knaan Senior Member Oct 17, 2011 143 26 Jun 27, 2021 #1 Natafuta kampuni au mwekezaji yoyote wa kujenga kituo cha mafuta katika eneo langu . eneo lipo katika barabara kuu Arusha-Dodoma(maelezo zaidi picha na sehemu husika Dm nitakupa)
Natafuta kampuni au mwekezaji yoyote wa kujenga kituo cha mafuta katika eneo langu . eneo lipo katika barabara kuu Arusha-Dodoma(maelezo zaidi picha na sehemu husika Dm nitakupa)
knaan Senior Member Oct 17, 2011 143 26 Jun 27, 2021 Thread starter #3 kukodisha ndo mpango mzuri boss wangu.
knaan Senior Member Oct 17, 2011 143 26 Jun 27, 2021 Thread starter #5 Asante Kama kuna dalali naomba tuwasiliane .
balimar JF-Expert Member Sep 18, 2015 7,571 13,300 Jun 27, 2021 #6 Dalali unamwachaje mkuu? Naomba uelewe na dalali nae anataka mkataba wa kile utakachokipata for life Kazi tunae
Dalali unamwachaje mkuu? Naomba uelewe na dalali nae anataka mkataba wa kile utakachokipata for life Kazi tunae
knaan Senior Member Oct 17, 2011 143 26 Jun 28, 2021 Thread starter #7 balimar said: Dalali unamwachaje mkuu? Naomba uelewe na dalali nae anataka mkataba wa kile utakachokipata for life Kazi tunae Click to expand... hiyo nafahamu muhimu tufanye kazi.
balimar said: Dalali unamwachaje mkuu? Naomba uelewe na dalali nae anataka mkataba wa kile utakachokipata for life Kazi tunae Click to expand... hiyo nafahamu muhimu tufanye kazi.
knaan Senior Member Oct 17, 2011 143 26 Jun 29, 2021 Thread starter #8 wakuu kama kuna dalali tuwasiliane bado nauhitaji sana.