Dawa ya Wezi wa viatu na ndala misikitini na kwingineko

Mtaalam

JF-Expert Member
Oct 1, 2007
1,370
234
jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj.jpg
 
jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj.jpg
 

Attachments

  • jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj.jpg
    jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj.jpg
    19.6 KB · Views: 237
nimeshindwa kuiweka picha kamili lakini iko kwenye attached file hiyo wajimini

mnisamehe buree tuu ushamba huuu jamani
 
nimeshindwa kuiweka picha kamili lakini iko kwenye attached file hiyo wajimini

mnisamehe buree tuu ushamba huuu jamani

Nimeshindwa kuamini hili suala! Is it that serious kwa sababu ya kuzuia wizi wa kandambili?
Ufafanuzi tafadhali!
 
may be!!1ila dont u think hapo mtu hawezi iba ndala zako?atavaaje? i think ni kind of a joke
 
may be!!1ila dont u think hapo mtu hawezi iba ndala zako?atavaaje? i think ni kind of a joke

"Ulinzi" unapokuwa ghali kuliko kinacholindwa hapo kunakuwa na tatizo la "economic justification".Labda kama ndala ni artifacts fulani zenye historic significance au attachment ya kihivyo (e.g zilitembea kuunga mkono azimio lol, in which case they should be in a safe or museum anyway).
 
"Ulinzi" unapokuwa ghali kuliko kinacholindwa hapo kunakuwa na tatizo la "economic justification".Labda kama ndala ni artifacts fulani zenye historic significance au attachment ya kihivyo (e.g zilitembea kuunga mkono azimio lol, in which case they should be in a safe or museum anyway).

hahaha nimecheka mie....bei ya ndala wakuta 800 kufuli lacheza na alfu kadhaaa!
 
Back
Top Bottom