sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,068
- Thread starter
- #21
Ndie mimi huo nilianza kwenda nje huko kucheza mpira, mzee alikuwa ananitandika sana hadi akachokaHii ni tabia tu hata mngeachiwa huenda asingekuwa anajichanganya.
Watoto wanafungiwa ndani na mbwa wakali na bado unaambiwa mwanao J2 kaonekana kibaha huko ni mcheza mpira, ukija kufuatilia ndiye kapten wa timu baba hujui hata kama ni mchezaji.