DOKEZO Barabara ya Kigoma-Kibondo-Busunzu hali ni tete

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
357
550
Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busunzu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.

Screenshot_20240427-091551.jpg
Screenshot_20240427-091536.jpg
Screenshot_20240427-091518.jpg



=========

UFAFANUZI WA TANROADS
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma amesema: “Tulitoa ufafanuzi wa hilo eneo, ikaundwa timu ya kufanya uchunguzi na tayari imekamilisha kazi na kukabidhi kwa Waziri, hivyo tunasubiri Wizara ipitie na kutoa hiyo ripoti.

Pia soma - TANROADS Yatoa Ufafanuzi Kuharibika kwa Barabara ya Kigoma
 
Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busungu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.

View attachment 2975057View attachment 2975058View attachment 2975059
Mkoa umelaaniwa kwasababu ya Mwijaku na Baba levo. Tukiendelea kuwachekea hawa national disgrace laana itasambaa mikoa yote. Haya majitu yadhibitiwe aibu tunaona sisi wanaume.
 
Hiyo hata Mkandarasi hajatoka site. Ni balaa. Mvua imemtia adhabu. Ila ni heri ili arekebishe kabla hajaondoka site.
 
Kutokana na mvua zinanyesha barabara ya kigoma-kibondo-busunzu imemomonyoka na inekuwa usumbufu na hatarishi kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Mamlaka irekebishe barabara hii ili huduma iendelee kwa watumiaji.

View attachment 2975057View attachment 2975058View attachment 2975059


=========

UFAFANUZI WA TANROADS
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Narcis Choma amesema: “Tulitoa ufafanuzi wa hilo eneo, ikaundwa timu ya kufanya uchunguzi na tayari imekamilisha kazi na kukabidhi kwa Waziri, hivyo tunasubiri Wizara ipitie na kutoa hiyo ripoti.

Pia soma - TANROADS Yatoa Ufafanuzi Kuharibika kwa Barabara ya Kigoma
Duh! Inamaana badala ya Daraja walijenga kavukavu?
 
Hiyo hata Mkandarasi hajatoka site. Ni balaa. Mvua imemtia adhabu. Ila ni heri ili arekebishe kabla hajaondoka site.
Muwe mnafanya utafiti kidogo kabla ya kuropoka. Mmejee negativities mno. Ungetulia kidogo ungegundua sbb si mvua wala ubovu wa mkandarasi. Ni kutitia kwa ardhi, jambo ambalo ni natural calamity. Imetokea Kenya, Japan na China pia.
 
Back
Top Bottom