de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 1,391
- 2,896
Habarini wana JF!
Katika makuzi kila mmoja wetu amekua akiambiwa waheshimu ndugu zako wa damu, maana damu ni nzito kuliko maji! na hakika huu msemo unamake some sense, mpk mtu utakapo kuwa na kuanza kujitambua.
Ukweli usemwe kuna misemo mingine mababu zetu walikunywa gongo mbaya kabisa kupindi wanaiunda. Hasa huu wa damu ni nzito kuliko maji, umewafanya watu wengi sana kuteseka, kudharaulika, kutengwa na wengine hata kujiua.
Neno ndugu linamkanganyiko mkubwa sana hasa kama ukiliamini asilimia 💯. Ndugu wa kweli sio yule wa damu bali ni yule ambaye ajengae mahusiano yenye afya nawe. Kama mtu umuitaye ndugu wa damu na ndo chanzo cha wewe kukosa furaha basi huyo si ndugu! Neno ndugu lapaswa liangaliwe vizuri watu wengi wameingia kwenye matatizo.
Labda zamani, maana kidogo watu walikua na maadili ila sasa ndugu si mpaka awe wa damu. Hakuna maana tena yenye kuthaminisha hilo neno. Hasa tukiangalia watu walivyo telekezwa na kuachwa na hao watu waitwao ndugu wa damu. Kamwe sitakubalina na hii dhana ya damu ni nzito kuliko maji. Hao ndugu ndo watu wa kwanza kukutakia mabaya na kukufanyia fitna usifanikiwe.
Simaanishi ndugu wote ni wabaya, ila huo msemo hauna mantiki kwa generation tuishio sasa.
Katika makuzi kila mmoja wetu amekua akiambiwa waheshimu ndugu zako wa damu, maana damu ni nzito kuliko maji! na hakika huu msemo unamake some sense, mpk mtu utakapo kuwa na kuanza kujitambua.
Ukweli usemwe kuna misemo mingine mababu zetu walikunywa gongo mbaya kabisa kupindi wanaiunda. Hasa huu wa damu ni nzito kuliko maji, umewafanya watu wengi sana kuteseka, kudharaulika, kutengwa na wengine hata kujiua.
Neno ndugu linamkanganyiko mkubwa sana hasa kama ukiliamini asilimia 💯. Ndugu wa kweli sio yule wa damu bali ni yule ambaye ajengae mahusiano yenye afya nawe. Kama mtu umuitaye ndugu wa damu na ndo chanzo cha wewe kukosa furaha basi huyo si ndugu! Neno ndugu lapaswa liangaliwe vizuri watu wengi wameingia kwenye matatizo.
Labda zamani, maana kidogo watu walikua na maadili ila sasa ndugu si mpaka awe wa damu. Hakuna maana tena yenye kuthaminisha hilo neno. Hasa tukiangalia watu walivyo telekezwa na kuachwa na hao watu waitwao ndugu wa damu. Kamwe sitakubalina na hii dhana ya damu ni nzito kuliko maji. Hao ndugu ndo watu wa kwanza kukutakia mabaya na kukufanyia fitna usifanikiwe.
Simaanishi ndugu wote ni wabaya, ila huo msemo hauna mantiki kwa generation tuishio sasa.