Hiyo best loser imeandaliwa na nani kama sio CAF?Kacheza final ya best looser
Au ndio ninyi mnaopinga kuwa EUROPA sio sehemu ya UEFA??
Hiyo best loser imeandaliwa na nani kama sio CAF?Kacheza final ya best looser
NakaziaNa timu alizokuwa anazifunga zilikuwa ni ndogo mno kuliko timu ya kawaida aliyokuwa akiichezea si ndiyo eeeh
Mayele anatakiwa kuachana na tabia ya uropokaji na pia ajifunze kuishi kama professional player. Hana sababu ya kulumbana na watu asiowajua mitandaoni, na pia kutoa siri za timu alizochezea/anazochezea.Mayele alipofanya interview Azam tv yanga walilalamika mpaka ikaondolewa, Ila vilaza kina kumwembe wakimwandika vibaya Mayele mnashangilia hamsemi habari ifutwe.
Ndo maana inaitwa Europa League na Siyo Uefa champions leagueHiyo best loser imeandaliwa na nani kama sio CAF?
Au ndio ninyi mnaopinga kuwa EUROPA sio sehemu ya UEFA??
Huwa tunavuta woteUsivute bangi mbichi.
Watu wenye PhD wamejikita kufanya tafiti na kufundisha wewe umekaa unapiga umbeya na huo umbeya ndio PhD yakoHuna akili, Edo na Azam wapi na wapi?
Unajuwa Yanga na Azam Wana mkataba wa Billion ngapi?
Nchonyo unakuwasha.Watu wenye PhD wamejikita kufanya tafiti na kufundisha wewe umekaa unapiga umbeya na huo umbeya ndio PhD yako
Ona ulivyo hauna akili.Ndo maana inaitwa Europa League na Siyo Uefa champions league
Acha kuandika maneno mengi alafu ujinga mtupu, mambo ya betting yametuletea wajinga wengi sana kwenye footballOna ulivyo hauna akili.
Ile inaitwa EUROPA EUFA LEAGUE,kama unavyoona kuna Uefa conference league.
Ni mashindano yote ya UEFA ila ngazi tofauti,kuna Uefa klabu bingwa(UCL),kuna Uefa shirikisho(EUROPA),na kuna uefa conference,yote ni Uefa ila ngazi zinatofautiana.
Na hata shirikisho Afrika ni CAF confederation Cup bimaana kombe la shirikisho barani Afrika.
Hivyo CC na CL vyote ni vya CAF,ndjo maana vinaitwa CAFCL na CAFCC.
Muachage ushabiki maandazi.
JF forum ya Leo wajinga mna Confidence kuliko watu wenye akili.Acha kuandika maneno mengi alafu ujinga mtupu, mambo ya betting yametuletea wajinga wengi sana kwenye football
Umeshindwa kujibu hoja umeanza kuleta mipasho,watoto mliolelewa na Single mother mnatabu sanaAcha kuandika maneno mengi alafu ujinga mtupu, mambo ya betting yametuletea wajinga wengi sana kwenye football
Kuwa makini utajikuta siku moja unamtukana kibenten wa mama yako huku mitandaonUmeshindwa kujibu hoja umeanza kuleta mipasho,watoto mliolelewa na Single mother mnatabu sana
Siyo kweli, kuna X huwa namboost mpaka financially akiwa na shida, haya ni mawazo ya kijinga.Hakuna mtu anayeweza kumtakia mema X wake!
Fala wewe kubali kuwa hujui na uache ubishani wa kishamba.Acha kuandika maneno mengi alafu ujinga mtupu, mambo ya betting yametuletea wajinga wengi sana kwenye football
We hujui hata unachojibu ni nini kwa kifupi hujui mpiraFala wewe kubali kuwa hujui na uache ubishani wa kishamba.
Tizama hapo chini mashindano ya klabu yanatangulia kwa jina gani.
Unatumia nguvu kubwa kuuwa sisimizi Kwa nyundo.Fala wewe kubali kuwa hujui na uache ubishani wa kishamba.
Tizama hapo chini mashindano ya klabu yanatangulia kwa jina gani.
Fala wewe.We hujui hata unachojibu ni nini kwa kifupi hujui mpira