mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 279
- 551
Wakuu
Sasa ni rasmi uume huacha kukua pale mhusika anapofika miaka 20 unaweza kuingia hapa KWELI - Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20 kwa info zaidi.
Napongeza sana jitihada zilizotufikisha hatua hii.
Ila sasa jitihada hizi zisikomee hapo tu.
Wahusika mtusaidie kujua hali ya upande wa pili ikoje yani ukuaji wa kiungo kama hicho kwa wenzetu KE ikoje. Hii itasaidia kuleta majibu sahihi au ya kuaminika zaidi juu ya hoja ya kuwepo na ongezeko la vibamia.
Sasa ni rasmi uume huacha kukua pale mhusika anapofika miaka 20 unaweza kuingia hapa KWELI - Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20 kwa info zaidi.
Napongeza sana jitihada zilizotufikisha hatua hii.
Ila sasa jitihada hizi zisikomee hapo tu.
Wahusika mtusaidie kujua hali ya upande wa pili ikoje yani ukuaji wa kiungo kama hicho kwa wenzetu KE ikoje. Hii itasaidia kuleta majibu sahihi au ya kuaminika zaidi juu ya hoja ya kuwepo na ongezeko la vibamia.