Madueke na Jackson ni wachezaji wa Timu ndogo au mechi ndogo. Uwezo wao ndio umeishia hapo, Nkunku nafasi yake kikosini inamsubiria.

Dogo Palmer anatisha sana, akili kubwa ya mpira, bonge la usajili, umri wake hauendani na mambo makubwa anayofanya uwanjani, anazidi kuwa hatari day after day kadri timu inavyozidi kuimarika.

Mudyk ana kitu mguuni ila kuna rythim flani ya uchezaji anaikosa, hope atazidi kuimarika huko mbeleni.

Sterling amekuwa mdudu washa washa ameongeza kitu katika utulivu na maamuzi yake uwanjani.

Changamoto kubwa ya the blues bado ni kule mbele uwezo mdogo wa kuweka magoli wavuni, lazima dirisha la usajili January tuendelee kuliboresha.

Eneo la katikati na nyuma linaendelea kuimarika sana. Ila kwa kipa Sanchez hapana aisee either tumrudishe keppa au tufanye usajili wa kipa mwingine wa caliber ya the blues.

Hongera sana kwa Poch anaendelea kuimarisha timu kimbinu na kiuchezaji.
Nahis madueke nae anahitaji mda, ni kama Mudryk tu niwachezaj wanaohitaj muda zaidi na kucheza mara kwa mara.

Madueke msimu uliopita wakat league inaelekea ukingoni alikuwa vizuri sema msimu huu Poch ni kama bado hajamwamini
 
Nahis madueke nae anahitaji mda, ni kama Mudryk tu niwachezaj wanaohitaj muda zaidi na kucheza mara kwa mara.

Madueke msimu uliopita wakat league inaelekea ukingoni alikuwa vizuri sema msimu huu Poch ni kama bado hajamwamini
Tatizo la Madueke hana pace kama ya Mudryk na ndio maana unaona mashabiki wengi wa Chelsea hata Mudryk alipokuwa hachezi vizuri bado walimfagilia sana. Madueke hana pace kabisa. Yeye anategemea dribling tu. Labda akifanya vizuri kwenye dribling anaweza kuja kutufaa sana kwenye yale mabasi kama ya Wetham.

Mudryk ana ofa vitu vingi sana wakati Madueke only dribling. Kwenye tight defence bado hawezi kutoboa
 
Binafsi niwapongeze wana Chelsea kwa matokeo na mpira mzuri mlocheza Jana, japo timu yenu Bado haijakaa vyema..
Ukijaribu fuatiliya mechi ya Jana mbali na kucheza vizuri na kutengeneza nafasi nzuri still hamkutumia ata moja, hivyo magoli mlopata ni kama bahati nje na nafasi mlopata, (1-penati, 2-cross ilojaa wavuni)...
Upande wa Arsenal pia sikuona nafasi ya wazi walotengeneza, magoli yao pia ni kama bahati tu, (1-shuti la rice ni makosa ya kipa, 2-trosard cross ilimkuta on target)
Mwisho nipongeze timu ZOTE kwa mchezo mzuri.. but upande wng Chelsea Bado Kuna vitu mkufunzi anahitaji kufanyia kazi kama umaliziaji mbele ni very poor otherwise Leo tusingekuwa na nguvu za kuandika hapa..

Ahsante tunashukuru. Msalimie ndugu mchambuzi maarufu Bwana Hamisi mwambie tunamsalimia sana.

Mpira ni furaha mpira ni burudani
Blue is colour
 
Haya watani matokeo 2-2 komaeni mtoke mikiani

Sina tatizo na kocha wenu ni moja ya makocha nawakubali Sana ,Wana mbinu Wana uelewa mkubwa wa Soka


Komaeni mtoke mikiani kwa mpira wenu hamstahili kuwepo chini ya manjesta ya tapeli ETH ambaye against promoted teams anabahatisha
 
Ahsante tunashukuru. Msalimie ndugu mchambuzi maarufu Bwana Hamisi mwambie tunamsalimia sana.

Mpira ni furaha mpira ni burudani
Blue is colour
Nipo kiongozi ,as Mchambuzi nguli tunakutana na changamoto ngumu katika kazi yetu


Moja ya kazi ngumu Ni kuichambua manjesta ya tapeli 7hag

Tupo na jopo la wachambuzi hapa tunahangaika kujua manjesta wanacheza brand gani ya football


20231022_112138.jpg
 
Nipo kiongozi ,as Mchambuzi nguli tunakutana na changamoto ngumu katika kazi yetu


Moja ya kazi ngumu Ni kuichambua manjesta ya tapeli 7hag

Tupo na jopo la wachambuzi hapa tunahangaika kujua manjesta wanacheza brand gani ya football


View attachment 2790116
We kuna siku man u wakikujua watakumwagia tindi kali wallah 😂😂😂😂😂 sio kwa hizo spana. wamekukosea nn?
 
We kuna siku man u wakikujua watakumwagia tindi kali wallah sio kwa hizo spana. wamekukosea nn?
kwa ule mpira wa manjesta against kina Sheffield, Burney unaona Kuna mwaga?

Niliwaambia hata humu Poch Ni kocha mzuri anahitaji muda ,anaweka playing style ,anahitaji GK, CF aanze kupambania mataji ila sio 7hag ,nikaandamwa Sana

7hag ana mwaka wa pili, pre season 2 lakin timu inabutua butua na ana matured players compared na Poch

Mpe 7hag hii Chelsea anaishusha daraja

Mpe Poch ile manjesta anagombea ubingwa
 
Nipo kiongozi ,as Mchambuzi nguli tunakutana na changamoto ngumu katika kazi yetu


Moja ya kazi ngumu Ni kuichambua manjesta ya tapeli 7hag

Tupo na jopo la wachambuzi hapa tunahangaika kujua manjesta wanacheza brand gani ya football


View attachment 2790116

sawa sawa ndugu mchambuzi vipa mechi yenu ya kesho hujaleta jinsi Martineli atakavyowaua sevila pamoja na partey na Ode watakavyo wanyanyasa mido ya Sevila
 
Hatimaye Mungu ametufuta machozi, ametupatia fundi mwingine darajani. View attachment 2789923
Palmer ndiye alitangazwa MOTM game na Arsenal
Tunaye huyu na Chunwuemeka ni fundi wa pasi fupi fup0i tena za build up, kabla hajapata injury alikuwa onfire
Kule kulia tuna Angelo Gabriel na kule kushoto tunaye Mudryk
Tatizo liko kwenye striker tu simuamini Jackson na kabisaa simuamini Broja
 
Bao la Mudryk dhidi ya Arsenal lilikuwa maalum kwake na kwa mashabiki na haswa bao dhidi ya Arsenal ambayo mashabiki wake walikuwa wakijiandaa kumzomea huko Emirate. Mashabiki wa Arsenal sasa watakuwa na heshima kubwa kwake.

1698068217735.png
 
Sijafurahi kbs kusuluhu, ila nimefurahi kijana mudryk kuwafunga hao kondoo, washike adabu yao. Sasa ndio mwendo kila tukikutana kijana mudi awachezee makalio.
Mwezi october
F9IeYWkacAA2m8s.jpeg
 
Kocha boya asingetakiwa afanye sub, kama jackson alimuingiza ya nini kupress hapress, madueke pia aliingia wa nini? Kutuonyesha rasta au?
Lakini hilo ndio soka. Muda mwingine Kocha unafanya sub ukiamini utabadili kitu. Muda mwingine unafanikiwa muda mwingine haufanikiwi, wachezaji wanatakiwa kuwa tayari muda wote.

Madueke angetoa pasi na Jackson kufunga ungemsifu sana kocha. Timu inaonekana kuelekea vema, tungoje majeruhi wote warudi tuone.
 
Kwamba Nketiah, Nunez, Rashford, mitoma hawajafunga goli msimu huu? Hivi Mashabiki wa kenge mnavutaga bhangi gani?
kondoo usipaniki, najua inauma kijana aliyewakataa ameanza kurudisha chenchi ya hela. tena dhidi yenu.
Soma vizuri hiyo ni kwa muda gani.
 
Back
Top Bottom