shabani_rajabu
Member
- Oct 15, 2008
- 11
- 3
Huyo jamaa anaombea tuwe kama somalia walikotokea mababu zake jadi yao kama hawajaona damu ya binadamu inamwagika hawalidhiki watafanya kila njia ili imwagike lakini Tanzania haitatokea
Budget ya serikali haina uhalisia,mpango wa budget wa mwaka 2016,2017,2018 mambo ni yale yale.
Aishauri serikali kutenga pesa nyingi kwenye kilimo maana asilimia kubwa ya watanzania ni wakulima.
Hakuna fedha kutoka serikali kuu kwenye kwenye halmashsuri-ni ngumu kutekeleza shuguli za maendeleo.kinachokusanywa na halmashauri hutumika kuendeshea ofisi.
Naona Unapiga makelele tu mara nape mara upande wapili na takataka kibao umezija hapo hadi kichefuchefu lakin hujajibu swali langu nimekuuliza swali BASHE kafanya kosa gani huko CCM? Usiruke ruke kama maharage motoni.Acha mambo ya kukaririshwa, hata juzi tuliona wakati Nape katubuliwa tena viongozi wakubwa upande ule wakamtetea hadi kumwita shujaa, baada ya Nape kusema ahondoki CCM wakageuka na kusema eti amevuna alichopanda, inaonekana baadhi yetu atushugulishi vichwa vyetu kutafakari mambo haya.
Sasa ilikuwaje CCM wakampitisha kama mgombea kwenye uchaguzi wa 2015?? Kama hizo tuhuma ni za kweli?
Atoke tu atuachie chama chetu
Nyie vilazaa mbona mmekakamaa tu ohh otoke mara ooh atuachie chama tuna taka mtueleze BASHE amefanya kosa gani?? Maana nyie mnajinadi na kujifanya ooh CCM chama kinacho pokea kukosolewa mara ni chama cha Democracia , sasa watu wana ongea ukweli mnawachukia tena!!? Hiyo democrasia ya wapi yie mambururaz au ya vichochoro vya uwanja wa fisi? BASHE amefanya kosa gani?! Toen majibu sio mnaruka ruka kama vyura wa kihansi na siasa zenu za chuki na visasi .huyu bashe ni jipu ambalo litatumbuka lenyewe tu
Usitokwe na mapovu dada. huyo bashe ni jipu ambalo litatumbuka lenyewe tuNyie vilazaa mbona mmekakamaa tu ohh otoke mara ooh atuachie chama tuna taka mtueleze BASHE amefanya kosa gani?? Maana nyie mnajinadi na kujifanya ooh CCM chama kinacho pokea kukosolewa mara ni chama cha Democracia , sasa watu wana ongea ukweli mnawachukia tena!!? Hiyo democrasia ya wapi yie mambururaz au ya vichochoro vya uwanja wa fisi? BASHE amefanya kosa gani?! Toen majibu sio mnaruka ruka kama vyura wa kihansi na siasa zenu za chuki na visasi .
Huyo jamaa anaombea tuwe kama somalia walikotokea mababu zake jadi yao kama hawajaona damu ya binadamu inamwagika hawalidhiki watafanya kila njia ili imwagike lakini Tanzania haitatokea
atakapojikuta mogadishu ndio atajua alikua anacheza na nini,mwenzie nape yuko mtama huko analia lia tuBashe we endelea tu
Shauri yako
Huyu Bashe kuna kitu anakitafuta
Acha kutafuta wanaume huku wewe kima taja kosa lake ,maana hamana akili nyie bendera fuata upepo kama mikia ya mbwa , ACHA MANENO WEKA KOSA LA BASHE HAPA nadhan umesha jiona ulivyo kiokote wewe jingajinga, mnachuki za kike sana nyie kima , tena chuki hazima kichwa wala miguu , SEMA KOSA LA BASHE ndio swali unalo takiwa kujibu hizo nye*e zako peleka huko, hapa sema kosa sio kufuta mikumbo tuu kama misafara ya bata na wanae.Usitokwe na mapovu dada. huyo bashe ni jipu ambalo litatumbuka lenyewe tu
asante kwa matusi yako ila mtaisoma namba this time. wewe ni jipu na utatumbuka mwenyewe. watch outAcha kutafuta wanaume huku wewe kima taja kosa lake ,maana hamana akili nyie bendera fuata upepo kama mikia ya mbwa , ACHA MANENO WEKA KOSA LA BASHE HAPA nadhan umesha jiona ulivyo kiokote wewe jingajinga, mnachuki za kike sana nyie kima , tena chuki hazima kichwa wala miguu , SEMA KOSA LA BASHE ndio swali unalo takiwa kujibu hizo nye*e zako peleka huko, hapa sema kosa sio kufuta mikumbo tuu kama misafara ya bata na wanae.
Hadi wabunge wanajitoa mhanga , usiche nao.kabisaa naona serikali na bunge wanapaswa kumchukulia hatua Kali au kumuonya . Na Kama vipi, arudishwe kwao, alikotoka baba na mama yake, huko somalia.
Mfano, baba ake aliomba uraia mwaka 1987 mama yake hajawahi kuomba uraia ni msomali .
Bashe ameomba uraia akiwa na 25 years (amezaliwa 1975) hapo kote alikuwa wapi INA maana ni pandikizi katika nchi yetu na bila kuelewa amepewa vyeo sasa leo matokeo yake ndiyo hayo ya kutuletea siasa za somalia za kuingia mitaani na kujitoa mhanaga ndicho anachohamasisha kabisa !!
Dr. Kikwete alisema , Bashe, siyo RAIA. Wakaelewa,
Baadaye, sasa sijui nini kilichotokea., Masha akiwa waziri mambo ya ndani, akamsafisha tena!
Nawe we mtanzania mkuu???Naona sasa , Bashe afutiwe tu uraia, yaani yeye anachokiona kule somalia kwa wajomba zake ndicho anachotaka kutuletea huko Tanzania kuwa , watu waingie mtaani , anafurahia watu kufa?
Bashe, don't cross a margin line though your almost there!
Huyu msomali, amesema TISS kuna makundi, tena sasa hivi anahimiza watu kufanya fujo??
Aaaaghrrrr, come on , where is the government to take proper actions against this non- tanzania!!?
Subiri aje akamatwe unaemfahamu,sasa sijui utakuja kutengua kauli au utaamua kupotezea as if u never said anythingni serikali ya kijinga pekee ambayo itaweza kukamata watu wake, tena wabunge!! haijatokea Tanzania, ukiamini hili unamtindio wa ubongo
Achukuliwe hatua kali kwa kosa gani alilolitenda??Hadi wabunge wanajitoa mhanga , usiche nao.kabisaa naona serikali na bunge wanapaswa kumchukulia hatua Kali au kumuonya . Na Kama vipi, arudishwe kwao, alikotoka baba na mama yake, huko somalia.
Mfano, baba ake aliomba uraia mwaka 1987 mama yake hajawahi kuomba uraia ni msomali .
Bashe ameomba uraia akiwa na 25 years (amezaliwa 1975) hapo kote alikuwa wapi INA maana ni pandikizi katika nchi yetu na bila kuelewa amepewa vyeo sasa leo matokeo yake ndiyo hayo ya kutuletea siasa za somalia za kuingia mitaani na kujitoa mhanaga ndicho anachohamasisha kabisa !!
Dr. Kikwete alisema , Bashe, siyo RAIA. Wakaelewa,
Baadaye, sasa sijui nini kilichotokea., Masha akiwa waziri mambo ya ndani, akamsafisha tena!
Sera ya serikali ni viwanda sio kilimo.upo hapo!Yaani kama Magufuli hatatoa ruzuku kwenye pembejeo za kilimo na kupunguza kodi kwenye vifaa vya ujenzi hata afanyeje kazi yake haitaonekana!!