Bob Wangwe: Historia ya CHADEMA kwa miaka ya nyuma imekuwa ikiazima wagombea Urais

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,289
6,002
"Historia ya CHADEMA kwa miaka ya nyuma imekuwa ikiazima wagombea Urais, tumekuwa tukiwabembeleza wanachama wenzetu kugombea Urais akiwemo Dkt Slaa kumekuwepo na 'trends' hiyo kwamba hatujawahi kuwa na watu wenye nguvu sana hasa ya kuleta ushindani na hata nguvu za kuweza kushinda kwenye Urais lakini kwa wakati huu tumekuwa na Freeman Mbowe na Tundu Lissu ,"

- Bob Chacha Wange Mwanachama wa CHADEMA

1715674543819.png

 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji

Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika

2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal

Sasa Wakati Ndio umefika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tundu Antipas Lisu aelewe hili
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji

Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika

2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal

Sasa Wakati Ndio umefika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tundu Antipas Lisu aelewe hili
uchonganishi na uchochezi katika vita baina ya patriot na puppet ndani ya Chadema ๐Ÿ’
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji

Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika

2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal

Sasa Wakati Ndio umefika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tundu Antipas Lisu aelewe hili
Usimchangamanishe Nyerere na uchafu
 
wewe kutwa kucha hulali kwa kujadili uchafu? unatofauti gani na wale chawa wanaokaa pachafu hapo lumumba? wakijiita chawa wa mama
mkuu sijui kama unanijua-sijadili ujinga na uchafu
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji

Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika

2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal

Sasa Wakati Ndio umefika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tundu Antipas Lisu aelewe hili
Ok
 
Ukishindwa kujibu hoja mshambulie mleta hoja.
Mshambulieni mleta hoja kwa kujibu hoja zake sio personal attack.Bob Chacha Wangwe kasema uongo au kasema kweli?
Tujadilianeni kwa nguvu za hoja sio personal attack.
 
"Historia ya CHADEMA kwa miaka ya nyuma imekuwa ikiazima wagombea Urais, tumekuwa tukiwabembeleza wanachama wenzetu kugombea Urais akiwemo Dkt Slaa kumekuwepo na 'trends' hiyo kwamba hatujawahi kuwa na watu wenye nguvu sana hasa ya kuleta ushindani na hata nguvu za kuweza kushinda kwenye Urais lakini kwa wakati huu tumekuwa na Freeman Mbowe na Tundu Lissu ,"

- Bob Chacha Wange Mwanachama wa CHADEMA

View attachment 2989865

Mbowe agombee ubunge na Lisu uRais
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nyerere na Mtei walimuandaa Freeman Aikael Mbowe kuwa Rais wa Tanzania Nyakati za Ukoloni mpya wa Uwekezaji

Ndio sababu Mabwanyenye wa Chadema walisema hawana shida na Ikulu hadi muda muafaka utakapofika

2005 Freeman Mbowe alifanyiwa rehearsal

Sasa Wakati Ndio umefika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Tundu Antipas Lisu aelewe hili
Kwani kuna kosa?
 
Back
Top Bottom