Fatma Karume: Tatizo Watanganyika hawajitambui utaifa wao, sisi Zanzibar hatuwezi kufuta utaifa wetu

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,540
24,500
Wakili msomi Fatma Karume anasema kuwa viongozi waTanganyika ndiyo tatizo.

Viongozi wa Zanzibar na wananchi wa Zanzibar wanajitambulisha kama wazanzibari katika muungano wa nchi mbili kisha inafuata uTanzania.

Lakini viongozi wa kutoka upande wa bara hasa hawa wa CCM na serikali yake wanaona haya na kulazimisha kuufuta utanganyika wa asili raia taifa lao Tanganyika.

Upande wa Zanzibar utambulisho ni Mzanzibari kwanza, halafu mbili kutoka Tanzania.

Hapo ndipo kunapotokea zogo lakini kiuhalisia huwezi kufuta uasili wa kitaifa wa mtu katika Muungano anasisitiza wakili Fatma Karume kwa viongozi wa CCM bara na walio katika serikali yake.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni wa nchi mbili Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Jina la kwanza lilitambulika kama nchi ya Jamhuri za Tanganyika na ya Watu wa Zanzibar April 26, 1964.

Ilichukua miezi kadhaa baada ya muungano jina hilo la kwanza refu hadi kubadilishwa kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba 1964

Historia ya nchi ya Tanganyika iliyopata uhuru mwezi December 1961 na nchi ya Zanzibar iliyopata uhuru wake mwaka 1963 mwezi December pamoja na vizazi vya nchi hizo vilivyofuatia haviwezi kufutwa na viongozi wachache wa CCM kwa kuwa utaifa ni asili.
 
Wazanzibari always wako proud kuitwa Wazanzibari, sijui kwanini sisi Watanganyika tukiitwa Watanganyika huwa tunakasirika na kuona kama tunabaguliwa?
Hilo ni suala la kijiografia, ukitaja jina TANZANIA akili yako inakuja RAMANI YA TANZANIA kwamaana ya Tanzania Bara mpaka akili yako i-load tena ndio itaongeza hivyo visiwa.

So technically Tanzania ni Tanganyika mpaka uongelee mada ya Muungano ndio unakumbuka kuna kitu kinaitwa Tanganyika.

Kutaka unaware kwamba na sisi tujiite Watanganyika na Kuji pround haina tofauti na ule usawa wa 50/50 wanaolilia wanawake.

Hata Zanzibar ndio ingekuwa bara na hii called Tanganyika ndio ikawa kisiwa kidogo ingekuwa hivyo hivyo Tanganyika ungeona inajualikana kama Tanganyika na Zanzibar ingetumia jina la Tanzania tu.

Kwa lugha nyingine muungano Tanganyika ina Share 90% na Zanziba ina share 10% huwezi ukatafuta usawa hapo yaani likioande la ardhi love hili ulinganishe na ka kikawanja kadogo kanaitwa Zanzibar jinalitalozaliwa lazima lille kwa huyu Mkubwa tu.
 
Hilo ni suala la kijiografia, ukitaja jina TANZANIA akili yako inakuja RAMANI YA TANZANIA kwamaana ya Tanzania Bara mpaka akili yako i-load tena ndio itaongeza hivyo visiwa.

So technically Tanzania ni Tanganyika mpaka uongelee mada ya Muungano ndio unakumbuka kuna kitu kinaitwa Tanganyika.

Kutaka unaware kwamba na sisi tujiite Watanganyika na Kuji pround haina tofauti na ule usawa wa 50/50 wanaolilia wanawake.

Hata Zanzibar ndio ingekuwa bara na hii called Tanganyika ndio ikawa kisiwa kidogo ingekuwa hivyo hivyo Tanganyika ungeona inajualikana kama Tanganyika na Zanzibar ingetumia jina la Tanzania tu.

Kwa lugha nyingine muungano Tanganyika ina Share 90% na Zanziba ina share 10% huwezi ukatafuta usawa hapo yaani likioande la ardhi love hili ulinganishe na ka kikawanja kadogo kanaitwa Zanzibar jinalitalozaliwa lazima lille kwa huyu Mkubwa tu.
 
HOTUBA NZITO YA WAZIRI MKUU WA NCHI HURU YA ZANZIBAR MBELE YA UMOJA WA MATAIFA MWAKA 1963

Mheshimiwa Mohamed Shamte Waziri mkuu wa nchi huru ya Zanzibar akihutubia Baraza la Umoja wa Mataifa mjini New York tarehe 16 December 1963 na kusisitiza hakuna nchi ndogo wala kubwa inapokuja suala la sovereignty na kujiamulia mambo yake yenyewe au kutoa misimamo yake mbele ya mataifa mengine ktk baraza la umoja wa mataifa UN


View: https://m.youtube.com/watch?v=sp2ZymUTKyM
Zanzibar Prime Minister at UN in December 1963 when Zanzibar accepted as member of the United Nation by the general council.
 
10 December 1963 Zanzibar ilipowasiliana na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa UN kwenda Baraza la Usalama la UN kuhusu kuomba uanachama UN na kisha hotuba atakayoitoa waziri mkuu wa taifa huru la Zanzibar:
Summary:

Title Cable dated 10 December 1963 from the Prime Minister of Zanzibar addressed to the Secretary-General concerning application for membership in the United Nations

Concerns the application by Zanzibar for membership in the United Nations.


1714224556191.png
 
Wakili msomi Fatma Karume anasema kuwa viongozi waTanganyika ndiyo tatizo.


View: https://m.youtube.com/watch?v=upbVqLpdVmk

Viongozi wa Zanzibar na wananchi wa Zanzibar wanajitambulisha kama wazanzibari katika muungano wa nchi mbili kisha inafuata uTanzania.

Lakini viongozi wa kutoka upande wa bara hasa hawa wa CCM na serikali yake wanaona haya na kulazimisha kuufuta utanganyika wa asili raia taifa lao Tanganyika.

Upande wa Zanzibar utambulisho ni Mzanzibari kwanza, halafu mbili kutoka Tanzania.

Hapo ndipo kunapotokea zogo lakini kiuhalisia huwezi kufuta uasili wa kitaifa wa mtu katika Muungano anasisitiza wakili Fatma Karume kwa viongozi wa CCM bara na walio katika serikali yake.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni wa nchi mbili Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

Jina la kwanza lilitambulika kama nchi ya Jamhuri za Tanganyika na ya Watu wa Zanzibar April 26, 1964.

Ilichukua miezi kadhaa baada ya muungano jina hilo la kwanza refu hadi kubadilishwa kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba 1964

Historia ya nchi ya Tanganyika iliyopata uhuru mwezi December 1961 na nchi ya Zanzibar iliyopata uhuru wake mwaka 1963 mwezi December pamoja na vizazi vya nchi hizo vilivyofuatia haviwezi kufutwa na viongozi wachache wa CCM kwa kuwa utaifa ni asili.

Amesema ukweli mchungu sana.Hongera kwake kwa kuwa mkweli.

But all in all, wa-Zanzibari watambue kwamba mkoloni wao ni CCM, kwa sababu hata sisi wa-Tanganyika hatuwataki hao wa-Zanzibari.
 
Tanganyika nayo kama nchi huru iliwasiliana na kuomba kukubaliwa unachama UN tarehe 14 December 1961

Waziri mkuu wa nchi huru ya Tanganyika mwalimu Julius K. Nyerere akiingia New York Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa na akihutubia UN kwa mara ya kwanza akiiwakilisha nchi huru ya Tanganyika


View: https://m.youtube.com/watch?v=q_gEGEJpxZg
Rare Footage of Julius Nyerere Giving a Speech at General Assembly Meeting for Admission of Tanganyika to UN on 14th of December, 1961.

N.B
Tanganyika was a Member of the United Nations from 14 December 1961 and Zanzibar was a Member from 16 December 1963.
 
HOTUBA NZITO YA WAZIRI MKUU WA NCHI HURU YA ZANZIBAR MBELE YA UMOJA WA MATAIFA MWAKA 1963

Mheshimiwa Mohamed Shamte Waziri mkuu wa nchi huru ya Zanzibar akihutubia Baraza la Umoja wa Mataifa mjini New York tarehe 16 December 1963 na kusisitiza hakuna nchi ndogo wala kubwa inapokuja suala la sovereignty na kujiamulia mambo yake yenyewe au kutoa misimamo yake mbele ya mataifa mengine ktk baraza la umoja wa mataifa UN


View: https://m.youtube.com/watch?v=sp2ZymUTKyM
Zanzibar Prime Minister at UN in December 1963 when Zanzibar accepted as member of the United Nation by the general council.
 

Attachments

  • JamiiForums511659202.jpeg
    JamiiForums511659202.jpeg
    95.2 KB · Views: 2
Julius Nyerere mwaka 1959 akiulizwa kuhusu kama Tanganyika ipo tayari kuwa nchi huru


View: https://m.youtube.com/watch?v=o54zxGwrdMY

Nyerere aliulizwa na nchi za mabeberu mwaka 1959, : Je Waafrika "wako tayari" kwa uhuru? Baba mwanzilishi wa Tanganyika #Julius Nyerere akajibu: "Ukiingia nyumbani kwangu na kuiba koti langu, huna haki yoyote ya kuniuliza kama niko tayari kwa koti langu ... naweza nisionekane nadhifu ndani yake lakini ni langu." --

Nyerere was asked by the west In 1959, : Are Africans "ready" for independence? Tanzania’s founding father #JuliusNyerere: “If you come into my house and steal my jacket, you don't have any right to ask me if am ready for my jacket ... I may not look as smart in it but it's mine.” ——
 
Wazanzibari always wako proud kuitwa Wazanzibari, sijui kwanini sisi Watanganyika tukiitwa Watanganyika huwa tunakasirika na kuona kama tunabaguliwa?

Siyo sisi ni CCM Bara ndiyo imeingiza unyonge wa Fikra Huru kwa watanganyika wasijione ni ufahari kujitambulisha kuwa wao ni watanganyika ndani ya Tanzania.

Ukoloni mkongwe na ubeberu bila kujali umetoka wapi jambo la kwanza ni kufuta historia na wanakuja kutunga historia mpya wanayoitaka wao kwa manufaa yao mfano wakoloni weusi kupitia vyama vya ukombozi vilivyopigania uhuru Afrika.
 
Wazanzibari always wako proud kuitwa Wazanzibari, sijui kwanini sisi Watanganyika tukiitwa Watanganyika huwa tunakasirika na kuona kama tunabaguliwa?
Hata humu ukiandika tuitetee Tanganyika post itafutwa haraka sana Wanzibar wamewabatiza WaTanganyika jina la wabara.
Ubaguzi
 
Back
Top Bottom