kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,682
- 12,847
Umekosa vya kusoma kabisa?Mwenye ujuzi ,hivi BACHELOR OF ART IN HISTORY anakuwa Mwalimu Au Mwana Historia?
Umekosa vya kusoma kabisa?Mwenye ujuzi ,hivi BACHELOR OF ART IN HISTORY anakuwa Mwalimu Au Mwana Historia?
mkuu 🤣🤣🤣🙌Umekosa vya kusoma kabisa?
Thank you dear, ngoja nimpe huu ushauriCommunity atacover eneo kubwa… mambo za ajira baadae sijui
Kuna jamaa yangu X juzi nimekutana nae mkoa X baada ya miaka 4 tangu mara ya mwisho kuonana mchizi alikua amepiga bachela ya Agriculture pale SUA alikua na njaa ile mbaya na tulihangaika sana time ile nilimjua wakati nipo college na yeye yuko mtaani basi nimekutana nae huo mkoa X juzi now kaajairiwa kampuni ya private inayojihusisha na maswali ya kilimo na utafiti wa mbegu ebwana enhee nilienda kwake sikuamini maisha anayoishi sasa hivi yaani ni kama nilikua naota kwa jinsi tulivyoachana mara ya mwisho.Asome anachokipenda Tatizo Tz Tunasoma under influence za watu .The passion's weapon
Kuhusu ajira bahati ya mtu na kadar zake mungu mpe dogo ushauri afate k2 roho inapendaa hatujutia
GOD'S PLANNING tujifunzee kujiamini na sio wanavyo viamini watu baki hatima sahihi ya maisha ya mwanadamu iko kwa mungu yaniKuna jamaa yangu X juzi nimekutana nae mkoa X baada ya miaka 4 tangu mara ya mwisho kuonana mchizi alikua amepiga bachela ya Agriculture pale SUA alikua na njaa ile mbaya na tulihangaika sana time ile nilimjua wakati nipo college na yeye yuko mtaani basi nimekutana nae huo mkoa X juzi now kaajairiwa kampuni ya private inayojihusisha na maswali ya kilimo na utafiti wa mbegu ebwana enhee nilienda kwake sikuamini maisha anayoishi sasa hivi yaani ni kama nilikua naota kwa jinsi tulivyoachana mara ya mwisho.
Ndani kuna kila kitu kila na mjengo safi japo kapanga maana kazini hana hata mwaka take home anachukua 1.7M anawekewa vocha laki 1 kwa mwezi na takataka kibao bado gari inamchukua na kumpeleka na kumrudisha kazini kweli sometime kutoboa ni bahati ya mtu na wakati maalum kwa ajili yako ukifika unatoboa.
NdioHivi second selection ni lazima ku apply tena. Kwa mara ya pili?
Maana dogo kapigwa chini.
Anaweza akafanya kazi katika izo nyanja zoteMwenye ujuzi ,hivi BACHELOR OF ART IN HISTORY anakuwa Mwalimu Au Mwana Historia?
Jibu Swali, Kama Hujui Unakaa Kimya, Ada Unalipa Wewe?Umekosa vya kusoma kabisa?
AhsanteAnaweza akafanya kazi katika izo nyanja zote
isije kuwa ni two iliyobebwa na somo la dini na Gs
Asa tangu lini uliona division advance inahesabiwa kwa hayo masomo kawaida ni masomo 3 tuu ya combination yako
Hujasoma advance nini
Confirm mapema, acha ubishooKm umechaguliwa kuconfirm chuo mwisho lini ?
Aingie kwenye account yakeMimi kijana wangu amechaguliwa UDOM na UDSM changamoto sijui ni program gani alizochaguliwa na ni utaratibu gani unafata. Naomba kusaidiwa, nikiingia kwenye tovuti ya vyuo hivyo Sion taarifa yoyote.
Lazima u apply, asipo apply means ni hakwendi chuo…Hivi second selection ni lazima ku apply tena. Kwa mara ya pili?
Maana dogo kapigwa chini.
Mwenye ujuzi ,hivi BACHELOR OF ART IN HISTORY anakuwa Mwalimu Au Mwana Historia?
Asome community development anaweza kuja kupambana kwenye NGOs na Wizara ya maendeleo ya Jamii. Naamini Gender development iko ndani humoWakuu msaada kuna dogo kachaguliwa course ya "Community Development" na nyingine ni "Gender and development:, Vipi ipo iko poa zaidi hata kwenye soko la ajira naadaye ili aconfirm?