Bunge siyo sehemu ya kumwagiana sifa wala uwanja wa kampeni, mnatia aibu!

Wakuu,

Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!

Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!

Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.

Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.

Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!

View attachment 2967161
Nini sasa hiki?

View attachment 2967168
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.
Naunga mkono hoja hii
 
Majangili yote yapo ndani ya CCM
Watanzania tuna ujinga mtukufu, si unaona hata wew wajiita netanyau. Hapo hakun mtu atakueleza baya kuhusu israel ukamuelewa.

Anyway natak kusema, tuanze na sis wenyewe kujikosoa ndipo tukosoe wengine.

Hili bunge n matokeo ya usaliti na uninga wetu. Humu tunaponda tukifika vyumba vya kupiga kura tunaunga mkono.

#nasimama mwenyew
 
Wakuu,

Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!

Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!

Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.

Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.

Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!

View attachment 2967161
Nini sasa hiki?

View attachment 2967168
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.

Wataongea nini wakati wengi wao hawana akili?

Wanaongea tu hayo waliyoyakariri kabla hawajaingia ukumbini. Kuongea mambo muhimu kunahitaji uwe na akili angalao ya kiwango fulani, ambayo wengi wao hawajaifikia.
 
Njaa mbaya sanaaa..... tupambanie tu ugali wetu na familia zetu maana hapa hatuna wabunge.
 
Angalia kwanza mfumo wa chama tawala ulivoandaliwa
Maana wanaompa mama sifa wanatetea FURSA zao za kuwa kwenye nyazifa zaidi
Wanajikuta wanasahau kupeleka shida na kero za wananchi na kiwatetea wananchi zao
 
Wakuu,

Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!

Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!

Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.

Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.

Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!

View attachment 2967161
Nini sasa hiki?

View attachment 2967168
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.
Pia soma:
Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024
Sijawahi kusikia bunge la Kenya lilisema tunamshukuru Mheshimiwa Ruto kwa kutupa pesa ya kujenga shule, au Ruto akitajwa kwa jina lake pale mambo ya maendeleo yanapozungumzwa kwenye vikao na halaiki mbalimbali za maendeleo kutoka kwa wabunge au maseneta au wakuu wa majimbo na hata madiwani, huu ni utamaduni wa TZ tu ambao unaelekea kusiko, hata kwa M7 pamoja na kuwa madarakani kwa muda mrefu hausikii hizi ngonjera, kwa kifupi kuna tatizo hapa.
 
Yaani mkuu toka uchaguzi wa 2020 mpaka leo ulikuwa hujajuwa kama kwa sasa Tanzania hatuna bunge?
 
Wakuu,

Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!

Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!

Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.

Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.

Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!

View attachment 2967161
Nini sasa hiki?

View attachment 2967168
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.
Pia soma:
Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024
TANZANIA HAKUNA BUNGE KUNA VIKAO VYA CHAMA NDANI YA MAJENGO YA BUNGE
 
Wakuu,

Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!

Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!

Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.

Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.

Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!

View attachment 2967161
Nini sasa hiki?

View attachment 2967168
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.
Pia soma:
Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024
Mkuu kwanza nikupe kongole kwa kudiriki kusikiliza huo upuuzi uitwao bunge. Sisi wengine tulishalipuuza muda mrefu sana.

Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
 
Unakosa mambo mengi sana kwa kutokufuatilia Bunge letu. Nakushauri anza kufuatilia vikao vya bunge pale unapopata nafasi .
Yaani Mimi nifuatilie hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura? Washamba na wasiojua lolote ndio wana muda wa kufuatilia hao wahuni.
 
Wakuu,

Wewe mbunge unajua upo hapo kuwakilisha wananchi, au unawakilisha kundi fulani kama watu wenye ulemavu nk, lakini mwanzo mwisho mama ametenda hiki, mama ametenda kile, hakuna kama yeye, dunia haijawahi kuona kama huyu!

Hivi hamuoni aibu? Hamsikii haya kwa huu ujinga mnaofanya? Yaani bunge limekuwa kama takataka sasa hivi kuangalia sifa zenyu za kipuuzi. Si wanaume wala wanawake wote mnatia kinyaa!

Inabidi tuwakumbushe nini kimewapeleka hapo? Maana inaonekana hamuelewi kabisa kilichowapeleka hapo. Wananchi wenu wana matatizo kibao lakini mmekalia mama anafanya hivi, mama anafanya vile, bure kabisa.

Na sisi wapiga kura embu tuwe serious basi, unaona mbunge wako mweupe na mjinga kama hivi piga chini. Mwisho wa siku wewe ndio unaathirika wao wakigeuka chawa, koi zetu zinaishia mifukoni mwao, huduma zinazidi kuwa mbovu huku wewe unazidi kuwa masiki.

Amka, hakuna chama chochote kimezaliwa na wewe, PIGA CHINI!

View attachment 2967161
Nini sasa hiki?

View attachment 2967168
Kingwangalla ni ujinga gani huu unaongea? Comfortable kabisa kwamba umeenda kuwawakilisha wananchi? Shame on you.
Pia soma:
Bunge la 12: Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024
Matokeo ya Monoparty....
 
Back
Top Bottom