora mkubwa sana wa kumiliki mpira ndani ya 18 yetu. Tukivuka hapo ni kubutua. Naamini watabadilika muda unavyozidi kusonga.
Wameanza Mchezo wao wa kiboya wa kurudisha mipira nyuma.
Pheeeeeeeeew.