Christina ni Mwanamke Shujaa, apongezwe

We Christina embu tulia, kula matunda ya matendo yako. usitulazimishe tufikiri vipi kama ambavyo sisi hatukulazimishi kufanya chochote ila maoni yetu ni haki yetu.


Umezingua sana we mama
 
Kuolewaje bila Ridhaa?

Nadhani huku akiongozwa na Mungu wake mbele ya Altare Alikubali Kuolewa.

Aliulizwa kama anamkubali Mume katika Hali Zote na zijazo na akakiri kukubali Akiwa na Akili timamu na tabasamu tukuka.

Kwa Sasa baada ya shetani kumuingia ndo anasema hakuridhia.

Alete mashahidi wa kushuhudia Kuwa alilazimishwa.
Baba Yake na Mama Yake waje hadharani waseme walimlazimisha.

Usitetee kazi za shetani. Fungua Akili Yako kidogo.
It was under influence ya wazazi.
 
Huna Akili.

Miaka 19 tayari ni mtu mzima na Akili zake. Kuna walioozeshwa na miaka 14 na Bado wamezitunza Ndoa zao.

Huyo Christina amekwepa jukumu Takatifu la Kuleana Ndani ya Ndoa.

Ngoja Mzee Shusho ajitwalie mwanamwali mdogo kuliko yeye halafu aanze kulia lia Zaidi mtandaoni. Nadhani hakujifunza kwa Mzee Mengi na Mzee Metili.
Juice iliyowekwa hamira ni pombe tayari. Mind imechange,hana hata ajutalo huyu mama.
 
Malaya wakiteteana bwana eti shujaa 🤣🤣🤣Nyie mtaharibu watoto wetu mm nimegmfutilia mbali nyimbo za huyo kicheche ..alicho niudhi zaidi ni kumuhusisha Mungu katika upuuzi wake.
 
Dunia ishamsomba huyo mama,ni kama tu kina kiria,flora na wengine ambao umaarufu uliwalevya wakawakandia vikali waume zao,leo hata hawavumi tena!mzee shusho ampuuze asimjibu huyu yezebel!
 
Malaya wakiteteana bwana eti shujaa 🤣🤣🤣Nyie mtaharibu watoto wetu mm nimegmfutilia mbali nyimbo za huyo kicheche ..alicho niudhi zaidi ni kumuhusisha Mungu katika upuuzi wake.
Tafuta tusi lingine. Malaya halina uzito tena
 
Ila wanaume!! 🤣🤣🤣🤣
Dada Tina asante sana.
 
Thamani na heshima ya mwanaume inapungua sana kadri miaka inavyosonga
Hasa tangu SIR100 aingie madarakani
It's so stressful kwamba Tanzania nzima hakukua na mwanaume wa kukaa kitini mpaka mwanamke tena from zanzibar anatukoromea
Anyway nadhani nina makasiriko yangu binafsi 😊
 
Suala la msingi sio watu kutokubaliana na maamuzi yake. Anahaki ya kuamua juu ya maisha yake.

Jambo la msingi watu wanapinga upotoshaji anaoufanya. Ukikutana nae, muuliza je, hakujua kama anandoto za kupambania wakati anakubali kuolewa?.
 
Yaani nakojoa kabisa😂😂😂
😆😆😆😆 kojoaaaaa....kojoaaaaaa kumanina zako malaya mkubwa we!!!!!! Kama vile nakuona unavotukania huku umesisimka mwili hatareeee.... hatareeee.......🤸🤸🤸🤸🤸
 
😆😆😆😆 kojoaaaaa....kojoaaaaaa kumanina zako malaya mkubwa we!!!!!! Kama vile nakuona unavotukania huku umesisimka mwili hatareeee.... hatareeee.......🤸🤸🤸🤸🤸
Lione😂😂😂
 
GTs,
Nimekuwa nikiona wana jukwaa mnavyomsema vibaya Christina kisa kuachana na mume wake Mzee Shusho.

Wengi wenu ni wanaume ambao hamjui hali aliyoipitia Christina ktk maisha yake ya kuolewa ktk umri mdogo.

Historia ya Christina inawakilisha kundi kubwa sana la wanawake ambao wazazi wao walikataa kuwasomesha na kuwalazimisha waolewe kisa tu wazazi wao waliamini kumsomesha mtoto wa kike ni kupoteza hela kwa sababu anaweza kushika mimba akiwa shule.

Christina ni shujaa kwa sababu kaamua kulisemea kundi kubwa la wanawake wenye maumivu ya kukatiliwa ndoto zao na wazazi kwa kulazimishwa kuolewa.

Tuungane kuukemea utaratibu wa kumuoza mtoto wa kike badala yake watoto wa kike wawe na haki sawa ya kusoma.

Tumpongeze Christina kwa kujitokeza kuwatia moyo wanawake wote ambao ndoto zao za maisha zilikatishwa na ndoa za lazima.

Pia tukumbuke, mbinguni hatuendi kwa sababu tunandoa au hatuna ndoa bali ni roho safi inayoamini ktk Yesu Kristo, inayoamini na kumtegemea Mungu. Tuache dhihaka zidi ya Christina, tumtie moyo ili sauti zizidi kupazwa kuzuia ndoa zinazokatiza ndoto za wasichana kisa ndoa iliyolazimishwa na wazazi.

Pia soma: Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga
Mbususu FC tu hapo.
 
Muache Christina atumie vyombo vya habari ili kuelimisha umma wa jamii zilizokatili maisha ya watoto wakike

Aelimishe umalaya kupitia dini? Ndoa iliyofungwa na Mungu hakuna wakuibatilisha au hujui Hilo? Aliolewa akiwa mkubwa tu 19yrs na alishaanza make mtaani ndio maana mamaake akampigia chapuo Mzee shusho
 
GTs,
Nimekuwa nikiona wana jukwaa mnavyomsema vibaya Christina kisa kuachana na mume wake Mzee Shusho.

Wengi wenu ni wanaume ambao hamjui hali aliyoipitia Christina ktk maisha yake ya kuolewa ktk umri mdogo.

Historia ya Christina inawakilisha kundi kubwa sana la wanawake ambao wazazi wao walikataa kuwasomesha na kuwalazimisha waolewe kisa tu wazazi wao waliamini kumsomesha mtoto wa kike ni kupoteza hela kwa sababu anaweza kushika mimba akiwa shule.

Christina ni shujaa kwa sababu kaamua kulisemea kundi kubwa la wanawake wenye maumivu ya kukatiliwa ndoto zao na wazazi kwa kulazimishwa kuolewa.

Tuungane kuukemea utaratibu wa kumuoza mtoto wa kike badala yake watoto wa kike wawe na haki sawa ya kusoma.

Tumpongeze Christina kwa kujitokeza kuwatia moyo wanawake wote ambao ndoto zao za maisha zilikatishwa na ndoa za lazima.

Pia tukumbuke, mbinguni hatuendi kwa sababu tunandoa au hatuna ndoa bali ni roho safi inayoamini ktk Yesu Kristo, inayoamini na kumtegemea Mungu. Tuache dhihaka zidi ya Christina, tumtie moyo ili sauti zizidi kupazwa kuzuia ndoa zinazokatiza ndoto za wasichana kisa ndoa iliyolazimishwa na wazazi.

Pia soma: Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga
"Mwanamke mpumbavu...ataivunja nyumba yake yeye mwenyewe!"

Huyo Christina Shusho, ni moja ya wanawake wapumbavu! Niliowahi kuwashuhudia!

Anayanajisi madhabahu! Kwa kutoa Siri za ndani ya familia...ili ajipatie wafuasi kwenye dhehebu lake!?

Anashindwa japo kutumia hata kalio moja tu! Kufikiri!?.... Ya kwamba tumemjua kupitia huyu mzee Shusho!

Mf. Huwezi mtukana baba yako (mseng.e!) hata kama unatambua ni kweli anaingiliwa!

Laana itakupata tu!....

Na huyu laana ya mzee wa watu mzee Shusho ....ita m-haunt milele!!!
 
Back
Top Bottom