Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,770
- 5,633
Football ya Tz ina mambo mengi sana nje na ndani ya uwanja, kwa sasa yanga wana watu bora sana nje ya uwanja na ndani ya uwanja, wana pesa na nguvu pia katika serikali.
Ikitokea mchezaji mzuri simba wanataka kumsaini na wao hizo taarifa wakazipata basi watafanya kila njia wao ndio wampate, kwa sasa wananguvu ya pesa na ushawishi pia.
Watu ambao wanaiendesha simba kwa sasa.
Mangungu
Tray again
Ahmed ally
Kajula
Yanga
Hersi said
Haji arafat
Kamwe
Mavunde
Mwigulu
Mstaafu
Manara
Gsm
Simba kwa sasa hafurukuti kwa lolote mbele ya yanga amezidiwa kila kitu. Vilio vitatawala sana pale simba, mtu aliyekuwa anawahenyesha yanga ni marehemu hans pope.
Mtu pekee aliyebakia ni Magori lakini hana pesa, labda mo arudishe nguvu zake zote ikiwemo yeye mwenyewe kurudi kwenye kiti cha mwenyekiti wa bodi.
Ikitokea mchezaji mzuri simba wanataka kumsaini na wao hizo taarifa wakazipata basi watafanya kila njia wao ndio wampate, kwa sasa wananguvu ya pesa na ushawishi pia.
Watu ambao wanaiendesha simba kwa sasa.
Mangungu
Tray again
Ahmed ally
Kajula
Yanga
Hersi said
Haji arafat
Kamwe
Mavunde
Mwigulu
Mstaafu
Manara
Gsm
Simba kwa sasa hafurukuti kwa lolote mbele ya yanga amezidiwa kila kitu. Vilio vitatawala sana pale simba, mtu aliyekuwa anawahenyesha yanga ni marehemu hans pope.
Mtu pekee aliyebakia ni Magori lakini hana pesa, labda mo arudishe nguvu zake zote ikiwemo yeye mwenyewe kurudi kwenye kiti cha mwenyekiti wa bodi.