Fixed contract vs early termination, Haki za mwajiliwa ni zipi?

Wadau kunamtu aliajiliwa na kupewa fixed one year contract.

Mkataba WA kwanza ulipoisha akaopewa mwingine wa mwaka mmoja ukiwa na amajukumu ya ziada.Baada ya kupewa mkataba wa pili ,baada ya miezi mitano mwajili anesitisha mataba wake akisema amebanisha new streams of activities hivyo kwa kuwa kwenye mjataba Kuna kipengere Cha one month notice basi anampa one month notice basi na kumusafirisha kwenda alikomtoa
Je hii ni sawa?

Nini haki za mfanyakazi huyu kwa mazingira haya?

Ukipewa termination yoyote ile lazima iwe na sababu iyo sababu iwe halali na ifate utaratibu hapo naamini tupo pamoja sasa ipo hivi

Unfair termination without reasons.

Compensation for unfair termination.


Muajiri wako hana sababu na anapaswa kukulipa fidia ya miezi 12 kwa kufanya hivyo case yako inafanana na hii hapa nakuwekea PDF utajisomea muajiri na yeye alifanya hivyo hivyo alivyoona kipengele cha kutoa notes akaamua kufanya akasahau kwamba kila sababu ya termination ina utaratibu wake

ukisoma hiyo case utagundua mwajiri alifanya kosa kama ambalo wewe umefanyiwa na muajiri wako hivyo mahakama ikamuamuru alipe muda ulibakia wa mkataba ukisoma iyo case wameweka mpaka kipengele cha muajiri anaweza kutoa notice ya mwezi mmoja kama ambayo ulipewa wewe


ombi langu kwako ukiwa unafuatilia hii kesi kuwa mtulivu na usiwe na njaa za haraka
 

Attachments

  • breach of the contract.pdf
    2.4 MB · Views: 3
Hakuna makunaliano zaidi yakutumia kifu gu Cha mkataba kinachosema either part anaweza kuvunja mkataba kwa kutoaone month notice basi.Sababu walizozitoa kwenye barua ninkwamba kampuni inabadilisha different work streams ambapo nafasi zingine inabdi zipungue na zingine mpya zianze ila hawakueleza streams hizo ni zipi na bahata mbaya watu walikuwa likizo walikuwa unapigiwa simu mmojammjoa kurudi kazini kabla hata ya likizo kuisha na ukifika unakutana na watu watatu wanakwambia kunamabadiliko basi unapewa barua.Ukiwaambia basi tugawane risks ya kupoteza siku zilizobaki kwenye mkataba wanakimbilia kipengele Cha one month notice basi.
yani anayewashauri hao jamaa atakutwa na kitu kibaya sana kama wafanyakazi wataamua kwanza termination haipaswi kufanyika mtu akiwa likizo kingine hata wakisema wanapunguza watu au wanabadilisha uendeshaji wa kazi kuna utaratibu wa kufata soma huko juu nimeweka fresh tu kama hawakufata utaratibu mapema tu wanaisha
 
Nakama mtu ataenda kinyume na taratibu za kazi ukimuachisha kutokana na mwenendo wake unatakiwa kumlipa?
hapa kuna mambo 2 umeyaweka pamoja yani misconduct na incapacity

sasa kwenye mambo ya mwenendo mbaya ikiwa kama mambo ya utoro,wizi,kupigana,kudhaharau viongozi uzembe uliotukuka hapa kuna mambo ya kufata mfano
kupewa barua onyo likizidi zaidi ya mawili sasa utapewa barua ya kujieleza kuhusu kosa lako yani (SHOW CAUSE LETTER) Wasiporidhika na maelezo hayo unapewa sasa barua ya kuitwa kikao cha nidhamu alafu huko ndiko yatatoka majibu ya kufukuzwa kazi kwa mfanyakazi
note: MFANYAKAZI AKIIBA UKAAMUA KUMPELEKA POLICE TU HUTOPASWA KUMFUKUZA AU KUMSIMAMISHA AU KUFANYA JAMBO LOLOTE LA KINIDHAMU MPAKA KESI IENDE MAHAKAMI WAMKUTE NA HATIA MUDA WOTE HUO UTAPASWA KUMLIPA KAMA KAWAIDA KAMA MFANYAZI Hapa waajiri wengi wanakoseaga kesi ikiwa ipo police wanakimbilia kumfukuza mfanyakazi hapa unapigwa mara 2 kesi ya ajira bila kufata taratibu ikiisha iyo unapigwa na madai yani kumchafua mfanyakazi na kusababisha akafungwa police akiwa hajatenda kosa hapo ndo mtu anajitajia tu mil 200
 
Back
Top Bottom