Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,615
- 113,833
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.
Wanabodi,
2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina maana Lowassa ndio lazima yeye ndiye awe rais wetu, bali rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile mpaka sasa, Mungu bado hajatuambia amempangia nani awe rais wetu kwa mwaka 2015, asuming hoja hii Uchaguzi 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be ... sio mpango wa Mungu, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, then, Lowassa ni lazima awe rais wetu 2015!, lakini kama hajapangiwa, then, rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu aliyepangwa na Mungu!.
Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!
Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.
Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential material candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.
Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote kwao Mkapa ni rais, mimi kwangu, Mkapa ni Baba fulani na nimekwenda kwake kama baba wa rafiki yangu!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".
Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, and not necessarily ni Lowassa, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!" lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia and not necessarily ata make the best president kwa sababu the best presidential material candidate is one and only Lowassa, ila kwa CCM, usually they don't pick the best, Mwinyi was not the best lakini ndie Mungu alimpangia, Mkapa was not the best lakini ndie Mungu alimpangia, JK pia was not the best lakini ndilo chaguo la Mungu, hivyo whoever atakayekuwa rais wetu 2015, huyo ndie chaguo la Mungu kwa Tanzania yetu!.
Wasalaam!.
Pasco
Wanabodi,
2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina maana Lowassa ndio lazima yeye ndiye awe rais wetu, bali rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile mpaka sasa, Mungu bado hajatuambia amempangia nani awe rais wetu kwa mwaka 2015, asuming hoja hii Uchaguzi 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be ... sio mpango wa Mungu, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, then, Lowassa ni lazima awe rais wetu 2015!, lakini kama hajapangiwa, then, rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu aliyepangwa na Mungu!.
Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!
Mkuu So Notorious, kwanza nakubaliana na wewe, Pasco huyu unayemjua sasa ni mshereheshaji tuu wa maonyesho ya Saba Saba na Nanenane, kwa nyie watu wa kisasa. Pasco aliondoka rasmi newsroom mwaka 2002 na tangu hapo hajawahi kuajiriwa tena, sasa amebaki kama Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea. Sasa ili kumjua Pasco, rudisha mawazo yako mwaka 2002 ulikuwa level gani, na kuanzia hapo ndipo turudi nyuma!.Kafanya jambo gani la kutukuka huyu Pasco katika tasnia ya habari ? Pasco ni mshereheshaji wa maonyesho ya saba saba, zaidi ya hapo alikuwa spokesperson wa Lowasa lakini loyalty yake kwa Lowasa imeisha inaonekana mzee wa mvi kawa na mkono wa birika, najaribu kutafuta baada ya lowasa sijui anamlamba nani miguu.
Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.
Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential material candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.
Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote kwao Mkapa ni rais, mimi kwangu, Mkapa ni Baba fulani na nimekwenda kwake kama baba wa rafiki yangu!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".
Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, and not necessarily ni Lowassa, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!" lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia and not necessarily ata make the best president kwa sababu the best presidential material candidate is one and only Lowassa, ila kwa CCM, usually they don't pick the best, Mwinyi was not the best lakini ndie Mungu alimpangia, Mkapa was not the best lakini ndie Mungu alimpangia, JK pia was not the best lakini ndilo chaguo la Mungu, hivyo whoever atakayekuwa rais wetu 2015, huyo ndie chaguo la Mungu kwa Tanzania yetu!.
Wasalaam!.
Pasco