CCM haina Mgombea. Wanamuomba agombee!!Slaa ni muhuni kama wale wahuni anaowataja Polepole, usije shangaa 2025 akawa mgombea urais wa chadema, maana chadema nao wametingwa kwelikweli kwa sasa
Fomu moja tuCCM haina Mgombea. Wanamuomba agombee!!
Keshokutwa akiitukana tena chadema njoo na jibu hili piaSiasa inaenda na mazingira yaliyopo Silaa yuko sahihi.
Anaangalia rais mkatolikiWakati Mkapa - ccm
Wakti wa Jk - chadema
Wakati wa Magufuli - Mfuasi wa CCM
wakati wa Samia - Mfuasi wa Chadema
anabadilika kama kinyonga anavyobadilika
Mimi nadhani hiyo ndiyo siasa. Mwanasiasa yuko kwa maslahi yake binafsi na siyo maslahi yakoWakati Mkapa - ccm
Wakti wa Jk - chadema
Wakati wa Magufuli - Mfuasi wa CCM
wakati wa Samia - Mfuasi wa Chadema
anabadilika kama kinyonga anavyobadilika
Jamaa kichwa chake kina shida, si bure!! Historia yake tu inamvua nguo hadharani, ila Chadema wanamtaka sasa agombee Urais kwa chama chao 2025Padre huyo,akitawala muislam kelele huwa nyingi zikiambatana na dharau
Hana shida yoyote,anajua afanyachoJamaa kichwa chake kina shida, si bure!! Historia yake tu inamvua nguo hadharani, ila Chadema wanamtaka sasa agombee Urais kwa chama chao 2025