Bunge la Marekani lapitisha muswada wa kuifungia TikTok

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,677
4,964
Hivi majuzi Baraza la Wawakilishi lilipitisha mswada ambao unaweza kusababisha kupigwa marufuku kwa TikTok nchini Marekani. Sheria inamtaka ByteDance, mmiliki wa China wa TikTok, kuuza maslahi yake kwa kampuni ya Marekani ili kuepuka marufuku. Mswada huo sasa umehamia kwenye Seneti, ambako unatarajiwa kupata kibali pia.

TikTok inaweza kupigwa marufuku nchini Marekani ikiwa mmiliki wa programu ya mtandao wa kijamii wa China hatauza hisa zake baada ya Baraza la Wawakilishi kupiga kura kuunga mkono hatua hiyo.

Sheria ya TikTok imejumuishwa katika kifurushi cha sera ya kigeni ya Marekani na kimeshapitishwa, kifurushi hicho kitaenda kwa Seneti ya Marekani, ambapo kuna uwezekano wa kupitishwa Jumanne.

Ikiwa mswada huo utakuwa sheria, mmiliki wa Kichina wa programu maarufu ya kushiriki video atakuwa na miezi tisa tu ya kupata mnunuzi, na uwezekano wa kuongezewa muda wa miezi mitatu utategemea kama mauzo bado yanaendelea, au ikishindikana kuuzwa basi mtandao huo utapigwa marufuku Nchini humo.
 
Hapa kinachosumbua ni kua USA

1. wanataka ku monopolize soko la social media, wanaumia wakiona company ambayo haimilikiwi na wamarekani inafanya vizuri.

2. Hawana control ya nini kitumwe, wamezoea facebook na mifano yake ambayo mawazo tofauti na qao mtu anakula ban.

Nothing else, there is no any smartness of those involved in this decision.
 
Kwa hiyo China na Marekani ni sawa wote madikteta ?
kwenye mifumo yao ya kiutawala sito zama, japo kila nchi ina sababu zake za ku block. China 2009 wali block sababu ya maandamano yaliotokea xinjiang province, because of uighur muslims. Ambapo serikal ya china ili ona social medias zinatumika kueneza taarifa za maandamano hayo. Since then waka ban.

While us wao wanadai taarifa za watumiaji wa tiktok kutoka Us haziko salama na uenda ziko accesed na serikali ya china.

Wewe mwenyewe utaamua yupi ni dictator
 
kwenye mifumo yao ya kiutawala sito zama, japo kila nchi ina sababu zake za ku block. China 2009 wali block sababu ya maandamano yaliotokea xinjiang province, because of uighur muslims. Ambapo serikal ya china ili ona social medias zinatumika kueneza taarifa za maandamano hayo. Since then waka ban.

While us wao wanadai taarifa za watumiaji wa tiktok kutoka Us haziko salama na uenda ziko accesed na serikali ya china.

Wewe mwenyewe utaamua yupi ni dictator
Data center ya TikTok ipo U.S haipo China.

Turudi kwenye swali kwa hiyo China na Marekani wote madikteta ?
 
Tiktok hawana data center moja man, hiyo ni kubwa but wana data centers europe na asia
Kitu cha kwanza serikali ya marekani ilitaka toka kwa TikTok wakati wa utawala wa Trump ni taarifa za watumiaji wao kuhifadhiwa kwao marekani na sio China wala sehemu yoyote nje ya marekani TikTok wasipo fanya hivyo watapigwa ban TikTok ikatii mashariti na kufungua data center marekani ya watumiaji wa marekani.

Sasa wanaleta ngonjera za kwamba lazima kampuni iuzwe kwa marekani bila hivyo wanaipiga ban leo hii kila nchi ikitaka social media za marekani wauziwe kwa lazima huo si ujinga ?

Taarifa za wamarekani zipo hapo hapo marekani wala sio China au sehemu yoyote nje ya U.S
 
Kitu cha kwanza serikali ya marekani ilitaka toka kwa TikTok wakati wa utawala wa Trump ni taarifa za watumiaji wao kuhifadhiwa kwao marekani na sio China wala sehemu yoyote nje ya marekani TikTok wasipo fanya hivyo watapigwa ban TikTok ikatii mashariti na kufungua data center marekani ya watumiaji wa marekani.

Sasa wanaleta ngonjera za kwamba lazima kampuni iuzwe kwa marekani bila hivyo wanaipiga ban leo hii kila nchi ikitaka social media za marekani wauziwe kwa lazima huo si ujinga ?

Taarifa za wamarekani zipo hapo hapo marekani wala sio China au sehemu yoyote nje ya U.S
Is not about zikaa wapi ila ni nani ana access , according to them bytedance ambayo ni chines company, nawajibika kwa serikali ya china, na wana sheria if wakihatij information za user wa nchi fulan bytedance watawajibika.

Wanacho worry wao , if ccp gov want data based on american citizens ,bytedance hawatokuwa na kipangamizi watawasilisha tu

And if you think american ni vichaa, china walifunga yote sababu ya maandamano ya kuwatetea waislam wa uighur yalikuwa yakisambaa kwa kasi through this platform. Wakaona isiwe ishu, ndio mpaka leo.
 
Is not about zikaa wapi ila ni nani ana access , according to them bytedance ambayo ni chines company, nawajibika kwa serikali ya china, na wana sheria if wakihatij information za user wa nchi fulan bytedance watawajibika.

Wanacho worry wao , if ccp gov want data based on american citizens ,bytedance hawatokuwa na kipangamizi watawasilisha tu

And if you think american ni vichaa, china walifunga yote sababu ya maandamano ya kuwatetea waislam wa uighur yalikuwa yakisambaa kwa kasi through this platform. Wakaona isiwe ishu, ndio mpaka leo.
Ishu ya China ilikuwa mabadiliko ya sheria yaliyo wataka social kuhifadhi data pale pale China kama walivyo taka mara ya kwanza marekani kwa TikTok na makampuni ya marekani haya kukubaliana na mabadiliko hayo.

Jambo lengine unaweza access social media za marekani China kupitia official VPN wakati marekani wametungia sheria kabisa ukutumia VPN pale TikTok ikipigwa ban rasmi basi una kifungo cha miaka 20 jela.

Hizo shutuma kuhusu Bytedance C.E.O Chow alisema alipinga hilo.

Marekani inacho lazimisha ni kuuziwa TikTok kwa lazima na wala sio hilo la data and of course hili suala limekaa kibiashara zaidi katika kulinda soko la social media zao.
 
Ishu ya China ilikuwa mabadiliko ya sheria yaliyo wataka social kuhifadhi data pale pale China kama walivyo taka mara ya kwanza marekani kwa TikTok na makampuni ya marekani haya kukubaliana na mabadiliko hayo.

Jambo lengine unaweza access social media za marekani China kupitia official VPN wakati marekani wametungia sheria kabisa ukutumia VPN pale TikTok ikipigwa ban rasmi basi una kifungo cha miaka 20 jela.

Hizo shutuma kuhusu Bytedance C.E.O Chow alisema alipinga hilo.

Marekani inacho lazimisha ni kuuziwa TikTok kwa lazima na wala sio hilo la data and of course hili suala limekaa kibiashara zaidi katika kulinda soko la social media zao.
Let me nikuweke sawa moja ya sababu ambazo western social media platform zili pull out of china, ni censorship and control , chinese gov walitaka platform hizo zi align na ideology na political agenda za china, shida ni kiwa hizi kampuni zina allow free information yoyote, yaan mtu yoyote ku post chochote kuhusu serikali yoyote, chines gov walitaka info za upande wao ziwe censored, which ni kinyume na taratib za platform nyingi duniani.

Is why hata wenyewe hawatumii tiktok, bali wanatumia douyin ,ambayo ni version ya tiktok ambapo maudhui yamekuwa censored kuendana na ideology za china

Pili ni usalama, kwamba baadhi ya social medias zinaweza ku collect information na ku facilitate maandamano, activist na organizaition ambazo ziko kinyume na chinese ideology. Refer xijiang province

Kuna zingine pia, hizi ni chache, basicaly that how hings went
 
Ishu ya China ilikuwa mabadiliko ya sheria yaliyo wataka social kuhifadhi data pale pale China kama walivyo taka mara ya kwanza marekani kwa TikTok na makampuni ya marekani haya kukubaliana na mabadiliko hayo.

Jambo lengine unaweza access social media za marekani China kupitia official VPN wakati marekani wametungia sheria kabisa ukutumia VPN pale TikTok ikipigwa ban rasmi basi una kifungo cha miaka 20 jela.

Hizo shutuma kuhusu Bytedance C.E.O Chow alisema alipinga hilo.

Marekani inacho lazimisha ni kuuziwa TikTok kwa lazima na wala sio hilo la data and of course hili suala limekaa kibiashara zaidi katika kulinda soko la social media zao.
Hizo shutuma bytedance CEO alikataabyes, but taifa halifanyi kazi on guarantee ya mdomo. Sisemi kuwa american goverment iko sawa kwenye hili, but also chinese gov ambao waliamua yao.
Who is right and who is wrong hiyo tuwachoe wananchi wa nchi husika
 
Back
Top Bottom