uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,499
- 10,021
Mzize ni kijana wetu ila lazima kukubali level zake bado ni za kawaida inabidi aongeze bidiiHakika chief. Yale majanga ya mzinze isingekua vile
Mzize ni kijana wetu ila lazima kukubali level zake bado ni za kawaida inabidi aongeze bidiiHakika chief. Yale majanga ya mzinze isingekua vile
Alikuwa anazifunga Club za kawaida sana.Mayele ni mchezaji wa kawaida sana hapa bongo alionekana mchezaji mzuri kwasababu club aliyokua anaichezea ni ya kawaida sana
Kwahyo kwenye huo mkataba wa mabilioni,kuna kipengele kinamkataza azam kufanya mahojiano na mayele.?Huna akili, Edo na Azam wapi na wapi?
Unajuwa Yanga na Azam Wana mkataba wa Billion ngapi?
Kuwa makini utajikuta siku moja unamtukana kibenten wa mama yako huku mitandaon
Kutoka kwa mchambuzi wa masuala ya soka, Edo Kumwembe ambaye amefunguka sakata la mshambuliajiwa Pyramids Fc ya Misri, Fiston Mayele kuwatupia madongo waajiri wake wa zamani, Klabu ya Yanga.
“Nadhani kuna tabia ambayo Mayele aliificha akiwa Young Africans na sasa ameifichua. Kutaka kuonekana mkubwa na mfalme. Bahati mbaya inamuumiza pia kwamba Young Africans wanasonga mbele bila ya yeye. Huwa inatokea unapoachana na mpenzi wako. Hautaki yamtokee mema mbele ya safari.
Lakini kuna uwezekano mkubwa Mayele anaumwa ugonjwa wa kupenda nyumbani (home sickness). Tayari Tanzania kulishakuwa nyumbani kwake na aina ya maisha ya Tanzania yalimuingia kwelikweli.
Maisha ya uwanjani, mitaani na mitandaoni. Tanzania bado haijamtoka. Bado ipo akilini mwake. Mwili upo Misri, lakini akili ipo Tanzania.
Inawatokea wageni wengi waliowahi kuishi Tanzania. Sio tu wanasoka kama kina Bernard Morrison ambao tunaona kila siku wanazurura Dar es salaam ingawa wanacheza soka la kulipwa Morocco, lakini pia kwa wageni wengine. Hata kuna mabalozi wa nchi za nje hawaishi kurudi kutembea Tanzania baada ya muda wao kuisha," amesema Edo Kumwembe.
-------------------
FAisal kwa zenji majini yalikozaliwa yanga wamemshindwa,yanga wachawi sanaAmeandikwa vibaya au imesemwa ukweli?
Tuongee ukweli Mayele anazingua.
Kati ya Mayele na Feisal kwa yaliyotokea nani alifaa kusema ana uhasama na Yanga!?
Unadai Yanga inakutupia majini mbona Feisal yupo hapo Chamazi na yuko fresh!?
NakaziaKutoka kwa mchambuzi wa masuala ya soka, Edo Kumwembe ambaye amefunguka sakata la mshambuliajiwa Pyramids Fc ya Misri, Fiston Mayele kuwatupia madongo waajiri wake wa zamani, Klabu ya Yanga.
“Nadhani kuna tabia ambayo Mayele aliificha akiwa Young Africans na sasa ameifichua. Kutaka kuonekana mkubwa na mfalme. Bahati mbaya inamuumiza pia kwamba Young Africans wanasonga mbele bila ya yeye. Huwa inatokea unapoachana na mpenzi wako. Hautaki yamtokee mema mbele ya safari.
Lakini kuna uwezekano mkubwa Mayele anaumwa ugonjwa wa kupenda nyumbani (home sickness). Tayari Tanzania kulishakuwa nyumbani kwake na aina ya maisha ya Tanzania yalimuingia kwelikweli.
Maisha ya uwanjani, mitaani na mitandaoni. Tanzania bado haijamtoka. Bado ipo akilini mwake. Mwili upo Misri, lakini akili ipo Tanzania.
Inawatokea wageni wengi waliowahi kuishi Tanzania. Sio tu wanasoka kama kina Bernard Morrison ambao tunaona kila siku wanazurura Dar es salaam ingawa wanacheza soka la kulipwa Morocco, lakini pia kwa wageni wengine. Hata kuna mabalozi wa nchi za nje hawaishi kurudi kutembea Tanzania baada ya muda wao kuisha," amesema Edo Kumwembe.
-------------------
Hajielewi mkuu.Mkuu ana changanya kivipi wakati kila mashindano yana vigezo ya timu kushiriki, mfano Champion league ni kombe ambalo washiriki wake % 99 ni mabingwa kutoka kwenye ligi za nchi zao.
Aiseee nikuache tu.FAisal kwa zenji majini yalikozaliwa yanga wamemshindwa,yanga wachawi sana
Na Bongo Zozo habanduki.Bongo patamu aisee
Naushangaa sana, akiwa Yanga alikuwa mchezaji wa kuigwa ila sasa hata sijui kawaje.Mayele anatakiwa kuachana na tabia ya uropokaji na pia ajifunze kuishi kama professional player. Hana sababu ya kulumbana na watu asiowajua mitandaoni, na pia kutoa siri za timu alizochezea/anazochezea.
Ikimpendeza, ajikite zaidi kwenye kazi yake ya kucheza mpira.
Yanga inapigwa vita sana, kizuri ni kuwa viongozi washajua hili na wana deal nazo vita hizi kisomi sanaMkuu huo ndo ukweli.. ukijaribu kufatilia hili sakata huwezi kuona popote uongozi wa Yanga umemletea zengwe Mayele