Aziz Ki anastahili kiwa nahodha wa Yanga

vibertz

JF-Expert Member
Mar 15, 2022
1,417
2,573
Kama huyu mchezaji ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha Yanga kwa msimu inayokuja, basi apewe kitambaa cha unahodha huyu mwamba. Mwamnyeto bado yupo nyuma nyuma sana hasa kwenye tukio kama lile la Afrika kusini hakuonesha umuhimu wake kama kiongozi uwanjani.

Kwanini Azizi Ki?
1) huyu jamaa ni muhamasishaji mzuri sana uwanjani awe yupo uwanjani au yupo benchi utaona anavyojitahidi kuhamasishana wenzie.
Hata kuelekea mechi ya robo fainali dhidi ya Mamelodi, Aziz Ki alitoa ahadi kwa wachezaji wenzie ya kutoa milioni moja kwa goli.

2) ni mpambanaji haswa uwanjani
3) Aziz Ki ni mchezaji mwenye upendo na kila mtu na mwenye furaha kwa kila mtu.
 
Kama huyu mchezaji ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha Yanga kwa msimu inayokuja, basi apewe kitambaa cha unahodha huyu mwamba. Mwamnyeto bado yupo nyuma nyuma sana hasa kwenye tukio kama lile la Afrika kusini hakuonesha umuhimu wake kama kiongozi uwanjani.

Kwanini Azizi Ki?
1) huyu jamaa ni muhamasishaji mzuri sana uwanjani awe yupo uwanjani au yupo benchi utaona anavyojitahidi kuhamasishana wenzie.
Hata kuelekea mechi ya robo fainali dhidi ya Mamelodi, Aziz Ki alitoa ahadi kwa wachezaji wenzie ya kutoa milioni moja kwa goli.

2) ni mpambanaji haswa uwanjani
3) Aziz Ki ni mchezaji mwenye upendo na kila mtu na mwenye furaha kwa kila mtu.
Sasa ulitaka Mwamnyeto aongee lugha gani na refa. Lawama zingine hazina mashiko. Ulitaka aongee Kiswahili au kizigua wakati refa anaongea Kifaransa. Azizi Key ilikuwa rahisi maana lugha ni moja.
 
Sawa ila mengine tunawaachia wao huko kwenye team wakiona anafaa watampa unahodha
Mwamnyeto kama ilivyo kwa Zimbwe elimu ndio kikwazo kama ilivyo kwa watanzania wengi na utamaduni wa uoga tunaofundishwa sna udogoni huku tukiupa jina la "maadili"
 
Kama huyu mchezaji ataendelea kuwepo kwenye kikosi cha Yanga kwa msimu inayokuja, basi apewe kitambaa cha unahodha huyu mwamba. Mwamnyeto bado yupo nyuma nyuma sana hasa kwenye tukio kama lile la Afrika kusini hakuonesha umuhimu wake kama kiongozi uwanjani.

Kwanini Azizi Ki?
1) huyu jamaa ni muhamasishaji mzuri sana uwanjani awe yupo uwanjani au yupo benchi utaona anavyojitahidi kuhamasishana wenzie.
Hata kuelekea mechi ya robo fainali dhidi ya Mamelodi, Aziz Ki alitoa ahadi kwa wachezaji wenzie ya kutoa milioni moja kwa goli.

2) ni mpambanaji haswa uwanjani
3) Aziz Ki ni mchezaji mwenye upendo na kila mtu na mwenye furaha kwa kila mtu.
ni kweli
 
Sasa ulitaka Mwamnyeto aongee lugha gani na refa. Lawama zingine hazina mashiko. Ulitaka aongee Kiswahili au kizigua wakati refa anaongea Kifaransa. Azizi Key ilikuwa rahisi maana lugha ni moja.
Kuna sehemu nimelaumu? Au nimesema kuwa Azizi Ki anastahili kuwa nahodha wa Yanga kwasababu nilizoanisha. Na mwisho wa siku nawewe umekuja kuunga mkono kwa sababu nyingine tena ya lugha.
 
Ukishanikia sana simba na yanga Automatically kichwani zinaanza kulegea.

Nawasihi sana watanzania wenzangu, Hizo timu ni mtego wa kisiasa wa propaganda.

Mskpoteze sana Muda kwenye simba na yanga.

MWENYE MASIKIO YA KUSIKIA NA ASIKIE.
 
Kuwasiliana na mawe, hujui kepteni anatakiwa kuzungumza na nani??
Kwahiyo unataka kusema kuwa marefarii wa Tanzania hawajui kingereza?
Usipaniki mzee ukiwa kwenye kujadiliana hoja. Mtu anatakiwa kwanza aelewe mantiki yako kisha ndio akujibu swali lako.
Waamuzi wa Tanzania je hawajui kingereza?
 
Kwahiyo unataka kusema kuwa marefarii wa Tanzania hawajui kingereza?
Usipaniki mzee ukiwa kwenye kujadiliana hoja. Mtu anatakiwa kwanza aelewe mantiki yako kisha ndio akujibu swali lako.
Waamuzi wa Tanzania je hawajui kingereza?
Maofisa tu wapo ofisini wana degree zao English haipandi vizuri, uje kuulizia referees hawa ambao wengi ni form failure ndugu yangu?
 
Sawa ila mengine tunawaachia wao huko kwenye team wakiona anafaa watampa unahodha
Mwamnyeto kama ilivyo kwa Zimbwe elimu ndio kikwazo kama ilivyo kwa watanzania wengi na utamaduni wa uoga tunaofundishwa sna udogoni huku tukiupa jina la "maadili"
Swala la lugha sio elimu kuna watu wanajua English hawajui kusoma na kuandika
 
Sawa ila mengine tunawaachia wao huko kwenye team wakiona anafaa watampa unahodha
Mwamnyeto kama ilivyo kwa Zimbwe elimu ndio kikwazo kama ilivyo kwa watanzania wengi na utamaduni wa uoga tunaofundishwa sna udogoni huku tukiupa jina la "maadili"
Umemaliza Kila kitu kuhusu uoga tuliofundishwa kuwa ndo maadili. Nafahamu Mwamnyeto amefanya English course na anajua kuongea vizuri, tatizo ni maadili. Anaogopa kudai haki eti ataonekana Hana maadili.
 
Ukishanikia sana simba na yanga Automatically kichwani zinaanza kulegea.

Nawasihi sana watanzania wenzangu, Hizo timu ni mtego wa kisiasa wa propaganda.

Mskpoteze sana Muda kwenye simba na yanga.

MWENYE MASIKIO YA KUSIKIA NA ASIKIE.
Kila siku huwa ninakuambia, lakini huelewi! Sijui una udumavu wa akili!! Kama unaona mada haikuhusu au huipendi, ipotezee! Jitahidi upunguze utoto na umama.
 
Back
Top Bottom