Kwanini vijiji vingi vya usukumani havina wezi kama kwingineko?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,718
15,695
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
 
1. Pesa/mali kila mtu anayo ya kutosha siyo kama zile sehemu za wazee wa sokoni 7days/week.
2. Hawana tamaa za hovyo hovyo juu ya mali ya mtu
3. Maadili mema ni jadi yao
Nimeelewa. Pia sio wavivu kuanzia watoto wa kike hadi wa kiume. Mtoto aliyemaliza STD 7 anaweza kulisha familia bila kuach8wa pesa na wazazi. Ugali au wali walilima, mboga anatafuta porini. Siku zinaenda.
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
hakuna wavivu, hakuna wanaochagua kazi, hakuna wasio na kazi, ni watu wa bidii, kazi kazi. wanashindana kufanikiwa kila moja kwa jasho lake...
 
Mkuu ni kweli kabisa,Vijana wa huku kijijini wengi wanafanya kazi hasa za kilimo hawana tamaa na pesa za wizi au uonevu japo wapo lakini siwezi linganisha na sehem nliyokuwa naishi mwanzo kabla ya kuhamia huku..
Niliona vijana wanawacheka graduates. Yaani dogo Kamaliza STD7 anauwezo wa kununua Boda. Shamba la familia lipo, ngombe na zana zipo yeye ni bidii yake.

Uwezekano wa kupata pesa kama.mvua ipo unakuwa mkubwa, ukimuambia asome ili aje apate pesa, alafu anamuona graduate ni masikini kuliko yeye mzee hakuelewi.
 
hakuna wavivu, hakuna wanaochagua kazi, hakuna wasio na kazi, ni watu wa bidii, kazi kazi. wanashindana kufanikiwa kila moja kwa jasho lake...
Uvivu ndio point kubwa aisee. Nimeona vijijini vya mikoa ya mwambao wa bahari wajanjawajanja wengi. Wanataka vitu soft ndio maana rate ya wizi, kutapeliwa, ni kubwa kidogo hasa kwa mgeni.
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
Sababu ni jinsi mwizi anavyochukuliwa.

Huku mjini mtu mwizi mnamuita 'mjanja'

Lakini kwa msukuma mwizi ni kiwango cha chini sana cha kiumbe. Yaani yupo chini hata ya mdudu.

Ndio maana wao kumuondoa duniani mwizi hawaoni kama ni kitu cha ajabu, yaani ni kama wanasafisha kijiji kisivamiwe na 'zombi' mmoja anayejitanabaisha kama mwizi

Usukumani mtu anayesifiwa sana na kuonekana mtu. Ni yule mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa bidii na kiwango kikubwa. Mtu mwenye nguvu za kilimo, na sio mvivu mwenye kunyonya nguvu za watu wengine kwa kuwaibia.

Ndio maana bwana yule alisisitiza kwamba HAPA KAZI TU👊. Na akawapatiliza wote walioonesha harufu ya ufisadi. Basi tambua kuwa wasukuma kiasili wapo hivyo damuni kabisa.

Tafuneni
 
Nimekaa vijiji kadhaa, na kupita katika harakati zangu nimeona tofauti kubwa.

Usukumani ndani kabisa vijijini hakuna wiziwizi wa ajabu.

Huwezi kusikia wizi wa mifugo.
Watu wanaweka magunia ya mipunga bila ulinzi wa kutisha na unayakuta.

Cha ajabu hata vijiji vya wasukuma waliohamia Sumbawanga na Morogoro hivyohivyo.

Unatembea usiku hakuna mtu mwenye hamu ya kukukaba. Ukisahau pembejeo shambani unazikuta.

Jamaa wengi sio wezi, babda utokee ukame na kuwe na baa la njaa. Ila kwingineko huko tunakopitapita jamaa ni wepesi sana, tena ukiwa mgeni lazima uonewe.

Nini chanzo cha hii kitu
Hasa wenyeji wa pwani na ukanda huo yani ni wadokozi balaa.

darcity Accumen Mo
 
Sababu ni jinsi mwizi anavyochukuliwa.

Huku mjini mtu mwizi mnamuita 'mjanja'

Lakini kwa msukuma mwizi ni kiwango cha chini sana cha kiumbe. Yaani yupo chini hata ya mdudu.

Ndio maana wao kumuondoa duniani mwizi hawaoni kama ni kitu cha ajabu, yaani ni kama wanasafisha kijiji kisivamiwe na 'zombi' mmoja anayejitanabaisha kama mwizi
Duu. Hii nimeipenda.
Sumbantale watakuwa wanasimamia vizuri hii policy.
 
Back
Top Bottom