Pochetino aondolewe sasa. Sio kocha wa vikombe.

Ushindi wa mwisho wa ligi huumaanishi mwanzo wa ligi ijayo atafanya vyema.

Atazengua kama kawaida yake.

Ni vyema akaja kocha mwingine mapema ajiandae na timu kwa ligi ijayo.
 
Pochetino aondolewe sasa. Sio kocha wa vikombe.

Ushindi wa mwisho wa ligi huumaanishi mwanzo wa ligi ijayo atafanya vyema.

Atazengua kama kawaida yake.

Ni vyema akaja kocha mwingine mapema ajiandae na timu kwa ligi ijayo.
Ataondolewaje wakati anasapotiwa na wachezaji
 
Pochetino aondolewe sasa. Sio kocha wa vikombe.

Ushindi wa mwisho wa ligi huumaanishi mwanzo wa ligi ijayo atafanya vyema.

Atazengua kama kawaida yake.

Ni vyema akaja kocha mwingine mapema ajiandae na timu kwa ligi ijayo.
Kubadili makocha hivyo Kuna muda unaleta kisirani fulani hivi kwa wachezaji, unajua Ile kubadili mfumo kila muda inakuwa ni kama wachezaji wanakosa kontrol maana washaanza ku adupt mfumo halafu hapo hapo unaleta Tena mfumo mwingine
 
lembu ndio anayempenda huyu kocha
Ni mzuri kuliko Pochettino
Iko wazi, timu ya Brighton aliyopewa ni takataka tupu na ndio maana akaamua kuondoka. Haiwezekani kocha akaamua kuondoka baada ya misimu miwili tu
Uongozi usipokuwa na ushirikiano mzuri wa usajili na kuuza wachezaji kwa kocha bora kama RDZ anaondoka

Jiulize kwa nini makocha wengi wamekataa ofa ya Bayern Munich. Uongozi wa hovyo na hakuna kocha Elite anayekubali kuwa chini ya uongozi takataka
 
Chelsea wamemweka kwenye orodha Kieran McKenna wa Ipswich kama mmoja wa makocha watakaochukua kuchukua nafasi ya Mauricio Pochettino endapo uongozi utakatisha mkataba wake wa kuifundisha Chelsea.

1716123952016.png
 
Wamiliki wa Chelsea wataamua mustakabali wa Mauricio Pochettino mara baada ya mechi ya Bournemouth leo saa kumi na mbili jioni. Kuna hali ya kufadhaika kutoka kwa pande zote mbili, wakiwemo wakurugenzi wa Michezo ambao walisikitishwa kuona kocha kujumuisha mbinu za mwishoni mwa msimu. Hakuna dalili juu ya kile kinachowezekana zaidi.
1716126527842.png
 
Pochettino anataka mamlaka zaidi kwenye usajili na uuzwaji wa wachezaji
Angekuwa na mamlaka hayo tangu mwanzoni hawa wachezaji wasingesajiliwa
  • Moises Caicedo
  • Romeo Lavia
  • Cole Palmer
  • Kendry Paez
  • Estavo Willian
Pochettino aliwataka
  • Gabri Veiga badala ya Cole Palmer
  • Declan Rice
  • Mac lister
  • Urgarte badala ya Caicedo
  • Mason Mount aliyekuwa namentality mbovu dhidi ya Chelsea abaki
  • Martinez golkipa wa Aston Villa
  • Danilo Pereira DM
 
Pochettino anataka mamlaka zaidi kwenye usajili na uuzwaji wa wachezaji
Angekuwa na mamlaka hayo tangu mwanzoni hawa wachezaji wasingesajiliwa
  • Moises Caicedo
  • Cole Palmer
  • Kendry Paez
  • Estavo Willian
Pochettino aliwataka
  • Declan Rice
  • Mac lister badala ya Caicedo
  • Martinez golkipa wa Aston Villa
  • Danilo Pereira DM
Hawezi pewa mamlaka yani huyu kaletwa tu ajenge foundation😃
 
Todd Boehly anataka pochettino aondoke, Behdad Eghbali anamwona kama mtu wake.

Nina hakika mashabiki wengi wa Chelsea wanafahamu kuwa Behdad Eghbali ana nguvu zaidi ya Todd; hivyo piga mahesabu, kocha atabaki hadi mwisho wa msimu.
 
#Chelsea
XI to face Bournemouth:
  1. Petrovic;
  2. Chalobah,
  3. Silva,
  4. Badiashile,
  5. Cucurella;
  6. Caicedo,
  7. Gallagher,
  8. Palmer;
  9. Madueke,
  10. Jackson,
  11. Sterling.
Bench:
  1. Bettinelli,
  2. Disasi,
  3. Colwill,
  4. Gilchrist,
  5. Gusto,
  6. Ugochukwu,
  7. Chukwuemeka,
  8. Casadei,
  9. Nkunku.
 
44'
Anthony Taylor anapuliza kipyenga chake na ni Raheem Sterling (Chelsea) ambaye anaadhibiwa kwa kosa la kukera. Uamuzi mzuri wa mwamuzi.
 
Back
Top Bottom