Ni hela ya kawaida kwao.tatizo pesa YENU HAINA THAMANIHe! Hawa wenzetu hela hawana shida nazo?
Analipiwa tu.Vipi mama J anaweza kuingia kuangalia game?
Hiyo Pesa ina Utofauti wa Thamani kulingana na eneo husika tu, kwa uko kwao kwa Pesa Hiyo unaweza ukanunulia Baiskeli tu ila huku kwetu mpk Gari unapata bila tabu.Ni hela ya kawaida kwao.tatizo pesa YENU HAINA THAMANI
Ndio maana pakaitwa Bernabeu kwa mabingwa wa muda wote wa CLViingilio vya Bernabeu ni vya moto
Hiyo Madrid haijapata kiongozi mwenye fadhila Kwa mashabiki zake kama Hersi.
Au tunaweza kusema kiongozi wa juu wa Madrid ni bahili kama MO asiyeweza kulipia tickets mashabiki wa Club yake anayoiongoza.
Hersi Kwa mapenzi yake Kwa mashabiki kwenye mechi kama hiyo angeifanya iwe free.
Na hivyo ndivyo Clubs kubwa zinavyo operates.
Wenzetu unaeza nunua hy tiketi kwa mkopo ..mshahara ukiingia wana kata chao...ndio zile kadi ambazo Yanga wanahangaika nazo za CRDB na NMBSema R.Madrid Wana ROYAL FANS na watajaza uwanja
Hujaiona Yanga weweSema R.Madrid Wana ROYAL FANS na watajaza uwanja