Sio Fake mzee wameanza kutema ndoano woteFake news
Hisa zakeNani wa kumuwajibisha Momadi?
Waache waparuane kabla ya derby ili tuwapige vizuri.Wangoje derby ipite kwanza
Matola apewe hiyo nafasi.JUSTIN: Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba,Imani Kajula amefutwa kazi ndani ya Klabu hiyo kufuatia kufanya vibaya kwa Simba.
Je nani anafuata???View attachment 2964172
Mangungu asiachwe, na yeye ni moja ya failure kwenye team
Source ndiyo hiyo JUSTIN?JUSTIN: Aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba,Imani Kajula amefutwa kazi ndani ya Klabu hiyo kufuatia kufanya vibaya kwa Simba.
Je nani anafuata???View attachment 2964172