Hiyo hali inaitwa déjà vu,
Wanasayansi wameielezea kwa theories tofauti wakielezea inasababishwa na nini. Ila bado hamna jibu rasmi linalokubaliwa na wanasayansi:
Theory mojawapo inaeleza kwamba,
Namna ambayo ubongo huhifadhi kumbukumbu, mfano kuna jina unalijua limehifadhiwa kwenye ubongo, utakapolisikia, kuna sehemu ya ubongo ambapo kumbukumbu hiyo ilitunzwa inaamshwa kwaiyo unalikumbuka na linakua sio jina geni.
Sasa wanasayi wanasema inapotokea umefanya kitu cha kufanana sana kwenye mazingira yaleyale, huenda ikapekekea kumbukumbu ya kile kitu kwenye ubongo kuamshwa, kwahiyo unaona kama vile hicho kitu sio kigeni na kimejirudia exactly hiyo hali inaitwa déjà vu.
Hayo ni moja ya maelezo ya wanasayansi kuna theory nyingi zinazo jaribu kuelezea hiyo hali inasababishwa na nini, nyingine pia zinasema ni mojawapo ya tatizo la kiakili katika kuweka kumbukumbu.
Haya watu wa asili mtuambie hali hii inasababishwa na nini
Wanasayansi wameielezea kwa theories tofauti wakielezea inasababishwa na nini. Ila bado hamna jibu rasmi linalokubaliwa na wanasayansi:
Theory mojawapo inaeleza kwamba,
Namna ambayo ubongo huhifadhi kumbukumbu, mfano kuna jina unalijua limehifadhiwa kwenye ubongo, utakapolisikia, kuna sehemu ya ubongo ambapo kumbukumbu hiyo ilitunzwa inaamshwa kwaiyo unalikumbuka na linakua sio jina geni.
Sasa wanasayi wanasema inapotokea umefanya kitu cha kufanana sana kwenye mazingira yaleyale, huenda ikapekekea kumbukumbu ya kile kitu kwenye ubongo kuamshwa, kwahiyo unaona kama vile hicho kitu sio kigeni na kimejirudia exactly hiyo hali inaitwa déjà vu.
Hayo ni moja ya maelezo ya wanasayansi kuna theory nyingi zinazo jaribu kuelezea hiyo hali inasababishwa na nini, nyingine pia zinasema ni mojawapo ya tatizo la kiakili katika kuweka kumbukumbu.
Haya watu wa asili mtuambie hali hii inasababishwa na nini