Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,373
- 13,133
Ishu ya China na Taiwan unaifahamu lakini au wajiandikia tu ili kukidhi matamanio yako kuhusu Zanzibar ?Inaeleweka wazi kukaribiana au kupakana na kisiwa ni hatari kwa security ya nchi ndo mana nyerer aliona mbali na kukinyakua. Sasa akina lisu wenye akili finyu hilo hawalioni na wengine wenye fikra mgando.
China kwa gharama yoyote wanataka kukinyakua taiwani na marekani inashupaza shingo mana inajua pale ndo naval base ya kuishambulia china.