Sawa lakini Mbona kuna vitisho VYA CHINI chini VYA kumkatisha madaraka ya lady gaga!!??!!??kwani YEYE nae kakosea wapi!Deep informal alielewa his assignmen well! Alijua jinsi the big boss anapendwa kutukuzwa so he ensured that kumtukuza is done 100 %
So kulikuwa na meeting kati ya the new boss na the old old boss, hii meeting ilikuwa inahusu tender ya invester mmoja mgeni toka west africa kutumia moja ya plots za kampuni kuwekeza kwenye kampuni kama bond ya uwekezaji wake!
This man from west africa alikuja alone with his private jet na assistant wake mmoja tu kunegotiate the deal! Aliitaka hii plot since iko sehem mzuri na inapotential kwa biashara yake ya saruji
Hii plot ili wahi kuchukuliwa na CEO wa 2010 - 2015 kutoka kwa CEO wa 2000 - 2005 tena in bard terms! So the meeting ilikuwa kwanza kurudisha ownership ya plot hiyo kwa the old CEO wa 2000 - 2005 then yeye ndio asign deal na tajiri from west africa kitu kilicho mkera sana the CEO of 2010 to 2015! Maana plot hiyo aliifanya kama yake!
So wakati meeting preparation zinaendelea our deep informal kumbuka yeye ndio planner wa event yote pale headqutors! Alichofanya katika zile protocal za kupokea wageni moja ya askari aliwekwa ndani specific kuhakikisha when The old CEO atakapo fika headquators basi anatimiza wajib wake
Huyu askari alikuwa na kitu inaitwa polonium 210, hii kitu huwa inatiwa kidogo tu kwenye chai, water or juice na always humuondoa mtu in between 25 to 30 days since amepewa! The guy anderstood the asignment!
The old CEO loved coffee, nahapo ndio nyudo ilipo pigiwa! So wakiwa wanamsubiri tajiri from west africa, agent anatimiza kazi yake. Mkutano baadae unakwenda vizuri, makubaliano yanakamilika na kinachobaki nikutia siganture tu!
Sasa bwana......., the old CEO katoka vizuri headquators six days after the meeting akaanza kutokujiskia vizuri akampigia simu kijana wake kumwambia toka ametoka hapo makao makuu he was not fine!! Kijana akaamua kumpeleka hospitali for full check up.
The doctor alifanya checkup was one of the secret agent kwenye cycle ya CEO wa 2010 - 2015 dawa za hapa na pale kuchengesha muda tuuuuuu, stage two hiyoooo ikaingia things got sereous, after 16 days he was no more!
One man down ......one man down........... I repeat one man down........... !!!!!
New boss could not suspect enything since tukio limechezwa kwake na anapaamini 100% so he trusted doctors reports kumbe something big was on the way!!
Kwenye target board one mtoa kibri kwa our new CEO has gone! few to come!! These guys bana walikua sereous na jambo lao
New boss kwakuwa aliyemtoka ni mentour wake, na alisha kuwa CEO wa kampuni kama yeye, so alitaka mazishi makubwa, mazuri na ya heshima kumuenzi boss wake wazamani! So he called the his planner, kumbuka planner ndio deep informal!
After the successfullnes of the first mission now comes the second mission!!
Ukiskia kuuna ndege wawili au zaidi kwa jiwe moja ndio hii sasa!
Deep infomal akachora ramani zoote za remained target watako fika mazishini nyumbani kwa the late CEO. Ramani ikatua kwa the KING MAKER, vijana waka kaaa na kusuka the whole plan!
Targets kweli wakaenda ispokuwa mmoja tu. kilicho wakuta huko hao wengine no one noticed, baada ya kurudi, mmoja baada ya mwingine nikurudisha jezi kwa kipa
Now the new boss felt something un usual was goin on!! But it was tooooooooo late!
Kashtuka he is alone,
Unamjua aliye baki? .......
Nakuja..... Nalala kwanza ........
Very sensational, inatia hamasa na huzuni kuendelea kusoma.oyaaa hii code imefunguka lkn bado zip code zinakataa ku-operate zote
🤣🤣🤣 Asiyekuepo na lake....Nasikia ata waliokuwa wanamsifia boss aliepita wameanza kumgeuka. Hakuna watu wanafiki kama wafanyakaz wa chini kwenye kampuni.
Hujaamka tu?, isijekawa nawe umerudisha jezi B-)Deep informal alielewa his assignmen well! Alijua jinsi the big boss anapendwa kutukuzwa so he ensured that kumtukuza is done 100 %
So kulikuwa na meeting kati ya the new boss na the old old boss, hii meeting ilikuwa inahusu tender ya invester mmoja mgeni toka west africa kutumia moja ya plots za kampuni kuwekeza kwenye kampuni kama bond ya uwekezaji wake!
This man from west africa alikuja alone with his private jet na assistant wake mmoja tu kunegotiate the deal! Aliitaka hii plot since iko sehem mzuri na inapotential kwa biashara yake ya saruji
Hii plot ili wahi kuchukuliwa na CEO wa 2010 - 2015 kutoka kwa CEO wa 2000 - 2005 tena in bard terms! So the meeting ilikuwa kwanza kurudisha ownership ya plot hiyo kwa the old CEO wa 2000 - 2005 then yeye ndio asign deal na tajiri from west africa kitu kilicho mkera sana the CEO of 2010 to 2015! Maana plot hiyo aliifanya kama yake!
So wakati meeting preparation zinaendelea our deep informal kumbuka yeye ndio planner wa event yote pale headqutors! Alichofanya katika zile protocal za kupokea wageni moja ya askari aliwekwa ndani specific kuhakikisha when The old CEO atakapo fika headquators basi anatimiza wajib wake
Huyu askari alikuwa na kitu inaitwa polonium 210, hii kitu huwa inatiwa kidogo tu kwenye chai, water or juice na always humuondoa mtu in between 25 to 30 days since amepewa! The guy anderstood the asignment!
The old CEO loved coffee, nahapo ndio nyudo ilipo pigiwa! So wakiwa wanamsubiri tajiri from west africa, agent anatimiza kazi yake. Mkutano baadae unakwenda vizuri, makubaliano yanakamilika na kinachobaki nikutia siganture tu!
Sasa bwana......., the old CEO katoka vizuri headquators six days after the meeting akaanza kutokujiskia vizuri akampigia simu kijana wake kumwambia toka ametoka hapo makao makuu he was not fine!! Kijana akaamua kumpeleka hospitali for full check up.
The doctor alifanya checkup was one of the secret agent kwenye cycle ya CEO wa 2010 - 2015 dawa za hapa na pale kuchengesha muda tuuuuuu, stage two hiyoooo ikaingia things got sereous, after 16 days he was no more!
One man down ......one man down........... I repeat one man down........... !!!!!
New boss could not suspect enything since tukio limechezwa kwake na anapaamini 100% so he trusted doctors reports kumbe something big was on the way!!
Kwenye target board one mtoa kibri kwa our new CEO has gone! few to come!! These guys bana walikua sereous na jambo lao
New boss kwakuwa aliyemtoka ni mentour wake, na alisha kuwa CEO wa kampuni kama yeye, so alitaka mazishi makubwa, mazuri na ya heshima kumuenzi boss wake wazamani! So he called the his planner, kumbuka planner ndio deep informal!
After the successfullnes of the first mission now comes the second mission!!
Ukiskia kuuna ndege wawili au zaidi kwa jiwe moja ndio hii sasa!
Deep infomal akachora ramani zoote za remained target watako fika mazishini nyumbani kwa the late CEO. Ramani ikatua kwa the KING MAKER, vijana waka kaaa na kusuka the whole plan!
Targets kweli wakaenda ispokuwa mmoja tu. kilicho wakuta huko hao wengine no one noticed, baada ya kurudi, mmoja baada ya mwingine nikurudisha jezi kwa kipa
Now the new boss felt something un usual was goin on!! But it was tooooooooo late!
Kashtuka he is alone,
Unamjua aliye baki? .......
Nakuja..... Nalala kwanza ........
Nami pia... Japo kuna watu wanaaminika pasipo aminika... Tanga pazuri na ule msemo wao.... Na Mchangisha nauliNatamani kumjua huyo deep informer
Something fishy.....was goin on,......
kwa miaka kadhaaa the CEO alikuwa na team yake ndogo iliyokuwa ikimpromote kila kona ya kampuni. Hii timu ilipewa mamlaka makubwa sana japokuwa wengi ndani ya timu hii hawakuwa wafanyakazi wa kampuni!
Mmoja wa viongozi wa timu hii ndio alipiga simu wakati flani kumnotfy the CEO kuwa the old CEO wants him out of the office! Huyu Alikuwa loyal sana, sanaaaaaa!!
Alimpenda sana new CEO, aliaminiwa pia! Yeye ndie mratibu wa external life ya CEO. kazi yake kuu ni kumsemea mazuri tu na kumpamba the CEO!
Alikuwa na vifursa fursa vya kupiga nakujipatia good life behind the scene in the name of CEO
So alikuwa wakwanza kutaka meeting na the CEO wadiscuss why their closest people are dying! Alikuwa na taarifa ficho aliyotaka personaly aitoe yeye!
Katika kuucheza mchezo kisasa the old CEO na team yake walitengeeza mazingira yakama kumframe the deep informal. Why?! Sabbu they want confussion!! Ili the las task inayofuata isiwe ngumu saaaaana!!
Kwenye ujasusi unaetoa taarifa nawewe unatolewa taarifa! So these guy knew how to play the game!! They want confussion, misstrust kwenye team ya big boss!! They wanted him to intrapersonal conflict!.........
Walitaka pate woga!!!!
Chukuliwa kijana mmoja, well trained akamwita huyu kiongozi wa team B ya existing CEO akapewa info, kumhusu deep informal na vijana wengine walioaminiwa na CEO na kumgusia uhusiano wake na the old CEO akajifanya anampa kama speculations hivi yaani kama ana blow up the cover ya deep informal na vijana wengine pale in the head office!!
Tupicha picha twa mchongo na audio za vijana wakiwa kwenye convos wakimdiss CEO (sio deep informal Lakini)
The boy (naushamba bila tafakuru) aka bite the poison with a rush akakimbia kutafuta a way ataonana na the big boss! Kumbe anatengeneza a very nice trap
So the CEO agreed to the meeting! Kijana akaenda pale, akampenyeza taarifa, "boss your house is not safe, we need to cleen this house! Kuna watu wako hapa ni loyal kwa the old CEO, unahitaji mapumziko toka hapa nenda nyumbani pumzika kwanza tu check who is who!" Akasema anataarifa kumhusu mtuwake wakaribu kuwa ni loyal kwa adui yake!
The CEO hofu ikamwingia, akashtuka sana na akakubali, akaamua kutoka kwenye nyumba ya kampuni akaenda kwake nje kidogo ya mji! Akiwa kule akampa assigmment kijana wake yule ahakikishe kabla ajarudi town awe amethibitisha hilo
Alimpa mamlaka yakuunda team kwa kutumia all security agency zilizo ndani ya kampuni kufanya kila linalowezekana! Aliwataka watrace everything! Wajue what is goin on!! Aliomba mpka external companies ziiingie kumsaidia kujua what was goin on!!
So the boss took a flight chap kwa haraka mpaka kwake, wakati anaondoka the old CEO got the news akatoa notification haraka kwa vijana wake huyu asirudi!!
The boss wakati anaondoka akasema majukumu yote ya ofisi yataendela akiwa huko huko kwake, but akakata ties na deep informal! The boss akawa hajui amuamini nani au amuache nani!! He was confused and alone
Sasaaaa, mr old CEO kanyanyua simu kwenda moja of companies mshindani wa his old company!! Siunajua ma CEO huwa wanawatu wao kwenye kampuni shindani!??
Wakmset mtu wao aombe kuonana na huyu CEO, kama vile wanataka kufanya joint share kukuza biashara kupu guza ushindani usio nafaida!! All resorces zikatumika in within 48 hrs bana
mwenyekiti wa kampuni husika alitamani sana one day awe powerfull like huyu CEO aliyeko madarakani kwenye hii kampuni ya mshindani wake!! Wakati huo huo huyu CEO hakupenda kupingwa wala ushindani kutoka kwa other companies, nayeye aliitaka hii kampuni ya huyu mwenyekiti ife iwe yake
So kupokea wito wa mwenyekiti kuomba kuja nyumbani kwake kuzungumza how wanaweza shirikiana in business matters it was an advantage katika kuimeza kampuni hii shindani iliyokuwa inakuwa kwa kasi na kuua competition ya kibiashara
Without hesitation he agreed on the meeting!! Kumbe he agreed on his death........
So hearrenged the date of the meeting bila deep informal kujua! So for the first time the deep informal was out of the scene
What hapened to the deep informal.........
Damu inasafiri kwa kasi mwilini kama natizama horror movie, hakika wahenga walisema kweli, kikulachoooo.........! Kama ni kweli.Something fishy.....was goin on,......
kwa miaka kadhaaa the CEO alikuwa na team yake ndogo iliyokuwa ikimpromote kila kona ya kampuni. Hii timu ilipewa mamlaka makubwa sana japokuwa wengi ndani ya timu hii hawakuwa wafanyakazi wa kampuni!
Mmoja wa viongozi wa timu hii ndio alipiga simu wakati flani kumnotfy the CEO kuwa the old CEO wants him out of the office! Huyu Alikuwa loyal sana, sanaaaaaa!!
Alimpenda sana new CEO, aliaminiwa pia! Yeye ndie mratibu wa external life ya CEO. kazi yake kuu ni kumsemea mazuri tu na kumpamba the CEO!
Alikuwa na vifursa fursa vya kupiga nakujipatia good life behind the scene in the name of CEO
So alikuwa wakwanza kutaka meeting na the CEO wadiscuss why their closest people are dying! Alikuwa na taarifa ficho aliyotaka personaly aitoe yeye!
Katika kuucheza mchezo kisasa the old CEO na team yake walitengeeza mazingira yakama kumframe the deep informal. Why?! Sabbu they want confussion!! Ili the las task inayofuata isiwe ngumu saaaaana!!
Kwenye ujasusi unaetoa taarifa nawewe unatolewa taarifa! So these guy knew how to play the game!! They want confussion, misstrust kwenye team ya big boss!! They wanted him to intrapersonal conflict!.........
Walitaka pate woga!!!!
Chukuliwa kijana mmoja, well trained akamwita huyu kiongozi wa team B ya existing CEO akapewa info, kumhusu deep informal na vijana wengine walioaminiwa na CEO na kumgusia uhusiano wake na the old CEO akajifanya anampa kama speculations hivi yaani kama ana blow up the cover ya deep informal na vijana wengine pale in the head office!!
Tupicha picha twa mchongo na audio za vijana wakiwa kwenye convos wakimdiss CEO (sio deep informal Lakini)
The boy (naushamba bila tafakuru) aka bite the poison with a rush akakimbia kutafuta a way ataonana na the big boss! Kumbe anatengeneza a very nice trap
So the CEO agreed to the meeting! Kijana akaenda pale, akampenyeza taarifa, "boss your house is not safe, we need to cleen this house! Kuna watu wako hapa ni loyal kwa the old CEO, unahitaji mapumziko toka hapa nenda nyumbani pumzika kwanza tu check who is who!" Akasema anataarifa kumhusu mtuwake wakaribu kuwa ni loyal kwa adui yake!
The CEO hofu ikamwingia, akashtuka sana na akakubali, akaamua kutoka kwenye nyumba ya kampuni akaenda kwake nje kidogo ya mji! Akiwa kule akampa assigmment kijana wake yule ahakikishe kabla ajarudi town awe amethibitisha hilo
Alimpa mamlaka yakuunda team kwa kutumia all security agency zilizo ndani ya kampuni kufanya kila linalowezekana! Aliwataka watrace everything! Wajue what is goin on!! Aliomba mpka external companies ziiingie kumsaidia kujua what was goin on!!
So the boss took a flight chap kwa haraka mpaka kwake, wakati anaondoka the old CEO got the news akatoa notification haraka kwa vijana wake huyu asirudi!!
The boss wakati anaondoka akasema majukumu yote ya ofisi yataendela akiwa huko huko kwake, but akakata ties na deep informal! The boss akawa hajui amuamini nani au amuache nani!! He was confused and alone
Sasaaaa, mr old CEO kanyanyua simu kwenda moja of companies mshindani wa his old company!! Siunajua ma CEO huwa wanawatu wao kwenye kampuni shindani!??
Wakmset mtu wao aombe kuonana na huyu CEO, kama vile wanataka kufanya joint share kukuza biashara kupu guza ushindani usio nafaida!! All resorces zikatumika in within 48 hrs bana
mwenyekiti wa kampuni husika alitamani sana one day awe powerfull like huyu CEO aliyeko madarakani kwenye hii kampuni ya mshindani wake!! Wakati huo huo huyu CEO hakupenda kupingwa wala ushindani kutoka kwa other companies, nayeye aliitaka hii kampuni ya huyu mwenyekiti ife iwe yake
So kupokea wito wa mwenyekiti kuomba kuja nyumbani kwake kuzungumza how wanaweza shirikiana in business matters it was an advantage katika kuimeza kampuni hii shindani iliyokuwa inakuwa kwa kasi na kuua competition ya kibiashara
Without hesitation he agreed on the meeting!! Kumbe he agreed on his death........
So hearrenged the date of the meeting bila deep informal kujua! So for the first time the deep informal was out of the scene
What hapened to the deep informal.........
Huyu deep informer ni nani?Hakuna code hapo...ni black n white kuanzia heading...setting mpaka content...ni zezeta tu asiyweza kuelewa kinachoongelewa hapa