ππππππ, sitaki πHaya, nikitoka nitakuja unipake mafuta mgongoni...π
π€π€π€ππππππ, sitaki π
yani una paka mafuta, ghafla una gusa mafutaππ€π€π€
Ngoja nikaoge...πππyani una paka mafuta, ghafla una gusa mafutaπ
Ulikuwa π₯, mbele ya mudaNilitongoza mkaka akanikatalia,,niliazima daftar lake af nkaeka kibarua katkat kesho yake nkamrudshia,si akalikusanya kwa mwalimu bila kuangalia....... ngoj nkapeng'e kamas nakuja
Sawa shangaziNgoja nikaoge...πππ
mwalimu akaona bwan,,si ikasomwa mbele ya darasa,ikagongwa na kengele ya dharulaπππΎ, jaman aibu aibuuu yule kaka alinikana kam hanijui nilichekwaaaaaaUlikuwa π₯, mbele ya muda
Enhee ikawaje
Dah aaki mwingine anahama na shule maana alikuua kisaikolojiamwalimu akaona bwan,,si ikasomwa mbele ya darasa,ikagongwa na kengele ya dharulaπππΎ, jaman aibu aibuuu yule kaka alinikana kam hanijui nilichekwaaaaaa
ningekua wa kishua ningemwambia dadii ile shule nmeichoka,,ila ndugu weee kidumu na mfagio kabsa naendaje kumwambia baba aka mshuaππππΎππΎDah aaki mwingine anahama na shule maana alikuua kisaikolojia
Alfu kwa kosa hilo?hahaha ni makofi na unasoma mpaka unamaliza na masimango juu ππningekua wa kishua ningemwambia dadii ile shule nmeichoka,,ila ndugu weee kidumu na mfagio kabsa naendaje kumwambia baba aka mshuaππππΎππΎ
usiombe ukafeli jaman,,unaskia mama sasa eeeeh tumekupeleka kusoma ila unajua kutongoza kulko kusomaππAlfu kwa kosa hilo?hahaha ni makofi na unasoma mpaka unamaliza na masimango juu ππ
Kabisa kabisausiombe ukafeli jaman,,unaskia mama sasa eeeeh tumekupeleka kusoma ila unajua kutongoza kulko kusomaππ
ππππTuliosoma bagamoyo (magambani) from 2008-.............
Kunya baharini along side the beach ilikuwa very easy no matter what,mkono wako unachimba shimo kidogo inakata gogo unafukia then you go
But nliacha kunya beach ..... guess what
Siku nlipochimba shimo na mkono then nkakutana na mav mabichi alafu nimesha yashika Kwa mkono aiseee it was such a worthless piece of shit nlijiskia vibaya
Nlikaa almost 3 weeks bila kutumia mkono wa kulia kwenye msosi