Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,689
- 11,174
Ngoja tuone kama watamuachia kama mara ya kwanza.
Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
Mpska sasa watu 29 wamekufa na vinu vinaendelea kulia huko Culiacana.
Biashara ya ukoo ileAnaendeleza kazi ya babake ya kuuza ngada?
Biashara ya ukoo ile
Ana ndugu zake yule biashara itaendelea.Duuh...basi patachimbika. Kwa hiyo hata akikamatwa mtoto bado wataibuka wengine kuendeleza
Ngoja tuone sahviAna ndugu zake yule biashara itaendelea.
Aliwahi kukamatwa zikapigwa serikali ikaamua kumwachia
Jamaa huwa wanahakikisha wanakuwa karibu na jamii ya mji husika kwenye ngome yao yaani huduma zote za msingi kama afya,elimu,maji barabara zinakuwa nzuri na za uhakika kuliko hata zile sehemu zinazosimamiwa na serikali kuu that's why huwa wanapata support kubwa kutoka kwa raia.Wauza unga wana nguvu sanaaaa
Jamaa huwa wanahakikisha wanakuwa karibu na jamii ya mji husika kwenye ngome yao yaani huduma zote za msingi kama afya,elimu,maji barabara zinakuwa nzuri na za uhakika kuliko hata zile sehemu zinazosimamiwa na serikali kuu that's why huwa wanapata support kubwa kutoka kwa raia.
Hayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.Wauza unga wana nguvu sanaaaa
Una hamu na vita siyo? Ikipigwa moja tu hapo karibu unajiharishia.Sasa hao wangekuwa ndo bavicha sisiemu engeshatoka madarakani
El Chapo akiwa anahojiwa na muandishi wa habari Sean Penn wa jarida la The rollingstone hivyo vitu aliviongelea.Jamaa huwa wanahakikisha wanakuwa karibu na jamii ya mji husika kwenye ngome yao yaani huduma zote za msingi kama afya,elimu,maji barabara zinakuwa nzuri na za uhakika kuliko hata zile sehemu zinazosimamiwa na serikali kuu that's why huwa wanapata support kubwa kutoka kwa raia.
Pesa chafu manake nini? Hizo mali/pesa zinazokwapuliwa africa na mabeberu na badae kutuziba midomo kwa misaada kiduchu ni pesa safi?Hayo ndio madhara ya ufisadi. Mtu anajijenga, anamiliki jeshi dogo kwa kisingizio cha ulinzi binafsi. Anatumia pesa kupenya mihimili muhimu huku vyombo vya ulinzi vimelala. Anatoa misaada kwa fedha chafu hadi jamii inamuamini.
Sasa unafikia hatua kupambana na mtu kama huyu unatumia jeshi sio Polisi na bado casualties kibao! Ana jeshi dogo lenye mafunzo na silaha kali, wananchi pia wanamuunga mkono sababu ya misaada ya pesa chafu.
Tuombe Mungu tuwe na wazalendo wa kulinda Taifa kwa gharama yoyote.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Bavicha wachumia tumbo tuSasa hao wangekuwa ndo bavicha sisiemu engeshatoka madarakani
Mpaka imetangazwa zawadi $5 M naona kuna mtu kauza ramaniMtandao ni mkubwa sana, hiyo ni kujisafisha maana Joe Biden ana ziara Mexico. Toka miezi 6 iliyopita alikuwa anatafutwa inamaana serikali yake walikuwa hawajui alipo?
FursakibaoMpaka imetangazwa zawadi $5 M naona kuna mtu kauza ramani
Safisana kanuni ya uwekezaji ifatwe ,sio mnawekeza jamii haifaidikiJamaa huwa wanahakikisha wanakuwa karibu na jamii ya mji husika kwenye ngome yao yaani huduma zote za msingi kama afya,elimu,maji barabara zinakuwa nzuri na za uhakika kuliko hata zile sehemu zinazosimamiwa na serikali kuu that's why huwa wanapata support kubwa kutoka kwa raia.