Omuzaile
Member
- Jan 23, 2019
- 34
- 56
Habari, Mwezi uliopita mlilipoti kuhusu kuharibika kwa barabara hapa maili moja- kibaha, barabara ya kutoka mtaa wa maili moja shule kwenda kutokea Morogoro road mtaa wa sheli ya zamani,( Diwani-Ramadhani Lutambi -CCM, MB- Sylvester Koka - CCM.
Yaani Hadi Leo hii 6 May 2024, hakuna chochote kilichofanyika,
Hii barabara inaenda kwenye taasisi za serikali haswa shule, kwenye shule ya secondary Bundikani, shule ya msingi maili moja*, *shule ya msingi maendeleo , shule ya msingi mheza.
Tunaomba MAMLAKA KIBAHA MJI ZIJITOKEZE MAANA TUNATESEKA SANA...
Nimeambatanisha picha ili kuonesha khali ilivyo
Asante.
Yaani Hadi Leo hii 6 May 2024, hakuna chochote kilichofanyika,
Hii barabara inaenda kwenye taasisi za serikali haswa shule, kwenye shule ya secondary Bundikani, shule ya msingi maili moja*, *shule ya msingi maendeleo , shule ya msingi mheza.
Tunaomba MAMLAKA KIBAHA MJI ZIJITOKEZE MAANA TUNATESEKA SANA...
Nimeambatanisha picha ili kuonesha khali ilivyo
Asante.