Naona wenyeji hampo, ingawa mnaongoja goli 1 dhidi ya newcastle utd
Kumbe wewe ni mnazi wa Chelsea? Hongeren kwa ushindi wa leo. Naona mnaanza kurudiSo far ni HT,
New Castle 0 - 1 Chelsea
Goli la Chelsea limefungwa na Drogba, dakika ya 36.
Penalti ya Chelsea iliyopigwa na Lampard imepanguliwa na kipa wa New Castle
Mkuu BAK,
Nashukuru, naona mechi yetu watu waliipotezea tu, lakini leo ndo tunacheza na timu ya JK hahahaha
Mshikaji wangu Piss-Ant!!! Mungu awajaalie!! I guess REV atakua keshafanya mambo ya Sala!!!