Tetesi: Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble

CORONA VIRUS

ITALY: Lockdown

CHINA: Lockdown

DENMARK: Lockdown

NORWAY: Lockdown

IRELAND:close all school and cancel mass gathering

USA: close all school and ban European plane

TANZANIA : osha mikono yako kwa maji safi yanayo tiririka
 
Ililockiwa 70's sembuse now
tukilock nchi yetu mtakufa njaa
Huwa mnanifurahisha sana na hizi pumba na porojo zenu. Boda ya Kenya-Tz ilifungwa kwa miaka saba kutoka mwaka wa 1977! Uchumi wa Kenya kwa miaka hiyo saba uliendelea kuimarika kwa kasi huku uchumi wa Tz ukisambaratika na tukawapiga gap ambalo hadi leo hii hamja'recover'. Alafu Kenya kwa sasa, tofauti na miaka hiyo, ndio nchi ya pili kwa uwekezaji Tz. Kampuni za Kenya zina share kwenye uchumi wenu, ajira wanatoa kwa maelfu ya watz. Akili zenu huwa mnazitumia kufanya nini kama hamuelewi kitakachojiri na uchumi wenu utakavopata pigo kubwa iwapo ndoto zenu za kichawi zitatimia? Tena kwenye biashara Tz mna deficit kubwa ya mamilioni ya dola na Kenya kwasababu mnanua bidhaa nyingi zaidi ya bidhaa ambazo Kenya inanua kutoka Tz. Tanzania trade with Kenya turns into deficit
 
Huwa mnanifurahisha sana na hizi pumba na porojo zenu. Boda ya Kenya-Tz ilifungwa kwa miaka saba kutoka mwaka wa 1977! Uchumi wa Kenya kwa miaka hiyo saba uliendelea kuimarika kwa kasi huku uchumi wa Tz ukisambaratika na tukawapiga gap ambalo hadi leo hii hamja'recover'. Alafu Kenya kwa sasa, tofauti na miaka hiyo, ndio nchi ya pili kwa uwekezaji Tz. Kampuni za Kenya zina share kwenye uchumi wenu, ajira wanatoa kwa maelfu ya watz. Akili zenu huwa mnazitumia kufanya nini kama hamuelewi kitakachojiri na uchumi wenu utakavopata pigo kubwa iwapo ndoto zenu za kichawi zitatimia? Tena kwenye biashara Tz mna deficit kubwa ya mamilioni ya dola na Kenya kwasababu mnanua bidhaa nyingi zaidi ya bidhaa ambazo Kenya inanua kutoka Tz. Tanzania trade with Kenya turns into deficit
IMG_20200313_184112.jpg
 
Ukwel mchungu kwel jamani, umeshaambiwa miaka saba mipaka ilifungiwa tena kiongozi alikua yule marehemu("dictator moi") na bado uchumi haukuyumba ila gap ndio lilizidi..

Anyway, mbna madukani sijaona vyakula vya kutoka tanzania, labda unisaidie kidogo jomba

Sent using Jamii Forums mobile app
Karanga za Diamond zipo 😂 😂 😂 😂 😂
 
Effects of Corona virus on economies where "Mzungu" investors own 70% of Stock Exchange
👇👇
=============
Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble - Citizentv.co.ke
HIo $1.19 Billion loss ni just 5% drop ya stokes zote za NSE

NAIROBI, Kenya, Mar 13 – Kenya’s confirmation of the novel coronavirus stopped trading activity at the Nairobi Securities Exchange after the benchmark index plunged by more than 5 percent.

In a statement sent to newsrooms, the bourse says it stopped activity at 2:38 pm as provided in the NSE Equity Trading Rules requiring a temporarily stop of trading for not more than 30 minutes should the NSE 20 Share Index decrease by more than 5 percent.

“As per the provisions of Rule 9.4.1 (ii) of the NSE Equity Trading Rules, should the NSE 20 Share Index decrease by more than 5 percent at the opening session compared to its closing value or during the continuous session, compared to its opening value, the Exchange may temporarily halt trading for not more than 30 minutes.”



UK ambayo stock exchage yao ni kubwa zaidi ili drop by 10% kwasababu ya corona reaching UK


According to the BBC, the main UK index dropped more than 10 percent in its worst day since 1987.
First case of coronavirus in Kenya halts trading at NSE as panic selling escalates - Capital Business


Kule marekani

Dow Jones ilidrop by 9.99% na S&P 500 ili drop by 9.5% ... Kumbuka huko wanadeal na ma trillions of dollars kwahivyo hio 10% ni sawa na 2 trillion dollars, hio ni GDP ya Africa nzima imepotea huko marekani pekee!
Dow plunges 10% amid coronavirus fears for its worst day since the 1987 market crash



------------------------------------------------------
Global markets have lost $6 trillion in value over the past six days, according to S&P Dow Jones Indices.

Stock markets around the world are plunging into correction territory as investors fear the surging of coronavirus cases outside of China will escalate the deadly virus to a pandemic.




The market sell-off also wiped about $4 trillion from U.S. stocks in the same period, according to the firm’s Senior Index Analyst Howard Silverblatt. The Dow Jones Industrial Average, S&P 500 and Nasdaq are all in correction territory, down at least 10% from their most recent high.
Global stock markets have lost $6 trillion in value in six days
-------------------------------------------------
 
Back
Top Bottom