Unamuiga oscar oscarjamaa ana assist hata akiwa bench
Suhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka.Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
Suhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka...
Yule muIvorycoast kaishia wapi tena? Hizi timu 2 za Wahindi zina vituko?Mkali kutoka Malawi
Shaban Djuma lazima apone kwanza ndio aanze kuonyesha makeke yake. Kwa sasa itabidi madaktari wafanye kazi...usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,l
Tatizo mashabik wa simba kuna muda ukwel hamuutak yan munaamin wachezaj wenu wa miaka hii minne mmewatoa sijui dunia yenu ata yanga kuna muda mashabik wake hawakutak kukubal ukwel kwamba timu yao sio nzur lawama zikawa tff na waamuz na simba wananunua mechi sasa kwa simba kwel walikua na timu nzur lakn wachezaj nao binadam kuna kushaka kiwango kuna timu zingine zinaweza kujipanga zikasajil wachezaj wazur kuliko simba pia kuna mambo kama aya ya baadh ya wachezaj umr kuwatupa mkono.Utopolo Bwana
hata mimi imenivutia sana hii. Hakuna mihemko,akili tu zinafanya kazi. Tazama Banda na Mhilu walivyotangazwa. Vidomodomo kama Ali Kamwe na Priva wanaonekana mafala tuIla Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
ungeanza kwa kuwaambia watu wewe ni Utopolo,itasaidia kuona mkeka wako kama ni wa kukaa au kuukanyaga na kwenda zako. Halafu mwambie mwalimu wako wa kiswahili akurudishie adaSuhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ...
Banda alipostiwa humu wiki kadhaa nyuma kusajiliwa na Simba na ikawa kweli. Hilo unalizungumziaje?Ila Simba SC inawaingiza chaka wachambuzi wengi uchwara wa bongo, wanaotaja wao kuwa atatambulishwa anakuwa mwingine kabisa... Safi sana Simba SC, kwenye usajili utulivu unahitajika sana hakuna mbwembwe. Nimependa usiri kwenye taarifa nyingi sasa hivi.
Kama Ajib?Nimemtazamaji huyu kiumbe ana ball control ya kutosha.
Hilo ni SUHALA la araka arakaSuhala sio kuwaingiza chaka kiukwel ata simba wenyewe wamevurugwa sana kwa sababu mbil kwanza usajil wa yanga unawapa wakat mgum sana simba kupata na wachezaj bora zaid ya wale wa yanga asa asa aucho na shaban djuma ,lkn pia kuna suhala la simba kuendelea kuwa bora kuliko uko nyuma apa lazma upate wachezaj bora zaidya uliokua nao je unawapata wap kwa araka araka ,ukija kuchanganya na aya mengine ya wachezaj kuondoka bas linazd kuwaumiza kichwa ni ukwel ulio waz msimu hautokuwa mzur sana kwa simba kupata mchezaj wachezaj wakaziba nafas za chama na luis ni kaz kubwa sana apo apo unatakiwa upate wachezaj wengine kwa ajir ya kuongeza ubora ikizingatiwa wapinzan washajua makosa yao na udhaifu wako lazma kichwa kikuume ndio maana unaona kama watu wanaingizwa chaka kumbe kuna pia mengine watu washavurugwa
Siwez kuwa shabik ambae kila kitu kwangu nione kizuri mm sio kiongozi simba wala sio mchezaj simba kusema nitanufaika tu ata kama timu itafanya vibaya kufanya vizur kwa simba ndio manufaa yangu sasa kama naona kuna ktu ambacho sio sawa nitasema kwa sababu hao viongoz au kamat ya usajil ya simba kuna binadam hawakos mapungufu wewe kama mpenz shabiki au mwanachama wa simba ambae kila kitu kwa simba unaona sawa iyo ni wewe ,wewe uliefaulu kiswahili umeandika kitabu gani cha shule ya msingi au chekechea?ungeanza kwa kuwaambia watu wewe ni Utopolo,itasaidia kuona mkeka wako kama ni wa kukaa au kuukanyaga na kwenda zako. Halafu mwambie mwalimu wako wa kiswahili akurudishie ada