Bei za Viingilio Real Madrid vs Bayern UEFA Nusu Fainali

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,589
99,541
1st leg,
ALIANZ ARENA STADIUM
Mzunguko €19= Tsh 52,744
VIP € 160= Tsh 416,400

2nd leg,
ESTADIO SANTIAGO BERNABEU
Mzunguko € 125 = Tsh 347,000
V.I.P € 445 = Tsh 1,235,320
IMG_20240430_040754.jpg
 
Hiyo Madrid haijapata kiongozi mwenye fadhila Kwa mashabiki zake kama Hersi.

Au tunaweza kusema kiongozi wa juu wa Madrid ni bahili kama MO asiyeweza kulipia tickets mashabiki wa Club yake anayoiongoza.

Hersi Kwa mapenzi yake Kwa mashabiki kwenye mechi kama hiyo angeifanya iwe free.

Na hivyo ndivyo Clubs kubwa zinavyo operates.
 
Sema R.Madrid Wana ROYAL FANS na watajaza uwanja
Hiyo Madrid haijapata kiongozi mwenye fadhila Kwa mashabiki zake kama Hersi.

Au tunaweza kusema kiongozi wa juu wa Madrid ni bahili kama MO asiyeweza kulipia tickets mashabiki wa Club yake anayoiongoza.

Hersi Kwa mapenzi yake Kwa mashabiki kwenye mechi kama hiyo angeifanya iwe free.

Na hivyo ndivyo Clubs kubwa zinavyo operates.
 
Back
Top Bottom