CCM pigeni hesabu zenu vizuri kwa Mbeya

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,735
2,265
Kati ya mambo ambayo CCM Mbeya itajilaumu pamoja na serikali yake, ni figisu figisu zilizoondoa umoja mkoani Mbeya.

No wonder sasa hivi hakuna kiongozi wa ngazi za juu kutembelea mkoa.
Na CCM imekaa kimya.

Wapinzani wamenufaika vyema na mtifuano huo uliokuwepo ndani ya chama. Na vijana wa sasa wamekua kwa kutoijua au kufaidika na misimamo ya CCM kimkoa, maana hawaoni jinsi wanavyofaidika nayo.

Lakini mbaya zaidi ni kudharauliwa na viongozi wengine kitaifa, kwa kukosa umoja.

Inabidi tujiulize tulikosea wapi.
 
CCM yaeleza siri ya CHADEMA kuitoa jazho Mbeya Mjini

Hii ni heading ya Nipashe leo Machi 2, 2018.

Polepole amesema tatizo kubwa ni ubaguzi wa kikabila.
Hii inaweza kuwa sababu, ambayo katika madabyangunipo.
Lakini mimi nitajiuliza maswali.

Je, basi tukiri kuwa CHADEMA Mbeya hakuna ukabila?

Je, mnakumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Nd Mark Mwandosya alivyokubalika NA WOTE MBEYA, kiasi cha kuimbiwa "...Raisi....Raisi....Raisi....", wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Lowasa miaka ya nafikiri 2006/07?

Je, CCM yenyewe imesahau ilivyo jisambaratisha yenyewe kwa kujaribu kumuweka Thomas mtoto wa aliyekuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa Apson Mwang'onda, ili wamg'oe Mwandosya uNEC?

Je, CCM imeyasahau hayo yote, jinsi ilivyojiwekea mabomu ya kutegwa ardhini?

Leo tunavuna CCM ilichopanda, udhaifu uliopo ni matokeo ambayo hata CCM Taifa iliridhia na haikuchukua hatua.
Ombwe limejazwa na CHADEMA, na hakuna miujiza hapo.
Ni CCM Taifa kukubali makosa na kuwaomba radhi wanachama wake iliowakosea ili irudi kwenye mstari.
 
CCM yaeleza siri ya CHADEMA kuitoa jazho Mbeya Mjini

Hii ni heading ya Nipashe leo Machi 2, 2018.

Polepole amesema tatizo kubwa ni ubaguzi wa kikabila.
Hii inaweza kuwa sababu, ambayo katika madabyangunipo.
Lakini mimi nitajiuliza maswali.

Je, basi tukiri kuwa CHADEMA Mbeya hakuna ukabila?

Je, mnakumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM, Nd Mark Mwandosya alivyokubalika NA WOTE MBEYA, kiasi cha kuimbiwa "...Raisi....Raisi....Raisi....", wakati wa ziara ya Waziri Mkuu Lowasa miaka ya nafikiri 2006/07?

Je, CCM yenyewe imesahau ilivyojisambaratishabyenyewe kws kumuweka Thomas mtoto wa aliyekuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa Apson Mwang'onda?

Je, CCM imeyasahsu yote, jinsi ilivyojiwekea mabomu ya kutegwa ardhini?

Leo tunavuna CCM ilichopanda, udhaifu uliopo ni matokeo ambayo hata CCM Taifa iliridhia na haikuchuku hatua.
Ombwe limejazwa na CHADEMA, Zna hakuna miujiza hapo.
Ni CCM Taifa kukubali makosa na kuwaomba radhi wanachama wake iliowakosea ili irudi kwenye mstari.
Mkuu umetiririka.
Polepole tupe suluhu, huwezi kupanda michongoma ukavuna ndizi.
 
Pole x 2 ni janga kubwa hafai na genge lake.Kwa mbinu duni za dhuluma zinazoangamiza umoja wa Taifa letu.
 
Kati ya mambo ambayo CCM Mbeya itajilaumu pamoja na serikali yake, ni figisu figisu zilizoondoa umoja mkoani Mbeya.

No wonder sasa hivi hakuna kiongozi wa ngazi za juu kutembelea mkoa.
Na CCM imekaa kimya.

Wapinzani wamenufaika vyema na mtifuano huo uliokuwepo ndani ya chama. Na vijana wa sasa wamekua kwa kutoijua au kufaidika na misimamo ya CCM kimkoa, maana hawaoni jinsi wanavyofaidika nayo.

Lakini mbaya zaidi ni kudharauliwa na viongozi wengine kitaifa, kwa kukosa umoja.

Inabidi tujiulize tulikosea wapi.
Sio Mbeya tu,Chama chenu kimepoteza mvuto nchi nzima.
Sasa kimejificha Nyuma ya Polisi
 
Kwa utaratibu wa sasa wa kupora ushindi mchana kweupe ndani ya chumba cha kupigia kura (Kinondoni style), mwaka 2020 kuna hatari CCM ikajichukulia majimbo yote kwa nguvu. Unless kitu flani kifanyike..
 
No wonder sasa hivi hakuna kiongozi wa ngazi za juu kutembelea mkoa.
Na CCM imekaa kimya.
NS Tulia Akson Mwansasu anaenda enda sana huko. Bila shaka kuna wanaompenda sana au anatafuta kupendwa sana lakini at least yeye ni mmoja wa viongozi wa juu wanaokwenda sana Mbeya!
 
Sio Mbeya tu, nchi nzima sasa hivi mpambano wa vyama umebaki kati ya ukawa na polisi
Ukawa wakishika nchi polisi wenye kufanya maamuzi wastaafishwe kwa manufaa ya umma na maboresho makubwa yafanyike ikiwemo kulifanya jeshi kuwa taasisi ya kutoa huduma. Lakini pia mafunzo yawe miaka 2
 
CCM kinabebwa na vilaza wa mambo ya ulinzi na usalama
Polisi wengi wamepata division four halafu wakaenda mafunzo miezi tisa. Kisha wakapewa silaha washughulike na waliyohitimu degree. Hawajasoma katiba na pia hawasomi sheria za kiraia. Hili ni tatizo kubwa. Mafunzo yao yatazamwe upya
 
Back
Top Bottom