Christina mapromise

Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
13,565
28,583
Baada ya kutoka dar to arusha nilipita manyire kwa mjomba baadae nikaingia njiro kwa ndugu yangu mtinange kabla sijafika kwa ndugu yangu nikapumzika kwanza pale The Pillars Lounge nipate mvinyo na nyama choma nilivyo maliza rasmi nikaingia kwa ndugu yangu ile napitia njiani nikiwa na Subaru yangu nikapishana na mtoto mzuri akiwa ndani ya Toyota ist nyeupe Naam kijana nikajiongeza nikamsimamisha mtoto mzuri mambo vipi mrembo na swaga za hapa na pale paap nikafanikiwa kupewa number baadae nikamcheki akaniambia jina lake anaitwa Christina basi nikamwambia kesho tukutane The Pillars Lounge tupate kitu roho inapenda mtoto mzuri Christina mtoto mweupee kama malaika akakubali usiku wa jana Jumatano kijana mie mida ya saa 2 kamili usiku si nikawahi pale The Pillars Lounge Naam nikaagiza mvinyo na chipsi zege mixer soseji sahani 2 si nikajua christina anakuja nilikaa sana jana hadi saa 3 na nusu mtoto hakutokea 😭😭 dah na vile nilichoka sana ukiangalia bili za pale The Pillars Lounge ni balaa sana nikaamua nilipe bili yangu elfu 40 ila nilitamani kulia sana nimepata hasara mtoto hajatokea nikaamua nifungiwe viazi niende kula home na marafiki zangu😭😭😭 Kila nikimcheki Christina simu apokei dah Leo asubuhi namcheki kapokea nikamuelezea mbona hukuja why akaniambia Leo atakuja ngoja niwe na moyo wa subira
Nakupenda sana Christina mtoto wa geti kalii ❤️❤️ Leo njoo The Pillars Lounge puliziiii✌️✌️😍
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom