BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 425
- 1,071
Wakazi wa Kibamba CCM, kuhusu "Barabara ya Police" imekuwa changamoto, yaani gari haziwezi kupanda kabisa tunaambiwa Mkandarasi ameshasaini Mkataba lakini hatuoni kinachoendele na mvua ikinyesha hali ndio inakuwa mbaya zaidi.
Tumekuwa tunaripoti lakini wanachofanya ni kuleta michanga, mvua ikinyesha mambo yanazidi kuwa yake yale, hapa inatakiwa ujenzi wa kueleweka.
Tumekuwa tunaripoti lakini wanachofanya ni kuleta michanga, mvua ikinyesha mambo yanazidi kuwa yake yale, hapa inatakiwa ujenzi wa kueleweka.