hajui watu wanatunza risitiRoute ya mwongo huwa fupi sana 😂 wastani wa laki 5 kwa siku ni Mil 15 kwa mwezi.
Hapa kabadili gear kadai ni 3.5M kwa mwezi, deviation ya 11.5M kutoka kwenye madai yake ya awali 😂.
Waswahili sie nyoko mno manina 🤔
It's better than nothing!At least unaingiza chochote...
Anatupanga tu kk. Nimemuuliza hizo m300 amezipataje? Ni za urithi, ni mikopo au za wizi? Hajajibu. Ni kiwa na maana kama ni za hustle huwezi anza na laki kadhaa, tukafika m kadhaa then ukashindwa ku manage business ya 300. Coz mpaka unafika huko ushakutana na changamoto km zote na ukavuka na ushakuwa na connection yakutosha na ideas za biashara ndo usiseme so ht ikifell unajua uanzie wapi ku solve Sasa huyu hata hajui kakwama wapi afu anajikuta billionaire duh! Come on Jf.Umesema milioni 5 faida.
Halafu bado hujatoa mishahara na gharama za kuendesha ofisi. Inakuaje faida sasa ?????
Wewe ni dunderhead kipeo cha pili, ndo maana biashara unakutia wazimu.
Hio tsh 40k mbona inalipa kama unazo zaid ya 3Nimemuulizia jus nikaambiwa kaamia kweny biashara za malori za mchanga na yey ila daladla Arusha azilipi kbsa elf 40 kwa siku jmn siyo sawa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu nataman nikupe likes hata 100Hiyo return ni ya juu sana sielewi kwa nini unalalamika. Ume invest 300M returns kwa mwaka ni 60M ambayo ni karibia 20%. hamna biashara nyingine yenye such high returns. Hata treasury bills/bonds annual returns ni around 10%.
Umewah kuweka bond UTT au ulisoma matangazo yao tu mkuu??Kwa hio hela nafikiri kama ungeiweka kwenye bonds ungeondokana na hizo headaches kabisa. Fanya 12%×300,000,000, hio ni uTT ila BoT wanatoaga hadi 15% at times.
Yani kuna watu wana bahati!Kwahio hela kuchoma account forex ni majaliwa hata akifungua position 10 za gold kwa lot size ya 3
Mkuu unaijua biashara ya mabeli ya mtumba kweli? Yale ya kuagiza China, Dubai na kuja kuuza bongo?Hiyo return ni ya juu sana sielewi kwa nini unalalamika. Ume invest 300M returns kwa mwaka ni 60M ambayo ni karibia 20%. hamna biashara nyingine yenye such high returns. Hata treasury bills/bonds annual returns ni around 10%.
Kama maisha yangekuwa rahisi hivyo.Ningekuwa mimi ningeenda benki kuu ya Tanzania halafu ningenunua treasury bonds za miaka 25.
Kwa hela hiyo hata kama ningenunua za 250m,si hapa ningependa mgao mzuri wa kila nusu mwaka
Kwa 250m,ningepeta gawio zuri la kati ya 25m au 30m kwa mwaka,tena ni tax free,
(kama ntakuwa nimekosea hizo figure nakaribisha masahihisho)
Na baada ya miaka 25,narudishiwa 300m yangu na maisha yanaendelea
Sasa hivi unaingiza kiasi gani kwa mwezi?Yani kuna watu wana bahati!
Mimi hapa nilipo nipate dola 120k kwenye account yangu ya trading? Kila mwezi naingiza milioni 20 tu inatosha na hiyo ni uhakika.
Ikoje hii? Mtaji kiasi gani unaweza kuanza nao?Mkuu unaijua biashara ya mabeli ya mtumba kweli? Yale ya kuagiza China, Dubai na kuja kuuza bongo?
Ila we jamaa unaweza kufanya mtu ajione fala sana hapa duniani..Kuna mtu aliuza ukumbi mbezi beach pamoja na plot ya barabarani akajumua na duka kariakoo akafunga biashara, alitengeneza kama 2.5B hivi yote akaipeleka BOT, ana watoto 7 hela anayogawana nao, yeye na kila mtoto anapata 4M kwa mwezi bila kutoka jasho kwa namna yeyote ! Anachofanyana sahizi ni jogging, gym na kula vizuri tu akicheza na wajukuu!
Mie nikipata 1B tu ujue im never going broke again! Yote ni BOT na sitaki shida tena na mtu nakula gawio langu tu
Bhana weee!Penye miti hakuna wajenzi, hio mitaji ndio ya kuingia nayo forex kutengenez million 5 kwa siku kwa huo mtaji inawezekana kabisa. Ila ukiwa na laki laki hizi lazma unyooshwe. Hio $120,000 unabembea tu na gold ikishuka unashuka nayo ikipanda tu ni bingo
Sasa bado najikongoja boss!Sasa hivi unaingiza kiasi gani kwa mwezi?
Hio biashara ukiwa na 60M au zaidi unaanza. Kuna Mlebanon mmoja ana kampuni ya cargo haulage na malori yake ya transit nilikuwa nafanya accounting yard kwake ndio alikuwa anaagiza containers za viatu,nguo na bags zinashukia pale yard.Ikoje hii? Mtaji kiasi gani unaweza kuanza nao?
Vipi risk ya kuletewa mzigo mbovu?Hio biashara ukiwa na 60M au zaidi unaanza. Kuna Mlebanon mmoja ana kampuni ya cargo haulage na malori yake ya transit nilikuwa nafanya accounting yard kwake ndio alikuwa anaagiza containers za viatu,nguo na bags zinashukia pale yard.
Wanazi grade upya kuondoa nguo mbovu ama viatu vibovu kisha zinaenda Congo zingine zinabakia bongo. Jamaa ana duka moja mjini ndio zinauzwa huko, wengine wanazifata yard.
Hio hela ni cost na clearance ya container inaingiza container ya bales 700 unakuta ni mixer ya clothes na bags ama clothes na shoes. Ila clothes ndio zinakuwaga nyingi around 700+200 shoes kwenye container.
Hela anayoingiza sio ya kitoto mzee, bales za nguo zinacheza kati ya Tzs 200,000 hadi 300,000 huku viatu ni 150,000 hadi 250,000...Huyu mwamba ni kichefu chefu ana kiburi kibaya sana 😂😂😂 cha hela.
Hela inayoingia inaji double tu. Huo mtaji wa 60M unaweza kuzalisha mauzo ya 140M straight away. Sio story za kusadikika maana mie ndio niliokuwa nafanya accounts.
Tembea uone ndugu Acha kukaa chumbani kwako ,Wadogo zangu hebu jiongezeni basi. Hizo m300 au B nk unakuwa umezipataje? Za urithi za wizi au mkopo? Kama ume hustle mwenyewe toka inaitwa laki ikiwa million mara zikawa 10 zikawa 100 unakuwa umeshapitia ups an down nyingi ume solve challenge nyingi na unakuwa ushatengeneza connection kubwa na watu tofauti tofauti wenye vipato na fani tofauti tofauti. kiuhalisia hata ukipata hasara unakaa chini na Moja ktk mtandao wako mnayajenga . So jamaa anatupanga tu ila tulopitia situation hizo tunajua
Too good to be true but... Sikubishii inawezekana...Hio biashara ukiwa na 60M au zaidi unaanza. Kuna Mlebanon mmoja ana kampuni ya cargo haulage na malori yake ya transit nilikuwa nafanya accounting yard kwake ndio alikuwa anaagiza containers za viatu,nguo na bags zinashukia pale yard.
Wanazi grade upya kuondoa nguo mbovu ama viatu vibovu kisha zinaenda Congo zingine zinabakia bongo. Jamaa ana duka moja mjini ndio zinauzwa huko, wengine wanazifata yard.
Hio hela ni cost na clearance ya container inaingiza container ya bales 700 unakuta ni mixer ya clothes na bags ama clothes na shoes. Ila clothes ndio zinakuwaga nyingi around 700+200 shoes kwenye container.
Hela anayoingiza sio ya kitoto mzee, bales za nguo zinacheza kati ya Tzs 200,000 hadi 300,000 huku viatu ni 150,000 hadi 250,000...Huyu mwamba ni kichefu chefu ana kiburi kibaya sana 😂😂😂 cha hela.
Hela inayoingia inaji double tu. Huo mtaji wa 60M unaweza kuzalisha mauzo ya 140M straight away. Sio story za kusadikika maana mie ndio niliokuwa nafanya accounts.