Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,029
- 46,855
Ugonjwa uliolipuka mwishoni mwa mwaka 2019 ambao kwa sasa unaelekea umedhibitwa kikamilifu baada ya miaka mitatu bado haujajulikana chanzo chake. Hizi hapa ni baadhi ya nadharia za chanzo chake,
1.Kampuni kubwa za dawa za magharibi zilitengeneza janga ili kufanya biashara ya kuuza chanzo. Support ya hili ni jinsi chanzo zilivyolazimishwa.
2.Virusi vilitengenezwa na Wamarekani kuwamaliza Wachina ika backfire hadi kwao wenyewe
3.Virusi vilitengenezwa maabara na wazungu kuwamaliza races nyingine duniani ika backfire hadi kwao wenyewe
4.Virusi vilitengenezwa maabara na Wachina kuwamaliza Wamarekani vika backfire kwao wenyewe.
5.Virusi vilivuja bahati mbaya katika majaribio ya kimaabara huko Wuhan China.
6. Teknolojia ya mawimbi ya mtando ya G5 iliviibua virusi.
7.New World Order(NWO) walitengeneza virusi kwa ajili ya ajenda zao za depopulation.
8.Virusi vilitoka kwa wanyamapori vikarukia kwa binadamu katika (wet markets) masoko ya wanyamapori huko China. Hii ndio theory ambayo wanasayansi wengi mainstream wanaikubali.
1.Kampuni kubwa za dawa za magharibi zilitengeneza janga ili kufanya biashara ya kuuza chanzo. Support ya hili ni jinsi chanzo zilivyolazimishwa.
2.Virusi vilitengenezwa na Wamarekani kuwamaliza Wachina ika backfire hadi kwao wenyewe
3.Virusi vilitengenezwa maabara na wazungu kuwamaliza races nyingine duniani ika backfire hadi kwao wenyewe
4.Virusi vilitengenezwa maabara na Wachina kuwamaliza Wamarekani vika backfire kwao wenyewe.
5.Virusi vilivuja bahati mbaya katika majaribio ya kimaabara huko Wuhan China.
6. Teknolojia ya mawimbi ya mtando ya G5 iliviibua virusi.
7.New World Order(NWO) walitengeneza virusi kwa ajili ya ajenda zao za depopulation.
8.Virusi vilitoka kwa wanyamapori vikarukia kwa binadamu katika (wet markets) masoko ya wanyamapori huko China. Hii ndio theory ambayo wanasayansi wengi mainstream wanaikubali.