nimeshindwa kuiweka picha kamili lakini iko kwenye attached file hiyo wajimini
mnisamehe buree tuu ushamba huuu jamani
may be!!1ila dont u think hapo mtu hawezi iba ndala zako?atavaaje? i think ni kind of a joke
"Ulinzi" unapokuwa ghali kuliko kinacholindwa hapo kunakuwa na tatizo la "economic justification".Labda kama ndala ni artifacts fulani zenye historic significance au attachment ya kihivyo (e.g zilitembea kuunga mkono azimio lol, in which case they should be in a safe or museum anyway).