Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 357
- 550
Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busunzu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.
=========
UFAFANUZI WA TANROADS
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma amesema: “Tulitoa ufafanuzi wa hilo eneo, ikaundwa timu ya kufanya uchunguzi na tayari imekamilisha kazi na kukabidhi kwa Waziri, hivyo tunasubiri Wizara ipitie na kutoa hiyo ripoti.
Pia soma - TANROADS Yatoa Ufafanuzi Kuharibika kwa Barabara ya Kigoma
Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.
=========
UFAFANUZI WA TANROADS
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma amesema: “Tulitoa ufafanuzi wa hilo eneo, ikaundwa timu ya kufanya uchunguzi na tayari imekamilisha kazi na kukabidhi kwa Waziri, hivyo tunasubiri Wizara ipitie na kutoa hiyo ripoti.
Pia soma - TANROADS Yatoa Ufafanuzi Kuharibika kwa Barabara ya Kigoma