Freeman Mbowe ajipanga kuuthibitishia Umma kuhusu nyongeza ya mishahara ya Wabunge

Pia aseme jinsi michango ya Join The Chain ilivyotumika. Pia pesa za Sabodo. Mbowe kachagua ugomvi wa mawe huku akiwa kwenye nyumba ya vioo. Kwenye hoja inayohusika na hela Mbowe angekaa tu kimya.
Hizo nazo nikodi za wananchi? Mbona watanzania wanatoana kwenye reli kirahisi?
 
Kwahiyo kama hazikutoka serikalini ni ruksa kuzitafuna?
Unapotoka kwenye mada na kuleta ishu ambayo ingepewa Uzi wake unajisikiaje mheshimiwa??unakuwa chawa au mchawi??zungumxia hiyo five m udipende kutetea ujinga kwanza kama wewe ni mkereketwa tupe mahesabu ya tozo tunaxokatwa kila siku au na wewe unaishi kwa tozo zetu.yaani nyie mishipa ya aibu imexhakatika.
 
Unapotoka kwenye mada na kuleta ishu ambayo ingepewa Uzi wake unajisikiaje mheshimiwa??unakuwa chawa au mchawi??zungumxia hiyo five m udipende kutetea ujinga kwanza kama wewe ni mkereketwa tupe mahesabu ya tozo tunaxokatwa kila siku au na wewe unaishi kwa tozo zetu.yaani nyie mishipa ya aibu imexhakatika.
Zungumxia, tunaxokatwa🤬🤬.. wewe kunguni ukiweza kuandika vizuri ndo uwe unajibu comments zangu
 
Taarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko bungeni na hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba wabunge wa Tanzania wameongezewa mshahara kutoka milioni 13 hadi milioni 18, nyongeza ya milioni 5 kamili.

Ikumbukwe kwamba wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18, kutegemeana na ngazi ya mshahara, hii ilitokana na ahadi ya nyongeza ya mishahara ya mtukufu rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu.

Baada ya uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa, unadhani ni hatua gani zifuate?

Ikumbukwe kwamba si mara ya kwanza kwa Bunge la Tanzania kuukanusha ukweli , kuna wakati waliwakusanya wanawake wanaowajua wenyewe na kwa kutumia nyaraka za kufoji wakawaapisha kuwa Wabunge wa Viti maalum wa Chadema , hata hivyo baadaye ikaja kuthibitika kwamba wanawake hao hawakuteuliwa na Chadema .
Maccm wezi sana ila sio mda kunakucha
 
Back
Top Bottom