Damu sio nzito kuliko maji

de Gunner

JF-Expert Member
Nov 2, 2021
1,391
2,896
Habarini wana JF!

Katika makuzi kila mmoja wetu amekua akiambiwa waheshimu ndugu zako wa damu, maana damu ni nzito kuliko maji! na hakika huu msemo unamake some sense, mpk mtu utakapo kuwa na kuanza kujitambua.

Ukweli usemwe kuna misemo mingine mababu zetu walikunywa gongo mbaya kabisa kupindi wanaiunda. Hasa huu wa damu ni nzito kuliko maji, umewafanya watu wengi sana kuteseka, kudharaulika, kutengwa na wengine hata kujiua.

Neno ndugu linamkanganyiko mkubwa sana hasa kama ukiliamini asilimia 💯. Ndugu wa kweli sio yule wa damu bali ni yule ambaye ajengae mahusiano yenye afya nawe. Kama mtu umuitaye ndugu wa damu na ndo chanzo cha wewe kukosa furaha basi huyo si ndugu! Neno ndugu lapaswa liangaliwe vizuri watu wengi wameingia kwenye matatizo.

Labda zamani, maana kidogo watu walikua na maadili ila sasa ndugu si mpaka awe wa damu. Hakuna maana tena yenye kuthaminisha hilo neno. Hasa tukiangalia watu walivyo telekezwa na kuachwa na hao watu waitwao ndugu wa damu. Kamwe sitakubalina na hii dhana ya damu ni nzito kuliko maji. Hao ndugu ndo watu wa kwanza kukutakia mabaya na kukufanyia fitna usifanikiwe.

Simaanishi ndugu wote ni wabaya, ila huo msemo hauna mantiki kwa generation tuishio sasa.
 
Habarini wana jf!

Katika makuzi kila mmoja wetu amekua akiambiwa waheshimu ndugu zako wa damu, maana damu ni nzito kuliko maji! na hakika huu msemo unamake some sense, mpk mtu utakapo kuwa na kuanza kujitambua.

Ukweli usemwe kuna misemo mingine mababu zetu walikunywa gongo mbaya kabisa kupindi wanaiunda. Hasa huu wa damu ni nzito kuliko maji, umewafanya watu wengi sana kuteseka, kudharaulika, kutengwa na wengine hata kujiua.

Neno ndugu linamkanganyiko mkubwa sana hasa kama ukiliamini asilimia 💯. Ndugu wa kweli sio yule wa damu bali ni yule ambaye ajengae mahusiano yenye afya nawe. Kama mtu umuitaye ndugu wa damu na ndo chanzo cha wewe kukosa furaha basi huyo si ndugu! Neno ndugu lapaswa liangaliwe vizuri watu wengi wameingia kwenye matatizo.

Labda zamani, maana kidogo watu walikua na maadili ila sasa ndugu si mpaka awe wa damu. Hakuna maana tena yenye kuthaminisha hilo neno. Hasa tukiangalia watu walivyo telekezwa na kuachwa na hao watu waitwao ndugu wa damu. Kamwe sitakubalina na hii dhana ya damu ni nzito kuliko maji. Hao ndugu ndo watu wa kwanza kukutakia mabaya na kukufanyia fitna usifanikiwe.

Simaanishi ndugu wote ni wabaya, ila huo msemo hauna mantiki kwa generation tuishio sasa.
Misemo hii huundwa kwa mantiki ya neno halisi la msingi.

Je damu na maji kipi kwa uzani ni kizito kuliko kingine?

Ukitoka hapo sasa anza hizo blah blah zako.

Ndugu ndiyo 'icon' yako ujue.

Hata ukifa leo cha kwanza watu watakachouliza: ... 'hivi ndugu zake wako wapi? '

'Ndugu' ni hadhi ambayo haivuliwi wala kutenguliwa kwa sababu ni watu walio kwenye 'blood line' moja.

Hiyo ya undugu kwa sababu ya misaada ni habari nyingine.

Watu wanaokusaidia ama kuelewana nao ambao siyo ndugu wana majina yao katika jamii huitwa 'marafiki' ama 'ndugu wa nia'.
 
Misemo hii huundwa kwa mantiki ya neno halisi la msingi.

Je damu na maji kipi kwa uzani ni kizito kuliko kingine?

Ukitoka hapo sasa anza hizo blah blah zako.

Ndugu ndiyo 'icon' yako ujue.

Hata ukifa leo cha kwanza watu watakachouliza: ... 'hivi ndugu zake wako wapi? '

'Ndugu' ni hadhi ambayo haivuliwi wala kutenguliwa kwa sababu ni watu walio kwenye 'blood line' moja.

Hiyo ya undugu kwa sababu ya misaada ni habari nyingine.

Watu wanaokusaidia ama kuelewana nao ambao siyo ndugu wana majina yao katika jamii huitwa 'marafiki' ama 'ndugu wa nia'.
Sikubaze kwenye mantiki mkuu, et uhalisia wa hayo maneno, nimelenga jinsi msemo ulivyo na madhaifu kwenye jamii...

Kweli ndugu ni icon na chanzo zha identity, ila linapokuja swala la kuaminiana na kukubaliana na ndugu hata kama wamekosea, kwa kuzingatia damu ni nzito kuliko maji kumesababisha watu wengi kushikilia watu toxic kwenye maisha wakaharibu mipango yao kisa hao ndugu wa damu. Blood line sio kigezo cha kuamini mtu.

watu wengi hasa waafrika wameathiriwa pakubwa na hii dhana. Sikatai uwepo wa ndugu, ila kudhani ndugu ni mtu muhimu kwenye safari ya maisha.
 
Mimi binafsi sina utaratibu wa kuheshimu na kumnafikia mtu mshenzi hata akiwa ndugu yangu wa damu moja nikijua ni mpuuzi kuanzia hapo mimi na yeye basi.

Binafsi huwa sitaki mazoea na watu wapuuzi.
Facts 💯💯 nyoka ni nyoka tu, haijalishi ni ndugu au mtu baki.
 
Habarini wana JF!

Katika makuzi kila mmoja wetu amekua akiambiwa waheshimu ndugu zako wa damu, maana damu ni nzito kuliko maji! na hakika huu msemo unamake some sense, mpk mtu utakapo kuwa na kuanza kujitambua.

Ukweli usemwe kuna misemo mingine mababu zetu walikunywa gongo mbaya kabisa kupindi wanaiunda. Hasa huu wa damu ni nzito kuliko maji, umewafanya watu wengi sana kuteseka, kudharaulika, kutengwa na wengine hata kujiua.

Neno ndugu linamkanganyiko mkubwa sana hasa kama ukiliamini asilimia . Ndugu wa kweli sio yule wa damu bali ni yule ambaye ajengae mahusiano yenye afya nawe. Kama mtu umuitaye ndugu wa damu na ndo chanzo cha wewe kukosa furaha basi huyo si ndugu! Neno ndugu lapaswa liangaliwe vizuri watu wengi wameingia kwenye matatizo.

Labda zamani, maana kidogo watu walikua na maadili ila sasa ndugu si mpaka awe wa damu. Hakuna maana tena yenye kuthaminisha hilo neno. Hasa tukiangalia watu walivyo telekezwa na kuachwa na hao watu waitwao ndugu wa damu. Kamwe sitakubalina na hii dhana ya damu ni nzito kuliko maji. Hao ndugu ndo watu wa kwanza kukutakia mabaya na kukufanyia fitna usifanikiwe.

Simaanishi ndugu wote ni wabaya, ila huo msemo hauna mantiki kwa generation tuishio sasa.
Tatizo hamtaki kukubaliana na uhalisi wa maisha

Pia ndugu nao ni watu Kama watu wengine wanaweza kufanya lolote

Nafikiri busara inahitajika hapo na sio chuki

Ikumbukwe wewe pia ni ndugu kwa mtu fulan anayelalamika ndugu wabaya

Tumia akili achana na hisia

We're all bad character in someone story
 
Tatizo hamtaki kukubaliana na uhalisi wa maisha

Pia ndugu nao ni watu Kama watu wengine wanaweza kufanya lolote

Nafikiri busara inahitajika hapo na sio chuki

Ikumbukwe wewe pia ni ndugu kwa mtu fulan anayelalamika ndugu wabaya

Tumia akili achana na hisia

We're all bad character in someone story
Wewe ndo umetumia hisia.

Hisia ndo zinawafanya wengi watumbukie shimoni.

Usi attach hisia hapo angalia uhalisia wa mambo. Usitumie kigezo cha hakuna binadamu mkamilifu kukubaliana au kupinga hoja. Huko ni kutumia vibaya upeo ulopewa na muumba.
 
Mkuu fanya hivi; nenda machinjioni uwaambie wakupe damu uone, kisha nenda dawasco uangalie maji.. kisha uje utupe majibu kipi kizito. Ila kwa upande wangu naona kabisa,"maji mazito kuliko damu"
 
Back
Top Bottom