King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,857
- 5,418
Aya tupe darasa mkuu...Siyo kweli mkuu. Kuna namna ulikosea ndiyo maana ilikuchapa adi ukachanganyikiwa. Pengine uliingia kama kwenye kilee kilimo cha Whatsapp. Kila kitu kinahitaji utulivu wa akili na kuendelea kujifunza huku una practice. Ili upate matokeo yenye tija kwenye kila utakachoanza kukifanya kwa mara ya kwanza.... Usikurupuke, anza kidogokidogo huku ukijifunza.