Wadau kunamtu aliajiliwa na kupewa fixed one year contract.
Mkataba WA kwanza ulipoisha akaopewa mwingine wa mwaka mmoja ukiwa na amajukumu ya ziada.Baada ya kupewa mkataba wa pili ,baada ya miezi mitano mwajili anesitisha mataba wake akisema amebanisha new streams of activities hivyo kwa kuwa kwenye mjataba Kuna kipengere Cha one month notice basi anampa one month notice basi na kumusafirisha kwenda alikomtoa
Je hii ni sawa?
Nini haki za mfanyakazi huyu kwa mazingira haya?
Mkataba WA kwanza ulipoisha akaopewa mwingine wa mwaka mmoja ukiwa na amajukumu ya ziada.Baada ya kupewa mkataba wa pili ,baada ya miezi mitano mwajili anesitisha mataba wake akisema amebanisha new streams of activities hivyo kwa kuwa kwenye mjataba Kuna kipengere Cha one month notice basi anampa one month notice basi na kumusafirisha kwenda alikomtoa
Je hii ni sawa?
Nini haki za mfanyakazi huyu kwa mazingira haya?